Watafarijika na nini? Hivi hizi roho za korosho huwa munazipata wapi?
Kwa nini usijitahidi kufikia hapo juu mwenzako alipo ili uupate huo mshahara mkubwa and then wewe ufarijike!!!?
Yaani Unafarijika mshahara wa mwenzako kupunguzwa ili mlingane?
Wewe utakuwa unaumia sana Wenzako wa baadhi ya mashirika ya umma kulipwa vizuri.....Inaonekana unafanya kazi kwenye izo taasisi c kwa povu ilo hebu nambie ulisomea wap ivo vitu special ambavyo unahic wengine hawana had washindwe kufanya kaz izo tatizo ubinafsi ushamba na woga wa maisha vinakusumbua
Pathetic fool kabisa... kama mnawadai kodi si muwapeleke mahakamani au mtaifishe mali zao tu na sio kulialia apa.. hiyo roho yako ya kimaskini haiwezi kufikisha popote.. work your a.ss off utengeneze extra income..na kamwe dua la kuku halimpati mwewe..Kodi si ndo hizo mnakataa kulipa, na wakibanwa mabwana zenu walipe mnakimbilia kuwatetea eti wanaonewa.. Au unataka serikali itoe wapi pesa wakati Lissu anawatetea wanaotuibia madini?
Wafanane na wa serikali kuu au serikali za mitaa?? Maana serikali kuu wanakula kiyoyozi tu wana shida gani?Kama nilivyoandika uzi mwezi May 2017 "Msoto mwingine kwa watumishi waja" ndani yake nikaelezea kuwa watu wasitarajie ongezeko la mshahara mwezi Julai 2017 walionielewa walielewa.
Sasa nawaambia jambo lingine kuwa miezi si mingi kuanzia leo watumishi wa sekta fulani watatoa pesa za mshahara huku wanalia baada ya kulimwa pesa ili wafanane na wale wa serikali kuu.
Mi simo kwenye mjadala, nakaa pembeni.
Kama nilivyoandika uzi mwezi May 2017 "Msoto mwingine kwa watumishi waja" ndani yake nikaelezea kuwa watu wasitarajie ongezeko la mshahara mwezi Julai 2017 walionielewa walielewa.
Sasa nawaambia jambo lingine kuwa miezi si mingi kuanzia leo watumishi wa sekta fulani watatoa pesa za mshahara huku wanalia baada ya kulimwa pesa ili wafanane na wale wa serikali kuu.
Mi simo kwenye mjadala, nakaa pembeni.
Soma bandiko vzr upate kuelewa...Watakuwa ni waalimu tu. Ndo wanaonyanyashwa sana inchi hii.
Kuongeza kwa watu wa chini walingane au kuwa karibu wa juu ni ngumu sana. Serikali haina uwezo huo kwa sababu ni gharama kubwa sana, option nzuri kwa Serikali (chungu kwa waguswa) ni kuwapunguzia wenye nyingi ili walingane na wenye kidogo au wakaribiane au wakutane kwenye level fulani bila kuathiri bajeti ya Serikali
Na wakifanya hivi wachache watalia wengi watafarijika