Tetesi: Miezi michache tu mbele wapo watumishi wa umma watakaotoa pesa kwenye ATM machine huku wanatoa machozi.

Tetesi: Miezi michache tu mbele wapo watumishi wa umma watakaotoa pesa kwenye ATM machine huku wanatoa machozi.

Ajira za serikali bna ni pressure juu ya pressure Bora niendelee kudunduliza hichi kidogo nikipatacho nakila kwa raha mustarehe
 
Naona uneanza kukubali sasa. Ulidhani ni masihara zile argument. Na bado nafikiri pia unamtazamo kwamba ninachokisema ni theory. Hawa vihana walioajiriwa leo hawataweza kukusanya kodi hata laki moja.
Hahaa hapana mkuu hakuna kitu kizuri kama ku deal na sheria, ni vitu vichache sana havijawa covered na sheria za kodi naweza hata kuvitaja nikitulia. Hivyo nina imani vijana wapya wakiwa trained kwa mwaka mmoja au miezi6 wataweza kufanya kazi vizuri kabisa. Ni vizuri zaidi ukijua kodi gani inasimamiwa na sheria gani etc etc
 
Hahaa hapana mkuu hakuna kitu kizuri kama ku deal na sheria, ni vitu vichache sana havijawa covered na sheria za kodi naweza hata kuvitaja nikitulia. Hivyo nina imani vijana wapya wakiwa trained kwa mwaka mmoja au miezi6 wataweza kufanya kazi vizuri kabisa. Ni vizuri zaidi ukijua kodi gani inasimamiwa na sheria gani etc etc
Kwani hao watumishi wa TRA unataka kusema hawajui kodi?
 
Nchi ni yetu sote, Kwa HILI nipo pamoja na Rais Magufuli ninampongeza sanaa.Mfanyakazi wa bandari elimu Yake ni diploma tu ,lakini analipwa mshahara mzito kuliko Mwalimu mwenye Digrii, MISHAHARA IANGALIWE UPYA KILA MMOJA TULIPWE SAWA KWA SAWA ,HEKOOO RAIS MAGUFULI
Huwezi kufanikiwa kwa kumchukia tajiri
KWA HILI MAGUFULI HEKOO BABAAAA, IWE HIVYO, NCHI HII NI YETU YOTE HAIWEZEKANIKI MWALIMU ALIPWE LAKI NNE NA MTU WA PSPF ,BANDARINI WALIPWE MILIONI MOJA NA MAPOSHOPOSHO KIBAOO, Kwahili likifanyika nitamuunga mkono Rais Wangu Magufuli kabisaa,
 
Kama nilivyoandika uzi mwezi May 2017 "Msoto mwingine kwa watumishi waja" ndani yake nikaelezea kuwa watu wasitarajie ongezeko la mshahara mwezi Julai 2017 walionielewa walielewa.

Sasa nawaambia jambo lingine kuwa miezi si mingi kuanzia leo watumishi wa sekta fulani watatoa pesa za mshahara huku wanalia baada ya kulimwa pesa ili wafanane na wale wa serikali kuu.

Mi simo kwenye mjadala, nakaa pembeni.
hakuna sababu wa daktari wa serikali kulipwa tofauti wakati ni muajiriwa wa serikali hiyohiyo
 
Nakumbuka kuna siku tulikuwa mahali na jamaa wa TRA enzi za JK akawa yeye ndio mlipa bills zote,anasema tu "agizeni jamani tutumie kodi za wananchi".

Baba Jeska kajua kutunyoosha "kweri kweri".
 
Kwani hao watumishi wa TRA unataka kusema hawajui kodi?
Kujua au kutokujua kodi kwa watumishi wa TRA hakumzuii mlipa kodi ku appeal akiwa aggrieved na maamuzi ya CG, mlipa kodi anaweza kuwa anajua kabisa kwamba anatakiwa alipe (kwa mujibu wa sheria ya kodi) ila anaamua tu ku appeal (kuna sababu nyingi za ku appeal kwa upande wa tax payer na interest zake binafsi).
 
Kujua au kutokujua kodi kwa watumishi wa TRA hakumzuii mlipa kodi ku appeal akiwa aggrieved na maamuzi ya CG, mlipa kodi anaweza kuwa anajua kabisa kwamba anatakiwa alipe (kwa mujibu wa sheria ya kodi) ila anaamua tu ku appeal (kuna sababu nyingi za ku appeal kwa upande wa tax payer na interest zake binafsi).
Kwa hiyo hao vijana walioko mtaani watakuja kuleta mabadiliko yapi ikiwa kumbe vurugu za kodi hazijalishi kujua ama kutokujua?
 
