Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Huko kutakuwa Na posho neneMshahara wa TRA sio mkubwa kama watu wanavyofikiria. Ukiwa na degree mshahara ni 850,000/=.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko kutakuwa Na posho neneMshahara wa TRA sio mkubwa kama watu wanavyofikiria. Ukiwa na degree mshahara ni 850,000/=.
Hakuna watakaofarijika.Watafarijika tu kama wataongezewa mishahara halafu wa juu asiongezewe hapo kuna faraja.Sasa kupunguziwa mshahara mtu kunampaje faraja mtu ambaye kipato chake hakijaboreshwa hata robo tu?Kuongeza kwa watu wa chini walingane au kuwa karibu wa juu ni ngumu sana. Serikali haina uwezo huo kwa sababu ni gharama kubwa sana, option nzuri kwa Serikali (chungu kwa waguswa) ni kuwapunguzia wenye nyingi ili walingane na wenye kidogo au wakaribiane au wakutane kwenye level fulani bila kuathiri bajeti ya Serikali
Na wakifanya hivi wachache watalia wengi watafarijika
Unalolisema nimelifahamu zamani sana sababu ndo field of specialization yangu, kitu chochote kikiwa realized (destroyed=realized) kinatakiwa kilipie kodi tena ni kama tu kuna gain kutokana na hiyo realization na sio as general as ulivyoiweka wewe.Sasa ndio ujue. Walipakodi wakubwa huja na argument za hivyo. Na jibu lako kuhusu deductability liko nje ya mada lakini hiyo hasara ya mfano niliootoa ni expense claimable. Mtafikishana na walipakodi mpaka mahakamani kuhusu issue ya hivyo.
Watanzania wengi sio Wana wivu Ila ni washirikina/WachawiWatanzania tuna wivu wa kishamba sana.
Kwa hiyo unafurahia mwenzako apunguzwe mshahara ili mfanane!!!!?
Pathetic!
Sihaiweka mimi. Wameiweka Buzwagi, Kabanga Nickel, North Mara Goldmine etc.Unalolisema nimelifahamu zamani sana sababu ndo field of specialization yangu, kitu chochote kikiwa realized (destroyed=realized) kinatakiwa kilipie kodi tena ni kama tu kuna gain kutokana na hiyo realization na sio as general as ulivyoiweka wewe.
UNAMAANISHA WOTE WATALIPWA TGS?
TRA
BOT
NSSF,PSPF,PPF,GEPF,LAPF,SSRA,
EWURA
TFDA
FCC
SUMATRA
TCRA
TPA
TCCL
TPB
MZUMBE
UDSM
LGTI
TPSC
UDOM
SUA
PPRA
TBC n.k
WOTE HAWA WATALIPWA KWA SCALE ZA TGS? KAMA HVYO NI SAWA TU.
Mbavu zangu miye!Hapana. Sio yule. Wametubadilishia.
Mbavu zangu miye!Hapana. Sio yule. Wametubadilishia.
Hakuna kuonwa wala nn. Hapa waliopo juu wanashushwa chini ili wafanane. Na Watanzania walivyo na roho mbaya watafurahia sana. Ile story ya kuomba chongo ili jirani apate upofu sio ya uongo kwa TanzaniaMoja ya hadidu ya rejea waliyopewa bodi ya pili ya mishahara ni kuangalia hilo ulilolileta mdau.
Upande wa pili kuna watakaoshangilia kidogo kwani watumishi walio katika mazingira magumu kama wauguzi na waalimu wataangaliwa na kuonwa!
uko sahihi mkuu tukiisoma namba wote labda tutaamkaKila mtu akiguswa,2020 wengi tutakuwa kitu kimoja.
wakigusa vyuo walim wataanza kuuza mitihani na max mwisho wataua elimunafikiri ni vyuo Na wakala wa serikali. Taasisi ziko nyingi hiz
Na huu mshahara wataupigia push up ndo utokeKazi kweli kweli.
Hivi yule Magufuli aliyekuwa anaomba kura kwa push-ups ndiye huyu kweli?
Hahaahaaa kwahiyo mkuu umekopi na kupesti mi nikajua unajua kodi kinagaubaga.Sihaiweka mimi. Wameiweka Buzwagi, Kabanga Nickel, North Mara Goldmine etc.
Roho ya kimasikiniTuna roho za ajabu sana, badala kutamani kupanda kumfikia aliye juu, tunafurahi aliye juu ashuke tuwe wote chini.... Ujinga mtupu
Acha upu.mba..vu wewe...mnashindwa kuwapiginia hao wanaopata kidogo wapandishwe juu mnashabikia wengine washushwe...mazuzu kama alivosema nyerere tu..Safari hii michadema itakimbia kuwatetea waalimu, wauguzi na askari na kuwatetea wala rushwa wa TRA na Tanroads
Ninekupa argument live. Hizo kesi mpaka mahakamani zilifika. Si kukopi na kupest kwa maana ya kutunga.Hahaahaaa kwahiyo mkuu umekopi na kupesti mi nikajua unajua kodi kinagaubaga.
Kesi kufika mahakamani sio jambo la kushangaza mkuu, revenue appeals machineries (TRAB na TRAT +Court of appeals) zipo kwa ajili hiyo. Hata wewe kama hujaridhishwa na kiasi cha kodi uliyokadiriwa/unayotakiwa kulipa unaruhusiwa kabisa kukata rufaa.Ninekupa argument live. Hizo kesi mpaka mTRAT amani zilifika. Si kukopi na kupest kwa maana ya kutunga.
Hii inaitwa roho mbaya, Omba mshahara wako upande na sio wa mtu mwingine ushuke.Nchi ni yetu sote, Kwa HILI nipo pamoja na Rais Magufuli ninampongeza sanaa.Mfanyakazi wa bandari elimu Yake ni diploma tu ,lakini analipwa mshahara mzito kuliko Mwalimu mwenye Digrii, MISHAHARA IANGALIWE UPYA KILA MMOJA TULIPWE SAWA KWA SAWA ,HEKOOO RAIS MAGUFULI
Naona uneanza kukubali sasa. Ulidhani ni masihara zile argument. Na bado nafikiri pia unamtazamo kwamba ninachokisema ni theory. Hawa vihana walioajiriwa leo hawataweza kukusanya kodi hata laki moja.Kesi kufika mahakamani sio jambo la kushangaza mkuu, revenue appeals machineries (TRAB na TRAT +Court of appeals) zipo kwa ajili hiyo. Hata wewe kama hujaridhishwa na kiasi cha kodi uliyokadiriwa/unayotakiwa kulipa unaruhusiwa kabisa kukata rufaa.