balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,743
- 13,657
Watafarijika na nini? Hivi hizi roho za korosho huwa munazipata wapi?
Kwa nini usijitahidi kufikia hapo juu mwenzako alipo ili uupate huo mshahara mkubwa and then wewe ufarijike!!!?
Yaani Unafarijika mshahara wa mwenzako kupunguzwa ili mlingane?
You can not be strong by weakening the strong