Mifereji ya Dhahabu: Pasipo Silaha, Chuki wala Ukatili

Mifereji ya Dhahabu: Pasipo Silaha, Chuki wala Ukatili

Mkuy The bold simulizi zako taratibu zinaanza kunipa kaumaarufu (samahani kama nitakuwa nafanya wizi wa kazi zako) ila napenda sana kuwasimulia watu simulizi kama hizi!
Ama kwa hakika umebarikiwa.
Shukrani.

Usisahau kunitag ukipata fursa.
 
nataka uniambie baada ya hyo Jambazi wa kifaransa kufanikiwa kukwiba hizo mali zote,vpi kile kikundi cha Mafia waliomdharau na kutoka nje walisemaje?
 
Back
Top Bottom