Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
- #121
Duuuhh!! Nenda mwanzoni post namba 1 (#1)Mbona hii story mm siion jmn naomba kama inawezekana unifowadie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuhh!! Nenda mwanzoni post namba 1 (#1)Mbona hii story mm siion jmn naomba kama inawezekana unifowadie
Mkuu naomba unipe link ya hiyo story nipitie kidogo ilinipitaKala nakupa hongera umenikumbusha ile hadithi, Will Gamba na Jemsi Akeke maana nilijiona kama nipo kwenye hilo tukio
So hii movie ndio ime base kwenye hio story sio? Na huyo jamaa si ndie wa kwenye Italian job?
The bank job movie hiyo![]()
Hapana Mkuu! Hizi Picha ni za movie ya 'The bank job' ambayo iko based on tukio lililotokea London katika bank ya Lloyds! Naona mchangiaji aliyeweka hii comment ya hizo picha amechanganya kidogo coz thread inahusu tukio lililotokea france benki ya Société Générale..So hii movie ndio ime base kwenye hio story sio? Na huyo jamaa si ndie wa kwenye Italian job?
Me kuna movie natamani sana ukiona inaitwa 'if tomorrow comes 'nilisoma kitabu chake tu.
Nashukuru sana Mkuu..Mungu akubariki sana mkuu The Bold. Huwa nahisi kama naangalia movie moja kali sana.
Napendezwa na uandishi wako tangu mwaka 2014 tulikuwa hatulali kwenye moja ya stori zako.
Hahah! Sawa Mkuu nitafanya hivyoNoma sana mkuu uwe unanitag na mimi. Story zako ni weka mbali na kizazi cha mapenzi
Wale wana mipango mingi... Mafia hawawez kushtuka kabisaaa..Naomba kuuliza wale waliochomoa huu mpango walikua kwenye hali gani baada ya kugundua wenzao wamefanikiwa??
Ok.Hapana Mkuu! Hizi Picha ni za movie ya 'The bank job' ambayo iko based on tukio lililotokea London katika bank ya Lloyds! Naona mchangiaji aliyeweka hii comment ya hizo picha amechanganya kidogo coz thread inahusu tukio lililotokea france benki ya Société Générale..
Sawa Mkuu! Ntafanya hivyoHapa ndipo utakapoons watu wanavyopongeza mambo ya kiharifu........ila zamani watu walikuwa wakiiba kwa kutumia akili kubwa sana kuliko saiz
Hongera mkuu kwa muendelezo wa simulizi nzuri kabisa,ukileta nyingine niite nami mkuu nishiriki mapema!!
Nimesoma machapisho mawili tu humu uliyoweka,ya Osama na hii ya Mifereji ya dhahabu! Nitag zingine mkuu!!Nashukuru Mkuu! Next time nitakumbuka bila shaka..
Tayari Mkuu! Nimekutag kwenye machapisho yangu mengine ambayo hujayasoma..Nimesoma machapisho mawili tu humu uliyoweka,ya Osama na hii ya Mifereji ya dhahabu! Nitag zingine mkuu!!
Napenda kazi zako braza,
Tupia kitu mkuu ,tuna weekend ndefu.