Mifumo imara bila watu waadilifu sio suluhisho, jenga watu kwanza

Mifumo imara bila watu waadilifu sio suluhisho, jenga watu kwanza

safuher

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
11,837
Reaction score
17,412
Mifumo imara inategemea watu waadilifu ili waifuate mifumo hiyo.

Unapokuwa na mifupo imara bila watu waadilifu mifumo itaharibiwa na hakuna atakayeweza kuwajibisha.

Ipo mifupo imara katika baadhi ya mambo lakini haifuatwi na mifumo hiyo ilhali ipo.

Tatizo la kutokufuata mifumo hiyo ni watu sio waadilifu hakuna kingine

Watu wanalia katiba inakanyagwa manake wanakubali katiba iko imara katika eneo hilo lakini haifuatwi inakeukwa

Hiyo maana yake mfumo hauna tatizo bali tatizo ni watu wenyewe sio waadilifu.

Chadema inalalamika covid 19 wapo bungeni sio kikatiba,manake hawakosoi katiba kuwa sio imara katika eneo hilo wanakubali kwamba katiba ama sheria iko sawa ila tatizo sheria haijafuatwa.

Hapo tatizo sio sheria ama katiba,tatizo ni watu sio waadilifu.

Solution hapo sio kubadilisha mfumo kwa sababu hata mifumo iyokuwepo inayokubaliwa ni mizuri bado inakeukwa na watu hakuna wanachofanywa zaidi ya kulalamika.

Solution ni kutengeneza watu kwanza sio mifumo kwa sababu hiyo mifumo mizuri ipo lakini haifuatwi.

Nyerere aliwahi kusema kwamba laiti atafuata hasa katikba ilivyo basi angelikuwa dikteta.

Mfumo ulikuepo wa kumruhusu kuwa dikteta lakini kwa uadilifu wake katika jambo hilo akaona sio busara kufuata katiba hiyo.

Hii maana yake ni kuwa uadilifu wa mtu unaweza kumfanya akaongoza vizuri ndani ya mfumo mbovu.

Na ukatili wa mtu unaweza ukamfanya aongoze vibaya ndani ya mfumo mzuri.

Hivyo mnachotakiwa kulia nacho ni uadilifu wa watu na wala sio kubadilisha mfumo kwanza ilhali watu wako vile vile.

Tukutane kwenye comment kwa majadiano zaidi
 
Hio kauli aliitoa Prof Assad kumpiga dongo Magufuli wakati akihojiwa na DW kuhusu mwenendo na mifumo ya serikali ya Tanzania.

Alisema ""Tanzania tunajenga na kuteua watu imara, ila hatujengi mifumo imara. Principle kuu ya maendeleo katika taasisi zilizoendelea duniani ni kuwa na "TAASISI IMARA" ambayo hata mjinga anaweza kuiendesha na isiyumbe, na sio kuwa "VIONGOZI IMARA WA TAASISI DHAIFU". Mfano kampuni ya Apple, ni taasisi imara ambayo hata viongozi wa juu wakibadilishwa na kuwekwa wengine inaendelea kuwa ni taasisi bora kibiashara.""

In indirect way alichomaanisha Prof Assad:- Magufuli anateua viongozi imara ila taasisi alizokuanazo si imara, unachagua kiongozi mzuri kwenda kuongoza taasisi mbovu. Kila siku utakua unamlaumu na kumwona hafai huyo kiongozi uliemteua. Mfano wa bunge lilivyo dhaifu na kushindwa kuisimamia serikali kama sheria zinavyotaka.

Ni jambo ambalo linaendana sambamba na hoja ya mleta mada, Tanzania hatuna;

1) Hatuna Taasisi Imara.

2) Hatuna Viongozi Waadilifu.

3) Hatuna System Imara.

4) Hatuna Sheria Imara (Kila Siku Zinabadilishwa Kutokana Na Kasoro na Upitishwaji Wa Sheria Hizo Kwasababu Ya Muhemko Ya Viongozi Wa Juu - Mfano, Sheria Ya Takwimu, Sheria Za Habari, Sheria Za Kodi)
 
Ngoja wapiga dili waje aka wapenda kitonga, walalamishi wakiongozwa na jamaa mwenye ka passo chekundu BAK
😎😎😎
 
Mkuu tu deal kwanza na mfumo then tuje tu deal na watu au unaonaje ??
Hiyo ni mbaya mkuu.

