Mifereji ya Dhahabu: Pasipo Silaha, Chuki wala Ukatili

Mifereji ya Dhahabu: Pasipo Silaha, Chuki wala Ukatili

Yeah nakumbuka ile 'vita' ya mwaja Jana hahaaha!! Aiseee..
Nashukuru sana Nifah kwa pongezi, that means alot, especially coming from you moja ya watu muhimu zaidi humu JamiiForum..
Asante sana Mkuu
Mkuu hukunitag lkn kwa bahati mbaya katika pitapita yangu humu asubuhi nikaiona ila nikawa busy nimekuja kuisoma usiku huu.

Shukrani.
 
Mkuu hukunitag lkn kwa bahati mbaya katika pitapita yangu humu asubuhi nikaiona ila nikawa busy nimekuja kuisoma usiku huu.

Shukrani.
Nimekutag Mkuu! Cheki post #2, sijajua kwanini hujapata notification..
 
Nimekutag Mkuu! Cheki post #2, sijajua kwanini hujapata notification..
Ohh nimeona lkn nashangaa sijapata notification. ila Thank kwa simulizi nzuri kabisa. Mungu akubariki uweze kuleta nyengine watu tuzidi kujifunza.

japo na mie niko kwenye harakati la kufanya tukio kubwa zaidi kupitia haya masimlizi ha ha ha
 
Ohh nimeona lkn nashangaa sijapata notification. ila Thank kwa simulizi nzuri kabisa. Mungu akubariki uweze kuleta nyengine watu tuzidi kujifunza.

japo na mie niko kwenye harakati la kufanya tukio kubwa zaidi kupitia haya masimlizi ha ha ha
Hahahaha!! Usifanye hivyo mkuu utaniponza na mimi
 
Comred uko vizur sana mkuu wangu salute nyingi sana kwako. Huwa naburudika sana napopata hivi vitu vipya kwenye ubongo wangu toka kwako ujaali siku nyingi za kuishi na hekima nyingi sana.
 
Hii ndio faida ya kusoma na kuelewa.

Wengi wanapenda kuzisoma story hizi ila tatizo ni Language na hata kama unafahamu basi kuja kuitafsiri ili ieleweke na wengi unaweza ukashindwa.

Big up sana mkuu The bold kwa kuweza kuitafsiri na kuiweka vizuri ili kila mtu apate kuielewa.

Yericco Nyerere na hii usije sema ama-copy kwako.
 
Comred uko vizur sana mkuu wangu salute nyingi sana kwako. Huwa naburudika sana napopata hivi vitu vipya kwenye ubongo wangu toka kwako ujaali siku nyingi za kuishi na hekima nyingi sana.
Shukrani Mkuu..
 
Hii ndio faida ya kusoma na kuelewa.

Wengi wanapenda kuzisoma story hizi ila tatizo ni Language na hata kama unafahamu basi kuja kuitafsiri ili ieleweke na wengi unaweza ukashindwa.

Big up sana mkuu The bold kwa kuweza kuitafsiri na kuiweka vizuri ili kila mtu apate kuielewa.

Yericco Nyerere na hii usije sema ama-copy kwako.
Shukrani kwa pongezi Mkuu!! Lakini usimchokoze Yericko tafadhali hahaha [emoji1]
 
Back
Top Bottom