Tetesi: Miezi michache tu mbele wapo watumishi wa umma watakaotoa pesa kwenye ATM machine huku wanatoa machozi.

Tetesi: Miezi michache tu mbele wapo watumishi wa umma watakaotoa pesa kwenye ATM machine huku wanatoa machozi.

Huyu huyu aliyetuahidi ahadi za peponi leo anatufanyia hivi!!! Ebo
 
Kodi siyo hivyo mnavyofikiri kwamba kuna vijana wengi wako mtaani. Wakiajiriwa itawachukua miaka kumi kuweza ku master kazi ya kukusanya kodi. Sasa katika kipindi hiki cha mpito unategemea nini?

Kama tunawataalam wabobevu kiasi hicho kwanini kila siku serikali hasa kupitia mkuu anasema tunaibiwa sana na watu hawalipi kodi?
 
Watakuwa ni waalimu tu. Ndo wanaonyanyashwa sana inchi hii.
Mwalimu ana mshahara gani kulinganisha na wafanyakazi wa serikali kuu? Tunapambana na hali zetu. Tuacheni na maumivu yetu.
 
Watanzania tuna wivu wa kishamba sana.

Kwa hiyo unafurahia mwenzako apunguzwe mshahara ili mfanane!!!!?

Pathetic!
No.
Mr. mimi nilikuwa natoa taarifa tu, siwezi kufurahia ukatili namna hii.
Unajua hata anayelipwa ml.2 au moja bado ni fedha ndogo tu ukiigeuza kuwa dola, tunaiona kubwa kwakuwa vipato vya Watanzania wengi vidogo sana.
 
Mfano ukawa na assest zako kisha kundi la wavamizi wakaja kuziharibRE,na ukapata hasara. Je kwenye kodi hiyo hasara ikiyosababishwa na uvamizi ni allowable deduction ama si allowable? Kama jibu ni yes ama no ni kwa nini?
We nae acha kumdanganya na kumchanganya/kumpoteza mwenzio, non allowable deductions zinajulikana na income tax act inaweka kila kitu wazi. Hapo jamaa kakubali yaishe sasa wewe ndo unajikuta gwiji.
 
We nae acha kumdanganya na kumchanganya/kumpoteza mwenzio, non allowable deductions zinajulikana na income tax act inaweka kila kitu wazi. Hapo jamaa kakubali yaishe sasa wewe ndo unajikuta gwiji.
Sasa ndio ujue. Walipakodi wakubwa huja na argument za hivyo. Na jibu lako kuhusu deductability liko nje ya mada lakini hiyo hasara ya mfano niliootoa ni expense claimable. Mtafikishana na walipakodi mpaka mahakamani kuhusu issue ya hivyo.
 
Kuongeza kwa watu wa chini walingane au kuwa karibu wa juu ni ngumu sana. Serikali haina uwezo huo kwa sababu ni gharama kubwa sana, option nzuri kwa Serikali (chungu kwa waguswa) ni kuwapunguzia wenye nyingi ili walingane na wenye kidogo au wakaribiane au wakutane kwenye level fulani bila kuathiri bajeti ya Serikali
Na wakifanya hivi wachache watalia wengi watafarijika
 
Mfano ukawa na assest zako kisha kundi la wavamizi wakaja kuziharibu na ukapata hasara. Je kwenye kodi hiyo hasara ikiyosababishwa na uvamizi ni allowable deduction ama si allowable? Kama jibu ni yes ama no ni kwa nini?
Embu niambie ni mda gani tuna tumia classical probability na sio bayesian kwenye sampling na unipe sababu kwa nn tunatumia R language tukiwa tunakokotoa bayasian inference.
 
Embu niambie ni mda gani tuna tumia classical probability na sio bayesian kwenye sampling na unipe sababu kwa nn tunatumia R language tukiwa tunakokotoa bayasian inference.
Ni kifungu gani cha sheria kwebye inconevtax act kinazungumzia bayesian sampling? Mbona unaingiza hoja ya disco msibani?
 
Ni kifungu gani cha sheria kwebye inconevtax act kinazungumzia bayesian sampling? Mbona unaingiza hoja ya disco msibani?
Embu nieleze P value ikiwa ndogo kushinda level of significance na ukakubali null hypothesis umefanya type ipi ya error.
 
Watakuwa ni waalimu tu. Ndo wanaonyanyashwa sana inchi hii.
Hawawezi kuwa waalimu kwani tayari wao wana mishahara duni. Mimi siyo Sheikh Yahya mtabiri, lakini uwezekano mkubwa watakuwa TRA TPA TCRA NSSF GPFF, NHC, at al, time will tell us.
 
Hao ndo walizoea kuwatukana wahitimu eti wajifunze ujasiriamali, sasa ngoja tuone wao kama huo ujasiriamali watauweza ili kukidhi mshitaji yao. Adui mwombee njaa,!
 
Back
Top Bottom