Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha.! Usijali mkuu..Mkuy The bold simulizi zako taratibu zinaanza kunipa kaumaarufu (samahani kama nitakuwa nafanya wizi wa kazi zako) ila napenda sana kuwasimulia watu simulizi kama hizi!
Ama kwa hakika umebarikiwa.
Shukrani.
Usisahau kunitag ukipata fursa.
Nitaitafuta aisee!Movie yake inaitwa DIRTY MONEY
Mkuu The bold sijawahi ona kama wewe sasa tupe na ya huyo Nortar basi tujue vingiYeah ni 'kazi' matata kama ya Nortarbatollo! Akili zaidi kuliko nguvu..
Acha bhana
Hutaki nifaudu namie[emoji17]Acha bhana
Utafaidiwa na wewe ohooo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hutaki nifaudu namie[emoji17]
Hahaha! Thanks man..Narudia tena kumpa pongezi niffah kwa chaguzi sahihi kabisa mkuu, big up