Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Hii inaweza isitokee mapema kwasababu dunia hii idadi ya watu ishakuwa kubwa hesabu zinataka tupungue kwa usalama wa baadae, kwahiyo wataona bora wanaume tuwe wachache ili uzao uwe kidogo
Ni kweli. Tunaongelea mambo ya mamiaka na miaka yajayo baada ya kutokea mambo mengi mno. Hili si suala la wewe au wajukuu kushuhudia. Tutakachoshuhudia ni jinsi tunavyoilazimisha nature kufanya maamuzi.
 
Hii sera ya 50/50 hakika ni mbaya sana hasa kwa huu ukanda wa Africa. Imezalisha single mothers wengi sana ambao hupelekea watoto kuwa na maadili mabovu sana na ndio maana vijana wengi huangukia kwenye umalaya na ushoga.

Malezi ya mwanaume kwa mtoto ni ya mwanaume tu ndugu zangu hili wanawake inabidi walitambue.
Suala la kuongezeka kwa single mothers nalo limeshamili sana sasa hivi. yaani sasa hivi kila binti ana mtoto wengine wamepeleka watoto mikoani uko kwa bibi zao ili wapate uhuru wa kudanga.
 
Mtoa mada umesahau kutambua kwamba kila mwanaume anatakiwa aitengeneza Dunia yake mwenyewe na kuiishi......owa mwanamke type yako" utakayeweza kumkontroo kimwili, kiroho na kiuchumi
Haya mambo ya 50/50 yapo humu mitandaoni,...90% ya wanawake duniani hawana taarifa nayo ... ni wewe vile unavyoweza kuchagua na kum-shape to fit in ...in your life (if you have that life)

Nb. Tikisa kichwa kwa nguvu kidogo utanielewa.
Mkuu ulimwengu una muingiliano mkubwa sana kwa sasa uyo mwanamke ana smartphone, anaangalia tv, ana mashoga zake n.k hata akiwa mtiifu kwako hakuna guarantee ya kusema atabaki kuwa ivyo ivyo siku zote
 
Ukishaogopwa huwezi kuwa na washauri. Kinachotokea ni unazungukwa na watu wanaojua unataka kusikia nini na wanasema.

Mara nyingi watawala wanaoogopwa lazima wana kundi nyuma yake wasiomugopa wanaomlinda, hawa huwa hana mamlaka kwao, ila wana objective zinazofanana zenye mlengo wa kutawala. Hawa tu ndo wanaweza kushauriana ila watashauriana kutimiza objective zao za kiutawala.

Wengine wote hawashauri, wanajua mtawala anachotaka kusikia na wanakisema kama ushauri.
Naona kama kuna kitu kinakung'ang'ania kichwani.. Tumalize hivi both administrative na leadership skills zina matter..Muhimu zisizidiane .
 
Ushauri wangu upo hapo kwenye aya nne za mwisho
Wanawake wa mwanzo waanzilishi wa kudai haki za wanawake walielewa kuwa mabadiliko hayahitaji lelemama, wakatengeneza platform ya kusikika, kwa kuanza wakaanza na hatua kubwa sana yakuweka mkutano Beijing, wapaze sauti wapate kusikika ulimwenguni. Hata hivyo haikuwa rahisi wakapewa majina ya kila aina.

Now, mabadiliko ya hizo sheria hamuwezi kuyapata kwa kuandika JF, Y’all need to act, mtumie mifumo kumanipulate changes etc etc. Ni wakati wenu sasa wa kudai usawa, if at all mnaona mnaonewa.
 
Wanawake wa mwanzo waanzilishi wa kudai haki za wanawake walielewa kuwa mabadiliko hayahitaji lelemama, wakatengeneza platform ya kusikika, kwa kuanza wakaanza na hatua kubwa sana yakuweka mkutano Beijing, wapaze sauti wapate kusikika ulimwenguni. Hata hivyo haikuwa rahisi wakapewa majina ya kila aina.

Now, mabadiliko ya hizo sheria hamuwezi kuyapata kwa kuandika JF, Y’all need to act, mtumie mifumo kumanipulate changes etc etc. Ni wakati wenu sasa wa kudai usawa, if at all mnaona mnaonewa.
Sikatai mwanamke kupewa haki. Kinacholeta mkanganyiko ni hii kasumba ya wanawake kuwa vigeugeu. Wanataka usawa kwa sababu ya 50/50 ni kitu kizuri hakina shida ila lazima utambue kwamba usawa unakuja na wajibu yaani kama zamani ulikua unawekwa kando kwenye suala la ajira na kusubiri kuhudumiwa na mwanaume sasa hivi umepewa nafasi kwenye kinyang'anyiro cha ajira maana yake lile takwa la mwanaume kukuhudumia litaondolewa. Sasa mwanamke anataka usawa kwa kigezo cha 50/50 lakini zile privelages alizokua anazipata kutoka kwa mwanaume including kuhudumiwa hataki kuziachia ndipo hapa harakati za 50/50 zinaonekana ubabaishaji fulani tu wa kutaka mseleleko.
 