Kwa sababu huwezi kupata mfumo imsra kutoka kwa watu ambao sio waadilifu.

Kama watu sio waadilifu usitegemee kuupata mfumo imara kutoka kwa watu hao.

Hivyo sasa hivi tujikite zaidi kwa watu kama harakati za kujikita na mfumo zipo ziendelee ila watu wasisahauliwe
 
Hio kauli aliitoa Prof Assad kumpiga dongo Magufuli wakati akihojiwa na DW kuhusu mwenendo na mifumo ya serikali ya Tanzania.

Alisema ""Tanzania tunajenga na kuteua watu imara, ila hatujengi mifumo imara. Principle kuu ya maendeleo katika taasisi zilizoendelea duniani ni kuwa na "TAASISI IMARA" ambayo hata mjinga anaweza kuiendesha na isiyumbe, na sio kuwa "VIONGOZI IMARA WA TAASISI DHAIFU". Mfano kampuni ya Apple, ni taasisi imara ambayo hata viongozi wa juu wakibadilishwa na kuwekwa wengine inaendelea kuwa ni taasisi bora kibiashara.""

In indirect way alichomaanisha Prof Assad:- Magufuli anateua viongozi imara ila taasisi alizokuanazo si imara, unachagua kiongozi mzuri kwenda kuongoza taasisi mbovu. Kila siku utakua unamlaumu na kumwona hafai huyo kiomgozi uliemteua. Mfano wa bunge lilivyo dhaifu na kushindwa kuisimamia serikali kama sheria zinavyotaka.

Ni jambo ambalo linaendana sambamba na hoja ya mleta mada, Tanzania hatuna;

1) Hatuna Taasisi Imara.

2) Hatuna Viongozi Waadilifu.

3) Hatuna System Imara.

4) Hatuna Sheria Imara (Kila Siku Zinabadilishwa Kutokana Na Kasoro na Upitishwaji Wa Sheria Hizo - Mfano, Sheria Ya Takwimu, Sheria Za Habari, Sheria Za Kodi)
Mkuu viongozi wengi wanaochaguliwa hawana maono kwa wanaowaongoza.

Kwa sababu kuna mengi katiba inataka hawayafanyi.

Kuna ambayo unaweza kufanya yakawa mazuri huku unakeuka katiba,hakuna atakayepiga kelele ati umekanyaga katiba wakati umefanya jambo zuri.

Maono maono maono
 
Mifumo imara inategemea watu waadilifu ili waifuate mifumo hiyo.

Unapokuwa na mifupo imara bila watu waadilifu mifumo itaharibiwa na hakuna atakayeweza kuwajibisha.

Ipo mifupo imara katika baadhi ya mambo lakini haifuatwi na mifumo hiyo ilhali ipo.

Tatizo la kutokufuata mifumo hiyo ni watu sio waadilifu hakuna kingine

Watu wanalia katiba inakanyagwa manake wanakubali katiba iko imara katika eneo hilo lakini haifuatwi inakeukwa

Hiyo maana yake mfumo hauna tatizo bali tatizo ni watu wenyewe sio waadilifu.

Chadema inalalamika covid 19 wapo bungeni sio kikatiba,manake hawakosoi katiba kuwa sio imara katika eneo hilo wanakubali kwamba katiba ama sheria iko sawa ila tatizo sheria haijafuatwa.

Hapo tatizo sio sheria ama katiba,tatizo ni watu sio waadilifu.

Solution hapo sio kubadilisha mfumo kwa sababu hata mifumo iyokuwepo inayokubaliwa ni mizuri bado inakeukwa na watu hakuna wanachofanywa zaidi ya kulalamika.

Solution ni kutengeneza watu kwanza sio mifumo kwa sababu hiyo mifumo mizuri ipo lakini haifuatwi.

Nyerere aliwahi kusema kwamba laiti atafuata hasa katikba ilivyo basi angelikuwa dikteta.

Mfumo ulikuepo wa kumruhusu kuwa dikteta lakini kwa uadilifu wake katika jambo hilo akaona sio busara kufuata katiba hiyo.

