Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

Mimi naona dunia imemsikiliza mwanaume kwa muda mrefu imefika pahala acha sasa imsikilize na mwanamke kwa sababu mfumo dume umemkandamiza mwanamke vya kutosha, wake walipokuwa wanavumilia kukandamizwa miaka yote hiyo ilionekana sawa sasa wameamka baada ya kuchoka na kukataa kukandamizwa wanaume mnaanza kulalamika na mnaona kama mnaonewa, wanawake wamechoka kulalamika wameamua kujibu mapigo kwahiyo tulieni tu dawa iwaingie mpaka pale siku mtakapoongea nao lugha moja
Hiki kinachoendelea kitakuja kuwaweka sehemu mbaya sana watoto wa kike siku za baadae na watakosa kabisa utetezi sababu ya upumbavu wa kundi la wachache.

Unapokandamizwa au kuonewa ukapata nafasi ya kujitetea then tumia hiyo nafasi kumsaidia aliye kukandamiza ajue mapungufu yake na aweze jua jinsi ya kukusaidia usiumie.

Ujinga unaondelea kwa wanawake wa kisasa mnataka kushindana na wanaume as if walikuwapo miaka hiyo au walihusika. Binti kuzaliwa miaka ya 1980 au 1990 au 2000 visa vya kihistoria wewe vinakuhusu nini kutaka kujifanya shujaa wa jinsia utake kulipa kisasi? [emoji848]

Sasa nikwambie tu ufahamu, atakae komoka hapa ni mwanamke kwasababu haya mnayofanya kwa bahati mbaya sana yanatokea kizazi cha internet ambapo ushahidi upo wazi kabisa wa tabia na kauli za mwanamke anapofanikiwa au kuwezeshwa anakuwaje.

Unaweza kunipa ushahidi wa kukandamizwa mwanamke enzi za mababu zetu zaidi ya story za kuhadithiwa na mashangazi na mama zetu?[emoji848]

Ila mimi ukitaka nikuonyeshe kwa ushahidi wa video tabia mbaya za wanawake na kwann hawaruhusiwi hata kutoka nje ushahidi upo humo mitandaoni.

Unadhani uarabuni hadi wanakuwa watata kwa wanawake vile ilikuwaje?

Itakuja kufika kipindi hizi kauli zenu za madharau na jeuri na kutaka kujilinganisha na wanaume ndizo zitakuja tumika baadae kutunga sheria zitakazokataza wanawake kufanya kazi, kuongea mbele ya mwanaume, kutoruhusiwa kupiga kura yoyote, kutosikilizwa kwenye kesi au maushauri, kutokuwa na maamuzi yoyote sababu ya wanawake wapuuzi na wapumbavu wachache ambao walizaliwa nyakati za mabadiliko mkaleta utoto badala ya kutumia hiyo fursa kuprove kuwa mwanamke ni kiumbe anayejitambua na ni msaada mkubwa kwa mwanaume.
 
Usihofu, nature itajishape tu kubalance mambo, kila kitu kina matokeo yake.

Mfano, sasa hivi kuna idadi ya vijana wapo tu wanamaliza vyuo hawana kazi. Kazi zinashikwa na mabinti. Baada ya muda jamii inakuwa na wanaume masikini na wanawake wenye uwezo kiuchumi. Nini kinafata?

Uhaba wa wanaume wenye uwezo wa kumtunza mwanamke, uwepo wa vijana mlenda mlenda na legelege na tegemezi, ongezeko la single mothers, jamii itaanza kuona umuhimu wa uwepo wa wanaume.

Ulinzi wa mtoto wa kiume utaongezeka. Semina za malezi ya mtoto wa kiume na kelele za muandae baba ajae zinashamiri, ajira zitamtazama mwanaume n.k n.k Ni suala la muda tu.
Teh teh teh 😂😂 yaani kutoka feminism mpaka malenisim...😂😂
 
Swala la decline birth rate lina mahusiano na women empowerment ?
Ndio, by 100%. Women empowerment imewafanya wanawake kujikita zaidi kwenye majukumu ya utafutaji mali na elimu hadi wakasahau wajibu wa kuwa mwanamke.

