Mifereji ya Dhahabu: Pasipo Silaha, Chuki wala Ukatili

Mifereji ya Dhahabu: Pasipo Silaha, Chuki wala Ukatili

HV na ile story ya namna ambavyo Osama bin laden alivyokamatwa ni wwe ndiye uliyeisimulia the bold
 
HV na ile story ya namna ambavyo Osama bin laden alivyokamatwa ni wwe ndiye uliyeisimulia the bold
Yeah Mkuu! Na nyinginezo nyingi.. Angalia list ya thread zangu kwenye profile naamini utaburudika..
 
Daaah shukrani za dhati kabisa kwako mkuu The Bold kwa simulizi hii maridhawa japo nimechelewa kuiona naamini MUNGU atakulipa kwa kutumia muda wako kuwaletea hadhira yako kitu kizuri kama hiki na kukuza ufahamu wao juu ya matukio mbali ya kustaaajabisha yaliyotokea duniani

Asante mkuu ubarikiwe
 
Daaah shukrani za dhati kabisa kwako mkuu The Bold kwa simulizi hii maridhawa japo nimechelewa kuiona naamini MUNGU atakulipa kwa kutumia muda wako kuwaletea hadhira yako kitu kizuri kama hiki na kukuza ufahamu wao juu ya matukio mbali ya kustaaajabisha yaliyotokea duniani

Asante mkuu ubarikiwe
Amen brother! Nashukuru sana..
 
Huyu jamaa jana anaitwa the bold n.balaaa

Pabro kafariki ila kafanya nmemuona nw kashusha nondo nyingine


Thanks sana mkuu
 
Uwaga nasoma tu hizi story then napita bila kukupa credit ila naona nafanya dhambi hongera mkuu endelea kutushushia vitu adimu.
 
"Because if you don't standup for the stuff you don't like, when they come for the stuff you like, you have already lost."
- Neil Gariman


# FreeMaxenceMelo
#TheBold'sForMelo
 
Back
Top Bottom