Mkuu hebu ongezea nyama thread yako kaka....Kama nilivyoandika uzi mwezi May 2017 "Msoto mwingine kwa watumishi waja" ndani yake nikaelezea kuwa watu wasitarajie ongezeko la mshahara mwezi Julai 2017 walionielewa walielewa.
Sasa nawaambia jambo lingine kuwa miezi si mingi kuanzia leo watumishi wa sekta fulani watatoa pesa za mshahara huku wanalia baada ya kulimwa pesa ili wafanane na wale wa serikali kuu.
Mi simo kwenye mjadala, nakaa pembeni.
1.lini zoezi litaanza?
2.Inawezekana kweli mshahara wa mtu ukapunguzwa?
3.Ni mashirika/Taasisi za umma ndo kuna mishahara mikubwa?
4.wanapunguza posho/au kukata mishahara kabisa?
5.Ni kiasi gani cha mshahara ambacho ni kikubwa kinatakiwa kupunguzwa kaka?