Hii sera tulikosea sana wa Africa, lkn ukweli ni kwamba hii sera imelenga kulinda malengo ya wazungu wakiamini ya kwamba wanawake wakiwa kwenye madaraka kwa udhaifu wao wa kijinsia hawata weza kutaa matakwa yao wazungu.
Refer thread iliyo kuja hapa kuwa Africa inatakiwa iendelee kuwa provider wa raw material forever.
Yaani Africa kuna makosa kibao tumeyafanya kwa kupkea sera za wa Zungu, mfano democracy wanayo imba ni kutaka kuweka watu wao watako kuwa week, na isinge kuwa wanataka tuendelee kuzalisha raw materials nadhani wangeweza hata kutuua lkn ndio hvyo wanashindwa maana kazi tunazo fanya sisi wao hawawezi
Great thinker! Congrat mkuu.... Jinsia ya kiume ina vita sana. Mashoga yote ni sera ya 50/50.
 
Tunachoongelea ni usahihi wake sio mazoea ya kusema kama yametoka uko lazima yawe implemented na hapa. Najua threads mbili tatu haziwezi kuleta mabadiliko ya jumla lakini kuna wawili watatu wataamka. Uko magharibi ambapo sera ya 50/50 imetoka wapenzi wakitoka out ni jukumu la kila mmoja kulipa bill nusu kwa nusu je hii 50/50 itafanya kazi tukiileta bongo ambapo wadada washaaminishwa monetary expenses zote ni sharti ziwe sponsered na mwanaume ? Uko magharibi sio ajabu kukuta mke ajui kupika na mume ndio anaingia jikoni je 50/50 itqfanya kazi hapa bongo ambapo wanaume tumeanishwa mambo ya jikoni ni ya wanawake.. tusiangalie tu kwa sababu inqfanyika magharibi basi ni sharti iletewe hapa tuangalie pia usahihi wa kimazingira je inawezekana ikawa implemented hapa?
Mimi naamini kama jambo kwenye jamii watu hawalifurahii basi watatafuta kila namna ya kuliondoa, ukiona watu hawataki kuhangaika kuliondoa au jukumu la kuliondoa wanaisakizia jinsia nyingine wakati ni wao ndio wanaolalamika, basi ujue hao watu hawako serious na hawana haki ya kumlaumu yeyote sababu wana uwezo wa kuchukua hatua ila wameamua kutegeana na kushindana
 
Sio kweli napingana nayo hizi tabu sijawahi ziona maisha yangu yote na ni mume wa mtu mwenye watoto.

Mimi naona kuvuja damu kila mwezi ndio tabu zenyewe, huli hadi unyanduliwe hizi ndio tabu zenyewe, hupewi mchongo bila kuvuliwa chupi hizi ndio tabu zenyewe.

Kifupi alie waambia wanaume tunapata tabu anawadanganya.

Mwanaume kupata tabu au kutopata tabu ni machaguo yake.

Ila kuvuja damu kila mwezi uwe unapenda au hupendi utavuja tu.
Wewe ndio umeandika ukweli, ndio maana mimi huwa siwaamini wanaume wanaolalamika na kusema wao ndio wana jukumu kubwa na zito kuliko wanawake, jukumu lenyewe eti kutafuta pesa tu ambalo siku hizi wanawake wengi nao wanalifanya na huku wana ya kwao mengine yanawasubiri ambayo wanaume wengi hawataki kuyagusa
 
Wewe ndio umeandika ukweli, ndio maana mimi huwa siwaamini wanaume wanaolalamika na kusema wao ndio wana jukumu kubwa na zito kuliko wanawake, jukumu lenyewe eti kutafuta pesa tu ambalo siku hizi wanawake wengi nao wanalifanya na huku wana ya kwao mengine yanawasubiri ambayo wanaume wengi hawataki kuyagusa
Ishu sio kutafuta pesa ishu ni kukubaliana nani anawajibika ku-provide monetary expenses katika ndoa/mahusiano. Wanawake wamepewa access zote za kujipambambania kama elimu, kumiliki mali, kufanya biashara, nafasi ya uongozi kisiasa n.k lakini linapokuja suala la ku-provide monetary expenses bado wanaamini ilo ni jukumu la mwanaume peke ake.
 
Kikubwa ni sisi wanaume kukaa pembeni kimnya na kuulinda uanaume wetu kimnya kimnya, tuwaache waharibu watengeneze mfumo jike usio na maana yeyote alafu baadae watakuja na mbinu mpya za kurudisha, kulinda na kuupambania mfumo dume kwa haraka sana.

Nb: mwanake hana haki ya kuwa sawa na mwanaume kupitia mfumo wao wa 50/50 mwanaume yupo juu maradufu na wakitaka kujua hili wa wapime wanawake kwenye natural disasters mfano mafuriko watapata majibu sahihi mwanamke ni nani.
 
Hii sera tulikosea sana wa Africa, lkn ukweli ni kwamba hii sera imelenga kulinda malengo ya wazungu wakiamini ya kwamba wanawake wakiwa kwenye madaraka kwa udhaifu wao wa kijinsia hawata weza kutaa matakwa yao wazungu.
Refer thread iliyo kuja hapa kuwa Africa inatakiwa iendelee kuwa provider wa raw material forever.
Yaani Africa kuna makosa kibao tumeyafanya kwa kupkea sera za wa Zungu, mfano democracy wanayo imba ni kutaka kuweka watu wao watako kuwa week, na isinge kuwa wanataka tuendelee kuzalisha raw materials nadhani wangeweza hata kutuua lkn ndio hvyo wanashindwa maana kazi tunazo fanya sisi wao hawawezi
Naunga mkono hoja mkuu
 
Back
Top Bottom