Tetesi: Miezi michache tu mbele wapo watumishi wa umma watakaotoa pesa kwenye ATM machine huku wanatoa machozi.

Tetesi: Miezi michache tu mbele wapo watumishi wa umma watakaotoa pesa kwenye ATM machine huku wanatoa machozi.

Kama wale wa millions nyingi wakipunguzwa haina shida
 
Wasipo kusanya ikibainika, watafutwa kazi na kuajiri wengine... Maana huku mitaani kuna vijana hawana ajira na wananjaa
Kodi siyo hivyo mnavyofikiri kwamba kuna vijana wengi wako mtaani. Wakiajiriwa itawachukua miaka kumi kuweza ku master kazi ya kukusanya kodi. Sasa katika kipindi hiki cha mpito unategemea nini?
 
Wakatwe tu hako ka nyongeza kaletwe huku.
Walimu hakuna posho wala nini
Ila kuna taasisi watu wanavuta mkwanja hatare
 
Moja ya hadidu ya rejea waliyopewa bodi ya pili ya mishahara ni kuangalia hilo ulilolileta mdau.

Upande wa pili kuna watakaoshangilia kidogo kwani watumishi walio katika mazingira magumu kama wauguzi na waalimu wataangaliwa na kuonwa!
Safari hii michadema itakimbia kuwatetea waalimu, wauguzi na askari na kuwatetea wala rushwa wa TRA na Tanroads
 
Safari hii michadema itakimbia kuwatetea waalimu, wauguzi na askari na kuwatetea wala rushwa wa TRA na Tanroads

Mkuu FisadiKuu sasa michadema ikikimbia kuwatetea Waalimu, askari na Wauguzi maccm yanachukia? Au sijakuelewa?
 
Kodi siyo hivyo mnavyofikiri kwamba kuna vijana wengi wako mtaani. Wakiajiriwa itawachukua miaka kumi kuweza ku master kazi ya kukusanya kodi. Sasa katika kipindi hiki cha mpito unategemea nini?
Mm binafsi napinga hii hoja yako... I belive a graduate aliyesoma tax, accounts, finance, mathematics na nyinginezo wakipigwa training ya vitendo 6month tu wanakusanya izo kodi vizuri tu
 
Mm binafsi napinga hii hoja yako... I belive a graduate aliyesoma tax, accounts, finance, mathematics na nyinginezo wakipigwa training ya vitendo 6month tu wanakusanya izo kodi vizuri tu
Atakayeqapiga training ni nani wakati watu wote wenye uzoefu watakuwa wameshaondolewa?
 
Kwenye msafara wa mamba Kenge hawakosekani... hawawezi sepa wote. Ila ni mtazamo wangu tu mkuu.
TRA siyo kama mnavyofikiria. Kuna hoja za kisheria zinaweza kutolewa ukawa unaiona kodi lakini huna uwezo wa kuikusanya. Acha kabisa masuala ya kodi.
 
TRA siyo kama mnavyofikiria. Kuna hoja za kisheria zinaweza kutolewa ukawa unaiona kodi lakini huna uwezo wa kuikusanya. Acha kabisa masuala ya kodi.
Sawa mkuu nimekuelewa! Nisikubishie sina ujuzi sana na mambo ya kodi.
 
Sawa mkuu nimekuelewa! Nisikubishie sina ujuzi sana na mambo ya kodi.
Mfano ukawa na assest zako kisha kundi la wavamizi wakaja kuziharibu na ukapata hasara. Je kwenye kodi hiyo hasara ikiyosababishwa na uvamizi ni allowable deduction ama si allowable? Kama jibu ni yes ama no ni kwa nini?
 
Mkuu FisadiKuu sasa michadema ikikimbia kuwatetea Waalimu, askari na Wauguzi maccm yanachukia? Au sijakuelewa?
Inaonyesha ni kwa jinsi gani michadema ilivyo vigeugeu.. Hawataipongeza serikali kwa kuinua watumishi waliokuwa wanateseka kwa mishahara kiduchu na kufanya kazi kwenye mazingira magumu badala yake wataamia kuwatetea waliokuwa wanalipwa mishahara minono iliyopunguzwa ili kuwe na usawa kati ya watumishi
 
Back
Top Bottom