Tazama hapa Tanzania kwa wastani wanawake wasomi hawapati watoto zaidi ya 2 maximum. Ukikuta mwanamke ana watoto watatu au zaidi huyo alijitoa kimasomaso kuwa mrs mwaflani.

Sasa kama miaka ya 1970 kurudi nyuma wazazi walipata watoto kuanzia 7 hadi 12 kwa wastani.

Ina maana idadi ya watu itashuka sababu kila mtoto akizaa watoto wawili tu haitakuwa the same number kama wangezaa watoto 12 each.
 
Hii sera ya 50/50 hakika ni mbaya sana hasa kwa huu ukanda wa Africa. Imezalisha single mothers wengi sana ambao hupelekea watoto kuwa na maadili mabovu sana na ndio maana vijana wengi huangukia kwenye umalaya na ushoga.

Malezi ya mwanaume kwa mtoto ni ya mwanaume tu ndugu zangu hili wanawake inabidi walitambue.
Ukifanya tathimini ya machangudoa, single mothers, wezi, panya road, na wahuni, wengi wanatokea broken homes ambazo hakuna stable male figure wa kusimamia ubaba.
 
Mtoa mada umesahau kutambua kwamba kila mwanaume anatakiwa aitengeneza Dunia yake mwenyewe na kuiishi......owa mwanamke type yako" utakayeweza kumkontroo kimwili, kiroho na kiuchumi
Haya mambo ya 50/50 yapo humu mitandaoni,...90% ya wanawake duniani hawana taarifa nayo ... ni wewe vile unavyoweza kuchagua na kum-shape to fit in ...in your life (if you have that life)

Nb. Tikisa kichwa kwa nguvu kidogo utanielewa.
Hii point nzito sana
 
Chukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa mjini siku hizi wanaiita matunzo.

Mambo yapo ivyo karibu kila nyanja zinazohusu masuala ya kijinsia na mahusiano. Taasisi zinatetea haki za watoto ukiangalia mkazo mkubwa wameuweka kwa watoto wa kike.

Wanandoa mkiachana kama mali ni za mwanaume zinapigwa pasu kwa pasu ila kama ni za mwanamke hapo mwanaume hapati chochote. Wanasema sababu ni kwamba mwanamke ana haki ya kufidiwa muda na jitihada zake kipindi cha ndoa cha kushangaza muda na gharama alizotumia mwanaume kwenye ndoa iyo iyo hapati fidia yoyote.

Ukiangalia mchakato mzima before, during and after marriage mnufaika mkubwa ni mwanamke lakini jamii imetengenezewa fikra ionekane ananufaika ni mwanaume, ndo hapo mwanaume anatishiwa akiwa bachelor atakapoumwa hakuna wa kumuuguza utafikiri uko kwenye ndoa wanaumwa wanaume tu.

Kwenye suala la DNA napo nishawahi kusikia majibu yakionesha mtoto sio wa mwanaume husika basi mwanaume uyo atadanganywa kuwa ni mtoto wake, wanasema wanalinda masilahi ya mtoto.

Ukija kwenye nasaa za kimaisha tunaambiwa mwanaume kaumbiwa mateso mara kitanda hakizai halamu. Kwamba nibebe mzigo ninaoweza kuuepuka kwa sababu mimi mwanaume? kwamba mwanamke afanye umalaya wake nilee mtoto sio wangu, eti kitanda hakizai halamu.! That is totally bullshit.

Yapo mengi sana yanamkandamiza mwanaume lakini dunia imepotoshwa yaonekane ni kawaida tu. Suala hili halikuonekana tatizo uko zamani kwa sababu mwanamke alikua inferior na mtiifu sana kwa mwanaume.