Hii maana yake ni kuwa uadilifu wa mtu unaweza kumfanya akaongoza vizuri ndani ya mfumo mbovu.

Na ukatili wa mtu unaweza ukamfanya aongoze vibaya ndani ya mfumo mzuri.

Hivyo mnachotakiwa kulia nacho ni uadilifu wa watu na wala sio kubadilisha mfumo kwanza ilhali watu wako vile vile.

Tukutane kwenye comment kwa majadiano zaidi
Tatizo ccm inaamini sana kwenye uchama kuliko hata weledi na proffesionalism, nafasi ambazo zingetumikiwa na wanataaluma, zinatumikiwa na wanasiasa au wanachama wa ccm, kwa mtindo huo ni ngumu kujenga watu, matokeo yake tunaendeleza mfumo

Siku ccm ikitoka madarakani, tutaweza kutekeleza hili la kujenga watu
 
Tatizo ccm inaamini sana kwenye uchama kuliko hata weledi na proffesionalism, nafasi ambazo zingetumikiwa na wanataaluma, zinatumikiwa na wanasiasa au wanachama wa ccm, kwa mtindo huo ni ngumu kujenga watu, matokeo yake tunaendeleza mfumo

Siku ccm ikitoka madarakani, tutaweza kutekeleza hili la kujenga watu
Tatizo sio CCM tatizo tumeona tatizo ni CCM.
 
Tatizo sio CCM tatizo tumeona tatizo ni CCM.
Pengine kwa sababu imekuwa madarakani miaka yote na hakuna mabadiliko, ni vizuri tukapata uongozi wa chama kingine ili tuwe na comparison na tuweze kuwaaminisha watu kwamba ccm sio tatizo
 
Pengine kwa sababu imekuwa madarakani miaka yote na hakuna mabadiliko, ni vizuri tukapata uongozi wa chama kingine ili tuwe na comparison na tuweze kuwaaminisha watu kwamba ccm sio tatizo
Sio kweli.

Tatizo sio CCM bali tatizo tunaona tatizo ni CCM.
 
Tatizo ccm inaamini sana kwenye uchama kuliko hata weledi na proffesionalism, nafasi ambazo zingetumikiwa na wanataaluma, zinatumikiwa na wanasiasa au wanachama wa ccm, kwa mtindo huo ni ngumu kujenga watu, matokeo yake tunaendeleza mfumo

Siku ccm ikitoka madarakani, tutaweza kutekeleza hili la kujenga watu
CCM ni chama duniani kilicho jibweteka kwasababu ya kuongoza dola tokea nchi imepata uhuru (Udhaifu Wa Katiba Unawapa Favor CCM), haijawahi kupata challenge ya kuondolewa madarakani ndio maana haibadiliki ng'o hata yesu ashuke leo.

"Most (99%) Active CCM Cadres" are stupid beyond imagination my dear, even those who are so called Proffessors & Doctorate Holders (I cant differentiate their mentality between PhD Holders and Uneducated Cadres - Wote Zero kichwani, hujui nani msomi na nani hajasoma) NOTE THAT Huwa wanapata akili wakistaafu tu, ndio wanajifanya kuongea kwa busara.

CCM haijui kutofautisha kati ya "WASOMI WAZURI & WATENDAJI WAZURI (Education & Practicality)". Mtu anaweza akawa msomi mzuri sana na Phd yake ila practical akawa sio mzuri (Mfano Dr Bashiru - Msomi & Mwalimu Mzuri Sana Sanaaa akiwa darasani, ila practical anazidiwa hata na Shaka Hamidu Shaka).

Wanafikiri kuchukua Ma-Lecture UDSM na kuwajaza kwenye uongozi serikalini au bungeni ndio tija kwa taifa, ila hawajui hao wasomi wakiingia field ni chenga tupu plus wanapoteza idadi ya walimu vyuoni kuwaingiza kwenye siasa. They barely know, kwamba vyuo vikuu vinapata upungufu wa malecture na huko mbeleni vitazalisha na kuwaingiza mtaani graduates wasio na weledi wala elimu nzuri.

Nchi hii tutadanganyana kwamba ipo siku tutakua na TAASISI IMARA & VIONGOZI WAADILIFU". Tija pekee ya nchi hii kubadilika ni;

1) Katiba Mpya.

