Rylee
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 542
- 1,015
Au huo muongiloano ndo sababu.?..mimi naona ni salama zaidi wakiwa na eneo lao tofauti na ndani ya banda. Kama kuwa na kibanda kingine pembezoni mwa bandaNdio. Humo ndani ya banda kubwa nimeweka vibanda vidogo vidogo kwaajili ya vifaranga