Kutokana na sera ya 50/50 kushika hatamu kwa sasa wanawake wamekua wabinafsi, wamepandindikizwa chuki na feminists kwamba wanaume ndio wabaya wao hii imewafanya kuwa na roho za kikatili mbaya zaidi washaona mifumo ya kidunia ina loopholes ambazo wakizitumia kimkakati zinaweza kuwapa pesa rahisi au kupata huruma kwa mabaya waliyoyafanya.

Mifano ipo mingi familia ya mzee mengi nusura ipigwe na kitu kizito na klyn, ukiangalia kwa jicho la kosheria inawezekana klyn inawezekana akawa sawa lakini kwa utashi wa kiubinadamu akaonekana ni matapeli.

Dunia ya sasa kwa mwanaume yoyote mwenye ndoto kubwa za kufika mbali kiuchumi basi ndoa ni mtego ambao unaweza kuja kuiangusha himaya yako aliyoijenga kwa miongo mingi.

Kupitia sera ya 50/50 wanawake washapewa access zote za kiuchumi, kijamii na kisiasa binafsi sioni kama kuna haja tena ya kuwapa victim status kama zamani.

Mifumo ifumuliwe mwanamke nae aangaliwe kama predator kama ilo haliwezekani basi ni wajibu wetu wanaume kuishi na wanawake kwa tahadhari kubwa sana ili tusitumike kama levarage.

Mwanaume tambua ya kwamba mpenzi sio mama yako atakaekua upande wako katika kila hali siku zote za maisha yake. Mpenzi anaweza kusitisha mahusiano muda wowote bila kujali umejitoa au umempambania kwa kiasi gani na hakuna utakachoweza kumfanya.

Hivyo basi ukiamua kumwinua mpenzi wako(kumsomesha, kumfungulia biashara, kumtafutia kazi, kumjengea nyumba n.k) basi fanya hivyo kwa kiasi ambacho unaweza kuhimili maumivu ya kukipoteza.

Mwanaume usiweke malengo yako kwa mpenzi/mke, hitaji lako kwa mwanamke liishie kwenye kampani ya kijinsia na kuendeleza kizazi chako tu.
Good points
 
Zamani kulikuwa na tatizo ni Kweli, lakini kutatua tatizo siyo kuleta tatizo tena juu ya tatizo. Mfano ume gundua tatizo lilikuwa kusikiliza upande mmoja, sasa kutatua ni kusikiliza pande mbili na kutoa haki kwa usawa, na siyo kusikiliza upande mmoja kama zamani sababu tayari zamani ulisikiliza upande mmoja sasa huoni kama una rudia tatizo ulilo lifanya zamani ?!
Una akili sana.
 
Umeongea ukweli mtupu.
Japo na wewe mwanaume unaweza jitutumua kupitia hizo sheria.
Dunia ya sasa hakuna kumuonea mwanamke huruma maana hata wao huruma hawana bimaana hawastahili.
Mwanamke akikukatili mkatili mara elfu kiushetani zaidi.
Kheri umuhurumie ibilisi kuliko mwanamke,maana mwanamke ni zaidi ya ibilisi.
Aisee nipe namba yako ya M-pesa nikizawadie bando, umeongea point kishenzi.
 
Mh, ulikutwa na Nini mkuu? Pia uliwapa adhabu gani? ili namimi nimkomeshe atakayejileta.
Mkuu hayo yote yanafahamika.
Huko sie hatupingi,tunapopapinga sisi ni wanawake kujitegeza na kuplay victim kisa wao wamepewa kipaumbele.
Embu mchukulie mfano mke wa Ashraf Hakimi,hakuna sababu ya kudai talaka kadai talaka na kutaka mgawanyo wa mali.
Mwanamke kisa yeye kapewa kipaumbele ya kutetewa basi ule utetezi huutumia vibaya.
Kuna kisa kimoja ngojea nikupe kusadikisha hili.

Kuna siku nilienda serikali za mitaa Kigamboni Kisiwani nikakuta kesi ya dawati la jinsia.Yule binti akikua anadai mwanaume kamzalisha na hamuhudumii yeye na mtoto,jamaa aliitwa hakubishana akakubali kutoa matumizi kila siku akipeleka 10k ya matumizi.