2) CCM kuondolewa madarakani.

Hapa ndio nchi itabadilika, kwasababu CCM wakikaa bench kidogo, labda ndio watapata akili.
 
CCM ni chama duniani kilicho jibweteka kwasababu ya kuongoza dola tokea nchi imepata uhuru (Udhaifu Wa Katiba Unawapa Favor CCM), haijawahi kupata challenge ya kuondolewa madarakani ndio maana haibadiliki ng'o hata yesu ashuke leo.

"Most (99%) Active CCM Cadres" are stupid beyond imagination my dear, even those who are so called Proffessors & Doctorate Holders (I cant differentiate their mentality between PhD Holders and Uneducated Cadres - Wote Zero kichwani, hujui nani msomi na nani hajasoma) NOTE THAT Huwa wanapata akili wakistaafu tu, ndio wanajifanya kuongea kwa busara.

CCM haijui kutofautisha kati ya "WASOMI WAZURI & WATENDAJI WAZURI (Education & Practicality)". Mtu anaweza akawa msomi mzuri sana na Phd yake ila practical akawa sio mzuri (Mfano Dr Bashiru - Msomi na Mwalimu mzuri sana akiwa darasani, ila practical anazidiwa hata na Shaka Hamidu Shaka).

Wanafikiri kuchukua Ma-Lecture UDSM na kuwajaza kwenye uongozi serikalini au bungeni ndio tija kwa taifa, ila hawajui hao wasomi wakiingia field ni chenga tupu plus wanapoteza idadi ya walimu vyuoni kuwaingiza kwenye siasa.

Nchi hii tutadanganyana kwamba ipo siku tutakua na TAASISI IMARA & VIONGOZI WAADILIFU". Tija pekee ya nchi hii kubadilika ni;

1) Katiba Mpya.

2) CCM kuondolewa madarakani.

Hapa ndio nchi itabadilika, kwasababu CCM wakikaa bench kidogo, labda ndio watapata akili.
You nailed it all, ila nimecheka balaa
 
You nailed it all, ila nimecheka balaa
We umecheka, ila mi nimeshangaa, nakuona tu leo kila mtaa wa JF unazurura zururua tu hovyo hovyo kama umeangusha hela.[emoji38]

Mtaa wa kwa mudi upo!!! Mtaa wa kwa ntampenda sana na ntampenda zaidi na zaidi upo!!! Huku kwenye mtaa wa tatu upo tena aaagahh!!! Sikuwezi. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji1545][emoji120][emoji1545]
 
Mifumo imara inategemea watu waadilifu ili waifuate mifumo hiyo.

Unapokuwa na mifupo imara bila watu waadilifu mifumo itaharibiwa na hakuna atakayeweza kuwajibisha.

Ipo mifupo imara katika baadhi ya mambo lakini haifuatwi na mifumo hiyo ilhali ipo.

Tatizo la kutokufuata mifumo hiyo ni watu sio waadilifu hakuna kingine

Watu wanalia katiba inakanyagwa manake wanakubali katiba iko imara katika eneo hilo lakini haifuatwi inakeukwa

Hiyo maana yake mfumo hauna tatizo bali tatizo ni watu wenyewe sio waadilifu.

Chadema inalalamika covid 19 wapo bungeni sio kikatiba,manake hawakosoi katiba kuwa sio imara katika eneo hilo wanakubali kwamba katiba ama sheria iko sawa ila tatizo sheria haijafuatwa.

Hapo tatizo sio sheria ama katiba,tatizo ni watu sio waadilifu.

Solution hapo sio kubadilisha mfumo kwa sababu hata mifumo iyokuwepo inayokubaliwa ni mizuri bado inakeukwa na watu hakuna wanachofanywa zaidi ya kulalamika.

Solution ni kutengeneza watu kwanza sio mifumo kwa sababu hiyo mifumo mizuri ipo lakini haifuatwi.

Nyerere aliwahi kusema kwamba laiti atafuata hasa katikba ilivyo basi angelikuwa dikteta.

Mfumo ulikuepo wa kumruhusu kuwa dikteta lakini kwa uadilifu wake katika jambo hilo akaona sio busara kufuata katiba hiyo.

