Wewe utakuwa huna ajira, na kama unayo then unapata hela ndogo.KWA HILI MAGUFULI HEKOO BABAAAA, IWE HIVYO, NCHI HII NI YETU YOTE HAIWEZEKANIKI MWALIMU ALIPWE LAKI NNE NA MTU WA PSPF ,BANDARINI WALIPWE MILIONI MOJA NA MAPOSHOPOSHO KIBAOO, Kwahili likifanyika nitamuunga mkono Rais Wangu Magufuli kabisaa,
Sasa roho ya korosho inafurukuta ndani, unatamani na wengine wawe duni ili mfanane.
Akili za kipumbavu sana hizi