Tetesi: Miezi michache tu mbele wapo watumishi wa umma watakaotoa pesa kwenye ATM machine huku wanatoa machozi.

Tetesi: Miezi michache tu mbele wapo watumishi wa umma watakaotoa pesa kwenye ATM machine huku wanatoa machozi.

KWA HILI MAGUFULI HEKOO BABAAAA, IWE HIVYO, NCHI HII NI YETU YOTE HAIWEZEKANIKI MWALIMU ALIPWE LAKI NNE NA MTU WA PSPF ,BANDARINI WALIPWE MILIONI MOJA NA MAPOSHOPOSHO KIBAOO, Kwahili likifanyika nitamuunga mkono Rais Wangu Magufuli kabisaa,
Wewe utakuwa huna ajira, na kama unayo then unapata hela ndogo.

Sasa roho ya korosho inafurukuta ndani, unatamani na wengine wawe duni ili mfanane.

Akili za kipumbavu sana hizi
 
Watafarijika na nini? Hivi hizi roho za korosho huwa munazipata wapi?

Kwa nini usijitahidi kufikia hapo juu mwenzako alipo ili uupate huo mshahara mkubwa and then wewe ufarijike!!!?

Yaani Unafarijika mshahara wa mwenzako kupunguzwa ili mlingane?




Tulia wewe hii ni tetesi tu na hata ikiwa kweli ni poa tu, wewe unafikiri hatupendi kufanya kazi hayo mashirika au wewe kufanya kazi hayo mashirika ndio unajiona unafaa sana, pengine hata nina uwezo mkubwa wa kufanya hizo kazi kuliko hata wewe sema ndio hivyo historia ya ajira hizi ndio mwamuzi,



Kama mbwai mbwai tu
 
Nchi ni yetu sote, Kwa HILI nipo pamoja na Rais Magufuli ninampongeza sanaa.Mfanyakazi wa bandari elimu Yake ni diploma tu ,lakini analipwa mshahara mzito kuliko Mwalimu mwenye Digrii, MISHAHARA IANGALIWE UPYA KILA MMOJA TULIPWE SAWA KWA SAWA ,HEKOOO RAIS MAGUFULI
Wacha we....


Wa bandari apunguziwe ili mfanane au sio??

Hivi akipunguziwa mkalingana Inakuongezea nini wewe? What do you gain from it?
 
Acha upu.mba..vu wewe...mnashindwa kuwapiginia hao wanaopata kidogo wapandishwe juu mnashabikia wengine washushwe...mazuzu kama alivosema nyerere tu..
Kodi si ndo hizo mnakataa kulipa, na wakibanwa mabwana zenu walipe mnakimbilia kuwatetea eti wanaonewa.. Au unataka serikali itoe wapi pesa wakati Lissu anawatetea wanaotuibia madini?
 
Kumbe LAWSON ndiyo mtoto wake sheria LAW - SON.basi tunaisubiri hiyo law son.itakayo ifanya mishara yetu kuwa ya ki-son kitoto cha kiume
 
Kuna watu wana roho mbaya, badala mpiganie wa chini wapande juu mnafurahia kushushwa ili tu mlingane.
 
Kuna watu wana roho mbaya, badala mpiganie wa chini wapande juu mnafurahia kushushwa ili tu mlingane.
Lissu alivyokuwa anawatetea majizi ya madini si mlikuwa mnachekelea? Sasa unataka serikali itoe wapi pesa za kupandisha mishahara wakati mko busy kuwatetea wahujumu uchumi akina Manji and the like?
 
Mfano ukawa na assest zako kisha kundi la wavamizi wakaja kuziharibu na ukapata hasara. Je kwenye kodi hiyo hasara ikiyosababishwa na uvamizi ni allowable deduction ama si allowable? Kama jibu ni yes ama no ni kwa nini?
Mkuu kwani hao wazoefu walianzaje? Naamini wataweza tu ku catchup Hata hao wapya. Na Pia si wote watakao kubali kuacha kazi eti kwasababu mshahara umepungua Mkuu.
 
Mnabishania vitu vya ajabu kweli!!!


Jamaa analalama utafikiri kashapunguziwa mshahara tayari, na hata ukipunguzwa kama akiona hakuna maslahi basi aondoke hakuna namna, mbona watumishi wa serikali kuu wapo na wamevumilia sana humiliation zenu japo wengi tu wanawazidi hata qualifications.
Sijajua bado kama unabisha, unajadili au unaunga mkono. Kiufupi mchango wako sijauelewa.
 
Tulia wewe hii ni tetesi tu na hata ikiwa kweli ni poa tu, wewe unafikiri hatupendi kufanya kazi hayo mashirika au wewe kufanya kazi hayo mashirika ndio unajiona unafaa sana, pengine hata nina uwezo mkubwa wa kufanya hizo kazi kuliko hata wewe sema ndio hivyo historia ya ajira hizi ndio mwamuzi,



Kama mbwai mbwai tu

Kama unapenda kufanya kazi kwenye haya mashirika, then apply na uingie ili upate huo mshahara mkubwa na sio kupiga kelele ambazo hazikusaidii.

Mshahara wa mwingine ukipunguzwa, what will you gain from it? Nini kitaongezeka kwenye maisha yako?

Mnafurahisha sana watu wenye attitude za aina hii
 
Mawazo ya kuwapunguzia watu mshahara ni mawazo ya watu masikini na mufilisi ambao badala ya kuangalia ni wapi walikosea na kufanya marekebisho wanabaki kuwaonea wivu waliofanikiwa na kutamani washuke ili sasa wawe kwenye level moja. Mungu awapige kwa umasikini wa kuwatosha kwa roho zenu za kwanini na kamwe msiwafikie mnaowaombea mabaya.
 
Swala sio kupunguza kwa sababu hata hao wachini wanatakiwa waboreshewe kuwakuta taasis zingine. Mishahara viongozi waliweka hayo maboresho ikiwa ni pamoja na mishahara kila mwaka.

Kupunguza kutashusha morary za kazi za watumishi na kusabisha watu wasio na uzoefu kushika nafasi kutokana na wazoefu kwenda kwenye private sector na NGOs taasis za umma kuwa sehemu ya kupita tu kuelekea zenye maslah bora ndani au popote pale nje.

Plan hiyo yaani ipo negative na ninafikiri impakt haishii hivyo bali hata mapato ya tra yatashuka watapa makato kidogo kwenye taasis na tasis zinazojitegemea.

Issue hiyo c y a kuimpliment kabisa sio productive.
 
Lissu alivyokuwa anawatetea majizi ya madini si mlikuwa mnachekelea? Sasa unataka serikali itoe wapi pesa za kupandisha mishahara wakati mko busy kuwatetea wahujumu uchumi akina Manji and the like?
Hivi manji alikua chama gani? Oooho nilisahau Chama Cha Majizi!
 
TRA siyo kama mnavyofikiria. Kuna hoja za kisheria zinaweza kutolewa ukawa unaiona kodi lakini huna uwezo wa kuikusanya. Acha kabisa masuala ya kodi.
Inaonekana unafanya kazi kwenye izo taasisi c kwa povu ilo hebu nambie ulisomea wap ivo vitu special ambavyo unahic wengine hawana had washindwe kufanya kaz izo tatizo ubinafsi ushamba na woga wa maisha vinakusumbua
 
Nafikiri motivation kwa mfanyakazi ni Mhimu watumishi wa wa uma wongeze kila kama ilivyo hko nyuma kuwafikia wa mashirika.
 
Back
Top Bottom