Jamaa chumba alimuachia mwanamke maana maelewano yalikatika akarudi kwa mamaake.
Binti kuona kaachiwa chumba akaanza kuishi na bwana wake mwingine huku bado akidai matumizi.
Jamaa akaona hapana sio kweli,aliamua awe anamchukua mtoto anampeleka kwa mama ake anashinda na kula kesha anamrudisha kwa yule binti akiwa na 3k ya chai tu asubuhi.
Binti karudi dawati la jinsia akidai mwanaume haleti matumizi anamuacha mtoto na njaa ilhali hapo hapo KAACHIWA CHUMBA AKAAMUA KULETA BWANA NDANI.
Hii wewe unaichukuliaje???

Achana na hiyo,kuna jamaa alisafiri kurudi akakuta mkewe kaingiza mchepuko.Jamaa kapaniki na kuanzisha varangati,mkewe imagine mkewe kamuitia jamaa mwizi watu wakaanza kumpiga tena vingunguti,bahati nzuri wakatokea wanaomjua na kusema huyo anaepigwa ndio mume halisi sio mwizi.
Ukitizama hii mifano miwili utakuja kugundua WANAWAKE MASHEITWANI YA KUKUBUHU.
TENA YANAWEZA KUKUANGAMIZA HUKU YANACHEKA KWA KUJIFICHA NYUMA YA MGONGO WA HAKI SAWA KWA WOTE.
Yani hata kama mkosaji ni yeye akienda kulia mahakamani umemuonea BABA HAUSIKILIZWI UNAHUKUMIWA DIRECTLY.

Ndio maana mimi nimekosa huruma kwa hawa viumbe,waliokutana na mimi wanajuta kunifanyia ujinga maana NILIWASULUBU KWA KUWAACHIA KOVU LA MAISHA.
 
Tatizo imeshaonekana haiwezekani kusikiliza pande zote mbili kwa sababu kila upande unataka lake, lakini ukiangalia hali halisi kuna upande ambao ni kweli unaonewa na kuna upande ambao wenyewe unaona ni haki yao kufanya makosa, kikubwa ni kutenda haki na kuhakikisha kila upande unakuwa na furaha na siyo upande mmoja ulazimishwe kusacrifice furaha yake kwa ajili ya furaha ya upande mwingine
Si ndo biblia inavyosema, mwanamke aliumbwa kwaajili ya mwanaume, na siyo kinyume chake.
 
Chukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa mjini siku hizi wanaiita matunzo.

Mambo yapo ivyo karibu kila nyanja zinazohusu masuala ya kijinsia na mahusiano. Taasisi zinatetea haki za watoto ukiangalia mkazo mkubwa wameuweka kwa watoto wa kike.

Wanandoa mkiachana kama mali ni za mwanaume zinapigwa pasu kwa pasu ila kama ni za mwanamke hapo mwanaume hapati chochote. Wanasema sababu ni kwamba mwanamke ana haki ya kufidiwa muda na jitihada zake kipindi cha ndoa cha kushangaza muda na gharama alizotumia mwanaume kwenye ndoa iyo iyo hapati fidia yoyote.

Ukiangalia mchakato mzima before, during and after marriage mnufaika mkubwa ni mwanamke lakini jamii imetengenezewa fikra ionekane ananufaika ni mwanaume, ndo hapo mwanaume anatishiwa akiwa bachelor atakapoumwa hakuna wa kumuuguza utafikiri uko kwenye ndoa wanaumwa wanaume tu.

Kwenye suala la DNA napo nishawahi kusikia majibu yakionesha mtoto sio wa mwanaume husika basi mwanaume uyo atadanganywa kuwa ni mtoto wake, wanasema wanalinda masilahi ya mtoto.

Ukija kwenye nasaa za kimaisha tunaambiwa mwanaume kaumbiwa mateso mara kitanda hakizai halamu. Kwamba nibebe mzigo ninaoweza kuuepuka kwa sababu mimi mwanaume? kwamba mwanamke afanye umalaya wake nilee mtoto sio wangu, eti kitanda hakizai halamu.! That is totally bullshit.