Kwa hiyo hao vijana walioko mtaani watakuja kuleta mabadiliko yapi ikiwa kumbe vurugu za kodi hazijalishi kujua ama kutokujua?
Hili swali linahusu zaidi human resource management, argument ya kodi inajadiliwa kulingana na provisions za sheria za kodi, output ya wafanyakazi ni suala la afisa rasilimali watu (HRO) na sheria zinazohusu kada hiyo.
 
Hili swali linahusu zaidi human resource management, argument ya kodi inajadiliwa kulingana na provisions za sheria za kodi, output ya wafanyakazi ni suala la afisa rasilimali watu (HRO) na sheria zinazohusu kada hiyo.
Kwa hiyo kujua kodi ama kutokujua kodi haina maana?
 
Hili swali linahusu zaidi human resource management, argument ya kodi inajadiliwa kulingana na provisions za sheria za kodi, output ya wafanyakazi ni suala la afisa rasilimali watu (HRO) na sheria zinazohusu kada hiyo.


Mnabishania vitu vya ajabu kweli!!!


Jamaa analalama utafikiri kashapunguziwa mshahara tayari, na hata ukipunguzwa kama akiona hakuna maslahi basi aondoke hakuna namna, mbona watumishi wa serikali kuu wapo na wamevumilia sana humiliation zenu japo wengi tu wanawazidi hata qualifications.
 
Kama nilivyoandika uzi mwezi May 2017 "Msoto mwingine kwa watumishi waja" ndani yake nikaelezea kuwa watu wasitarajie ongezeko la mshahara mwezi Julai 2017 walionielewa walielewa.

Sasa nawaambia jambo lingine kuwa miezi si mingi kuanzia leo watumishi wa sekta fulani watatoa pesa za mshahara huku wanalia baada ya kulimwa pesa ili wafanane na wale wa serikali kuu.

Mi simo kwenye mjadala, nakaa pembeni.
Safi sanaaaaaaa! Wote tuishi kishetani siyo wengine kama malaika wakijitajirisha na fedha za Umma. Magufuli Oyeeeeeeeh long life our President.
 
Kwa hiyo kujua kodi ama kutokujua kodi haina maana?
Tulia ndugu kama utapunguziwa ukaona hautoshi wewe ondoka tu wapo vijana wengi tu wenye uwezo wao wa kukusanya hiyo kodi, hakuna aliyezaliwa kama mkusanya kodi mbona unaweweseka? Kwanza hii ni tetesi tu lakini umeumia kweli, mbona wengine wanaishi tu kwa hiyo mishahara ya TGS wakati hata chuo mlipita kimoja na course moja na wengine hata ufaulu wanawazidi? Ni vile tu wako serikali kuu basi wanapata kiduchu
 
Watu wasio na ajira au wanaofanya kazi sehemu za hovyo wana wivu sana na wenzao walioajiriwa kwenye taasisi za serikali zinazo heshimika. Mwisho wa siku mwenye kazi yake atabaki nayo na wewe mwenye chuki utabaki hivyo hivyo. Hata apunguziwe mshahara bado ashatangulia na kwa mtu mwenye akili kashafanya maendeleo makubwa tu. Wafanyakazi wa serikali kama waalimu, wauguzi n.k wenye mishahara midogo wanastahili kuongezewa mishahara, hili halina ubishi. Lakini hoja ya kupunguzia wengine mishahara ni kufilisika kwa mawazo.
 
Kuongeza kwa watu wa chini walingane au kuwa karibu wa juu ni ngumu sana. Serikali haina uwezo huo kwa sababu ni gharama kubwa sana, option nzuri kwa Serikali (chungu kwa waguswa) ni kuwapunguzia wenye nyingi ili walingane na wenye kidogo au wakaribiane au wakutane kwenye level fulani bila kuathiri bajeti ya Serikali
Na wakifanya hivi wachache watalia wengi watafarijika
Watafarijika na nini? Hivi hizi roho za korosho huwa munazipata wapi?

Kwa nini usijitahidi kufikia hapo juu mwenzako alipo ili uupate huo mshahara mkubwa and then wewe ufarijike!!!?

Yaani Unafarijika mshahara wa mwenzako kupunguzwa ili mlingane?
 
Bashite nae ataongezwa au atapunguziwa mm hii nchi sina imani nayo kabisa acha nikakojoe nilale
 
Kodi siyo hivyo mnavyofikiri kwamba kuna vijana wengi wako mtaani. Wakiajiriwa itawachukua miaka kumi kuweza ku master kazi ya kukusanya kodi. Sasa katika kipindi hiki cha mpito unategemea nini?
Acha uongo kukusanya kodi nako kuna hitaji umasters tena
 
Back
Top Bottom