Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Mkuu..Mkuu the Bold shukrani kwa kutuletea kisa kingine...
Wacha nitafute movie zao Kama ntazipata!
Mkuu tofauti na hii story yaTayari Mkuu! Nimekutag kwenye machapisho yangu mengine ambayo hujayasoma..
Nashukuru sana Mkuu! Nitakutag nikiweka nyingine..Kila ninaposoma hivi visa, huwa najiona kama na mimi nimo ndani. Thumb up boss..
Naomba ukiweza uwe unani tag.
Nashukuru sana Mkuu! Ngoja nikutag na kwenye story ya Leonardo Natarbartolo kama bado haujaisoma..Mkuu tofauti na hii story ya
Dan Cooper
Albert Spaggiarri
Carl Gagasian a.k.a mr. Friday night bank robber
Geranimo E.K.I.A ya Osama
Kuna story ipi nyingine?...kama zipo humu naomba unitag mkuu nizisome. Kiukwel navutiwa na makala zako big up and keep it up
Asante, nashukuru sana Mkuu..Chukua muda wako tafakari watu wangekua wanaandika uzi ka huu au unaoendana na huu tungekua mbali kimaarifa...... The bold shukran sana nmeongeza kitu ambacho cjawah kukijua katika kichwa changu
Sijapata notification yeyote mkuu kama ushanitagNashukuru sana Mkuu! Ngoja nikutag na kwenye story ya Leonardo Natarbartolo kama bado haujaisoma..
Nimekutag tayari mkuuSijapata notification yeyote mkuu kama ushanitag
Nashukur mkuuNimekutag tayari mkuu
Nashukuru sana Mkuu..Kama kawaida, The Bold in his own standards. Japo umesahau kunitag ila Big up sana Kamkubwa.
Mkuu na mie naomba unitagi hiyo ya natarbartoloNashukuru sana Mkuu! Ngoja nikutag na kwenye story ya Leonardo Natarbartolo kama bado haujaisoma..
Sawa Mkuu! Tayari nimekutagMkuu na mie naomba unitagi hiyo ya natarbartolo
Nimeweka siku nyingi nimekutag sijui kwanini notification hujaipata..Kumbe ni ya siku nying toka tareh 9. Sikupata notification.
Asante ngoja nikitulia niisome vzr.
Kila siku nilikua naangalia kama umeweka mpya. Nahis nimechelewaje kusoma uhii