Hii maana yake ni kuwa uadilifu wa mtu unaweza kumfanya akaongoza vizuri ndani ya mfumo mbovu.

Na ukatili wa mtu unaweza ukamfanya aongoze vibaya ndani ya mfumo mzuri.

Hivyo mnachotakiwa kulia nacho ni uadilifu wa watu na wala sio kubadilisha mfumo kwanza ilhali watu wako vile vile.

Tukutane kwenye comment kwa majadiano zaidi
Mkuu,..."maana yake" zimekuwa nyingi kwenye uandishi wako.Monotonous!
 
We umecheka, ila mi nimeshangaa, nakuona tu leo kila mtaa wa JF unazurura zururua tu hovyo hovyo kama umeangusha hela.[emoji38]

Mtaa wa kwa mudi upo!!! Mtaa wa kwa ntampenda sana na ntampenda zaidi na zaidi upo!!! Huku kwenye mtaa wa tatu upo tena aaagahh!!! Sikuwezi. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji1545][emoji120][emoji1545]
I am working on something, kwa hiyo the only way i can keep up ni kuwa half half, nasoma kidogo, then JF kidogo, otherwise ntajikuta nasinzia, ndio maana unaona nazurura kona zote
 
I am working on something, kwa hiyo the only way i can keep up ni kuwa half half, nasoma kidogo, then JF kidogo, otherwise ntajikuta nasinzia, ndio maana unaona nazurura kona zote
Ah una roho ngumu kuliko muddy, saa saba kasoro now and still your bussy attending on some errands. Hongera zako.!!!

I guess there must be some good pay cheque ahead tempting you to work this late. Goodluck!!![emoji846][emoji1306]
 
Ah una roho ngumu kuliko muddy, saa saba kasoro now and still your bussy attending on some errands. Hongera zako.!!!

I guess there must be some good pay cheque ahead tempting you to work this late. Goodluck!!![emoji846][emoji1306]
Once in a while, its not a routine and it adds no figure in my pocket, only trying to add some knowledge, having an exam and needs to revise
 
Mifumo imara inategemea watu waadilifu ili waifuate mifumo hiyo.

Unapokuwa na mifupo imara bila watu waadilifu mifumo itaharibiwa na hakuna atakayeweza kuwajibisha.

Ipo mifupo imara katika baadhi ya mambo lakini haifuatwi na mifumo hiyo ilhali ipo.

Tatizo la kutokufuata mifumo hiyo ni watu sio waadilifu hakuna kingine

Watu wanalia katiba inakanyagwa manake wanakubali katiba iko imara katika eneo hilo lakini haifuatwi inakeukwa

Hiyo maana yake mfumo hauna tatizo bali tatizo ni watu wenyewe sio waadilifu.

Chadema inalalamika covid 19 wapo bungeni sio kikatiba,manake hawakosoi katiba kuwa sio imara katika eneo hilo wanakubali kwamba katiba ama sheria iko sawa ila tatizo sheria haijafuatwa.

Hapo tatizo sio sheria ama katiba,tatizo ni watu sio waadilifu.

Solution hapo sio kubadilisha mfumo kwa sababu hata mifumo iyokuwepo inayokubaliwa ni mizuri bado inakeukwa na watu hakuna wanachofanywa zaidi ya kulalamika.

Solution ni kutengeneza watu kwanza sio mifumo kwa sababu hiyo mifumo mizuri ipo lakini haifuatwi.

Nyerere aliwahi kusema kwamba laiti atafuata hasa katikba ilivyo basi angelikuwa dikteta.

Mfumo ulikuepo wa kumruhusu kuwa dikteta lakini kwa uadilifu wake katika jambo hilo akaona sio busara kufuata katiba hiyo.

Hii maana yake ni kuwa uadilifu wa mtu unaweza kumfanya akaongoza vizuri ndani ya mfumo mbovu.

Na ukatili wa mtu unaweza ukamfanya aongoze vibaya ndani ya mfumo mzuri.

Hivyo mnachotakiwa kulia nacho ni uadilifu wa watu na wala sio kubadilisha mfumo kwanza ilhali watu wako vile vile.

Tukutane kwenye comment kwa majadiano zaidi
Sema viongozi waadilifu, uongozi kwa mfano
 
Back
Top Bottom