Yapo mengi sana yanamkandamiza mwanaume lakini dunia imepotoshwa yaonekane ni kawaida tu. Suala hili halikuonekana tatizo uko zamani kwa sababu mwanamke alikua inferior na mtiifu sana kwa mwanaume.

Kutokana na sera ya 50/50 kushika hatamu kwa sasa wanawake wamekua wabinafsi, wamepandindikizwa chuki na feminists kwamba wanaume ndio wabaya wao hii imewafanya kuwa na roho za kikatili mbaya zaidi washaona mifumo ya kidunia ina loopholes ambazo wakizitumia kimkakati zinaweza kuwapa pesa rahisi au kupata huruma kwa mabaya waliyoyafanya.

Mifano ipo mingi familia ya mzee mengi nusura ipigwe na kitu kizito na klyn, ukiangalia kwa jicho la kosheria inawezekana klyn inawezekana akawa sawa lakini kwa utashi wa kiubinadamu akaonekana ni matapeli.

Dunia ya sasa kwa mwanaume yoyote mwenye ndoto kubwa za kufika mbali kiuchumi basi ndoa ni mtego ambao unaweza kuja kuiangusha himaya yako aliyoijenga kwa miongo mingi.

Kupitia sera ya 50/50 wanawake washapewa access zote za kiuchumi, kijamii na kisiasa binafsi sioni kama kuna haja tena ya kuwapa victim status kama zamani.

Mifumo ifumuliwe mwanamke nae aangaliwe kama predator kama ilo haliwezekani basi ni wajibu wetu wanaume kuishi na wanawake kwa tahadhari kubwa sana ili tusitumike kama levarage.

Mwanaume tambua ya kwamba mpenzi sio mama yako atakaekua upande wako katika kila hali siku zote za maisha yake. Mpenzi anaweza kusitisha mahusiano muda wowote bila kujali umejitoa au umempambania kwa kiasi gani na hakuna utakachoweza kumfanya.

Hivyo basi ukiamua kumwinua mpenzi wako(kumsomesha, kumfungulia biashara, kumtafutia kazi, kumjengea nyumba n.k) basi fanya hivyo kwa kiasi ambacho unaweza kuhimili maumivu ya kukipoteza.

Mwanaume usiweke malengo yako kwa mpenzi/mke, hitaji lako kwa mwanamke liishie kwenye kampani ya kijinsia na kuendeleza kizazi chako tu.
Ila una uchungu mheshimiwa,navyojua mimi kuna nguvu kubwa Nyuma ya pazia kuhusu kampeni ya kulegeza wanaume kuwa duni kiuzazi ili dunia itawaliwe kiiluminat.
 
Mnadiscuss hizi mada kwa hasira sana, mna watoto wa kiume na wakike? Kama hamna mna mpango huo au ninyi ni pro-choice?

Pro-life sote tunatakiwa kuadvocate jamii yenye usawa and harmony huku kila mmoja kwa jinsia yake akiyafahamu majukumu yake vyema.

Vijana bwana mna mihemko tele na hasira za kujaa, y’all chill!
 
Sasa kutafuta furaha kukataa ndoa ?!
Maana yake una enda kinyume na matakwa ya Mwenyezi Mungu aliye kuumba. Sijui kama ume elewa. Unaweza vipi tafuta furaha kwa kukataa ndoa ebu nijibu hapo ?!
Hilo swali wanatakiwa waulizwe wanaume ambao ndio wanaongoza kampeni ya kataa ndoa, mnachotakiwa mjue ni kwamba lolote ambalo wanawake wanalifanya leo hii ni matokeo ya tabia za wanaume, sasa kama waoaji hakuna wanaume wengi hawataki kuoa unataka wanawake wafanyeje mkuu
 
"Tatizo imeshaonekana haiwezekani kusikiliza pande zote mbili."
Hivi ndivyo jinsi ulivyo andika, kwamba haiwezekani.

Sasa mbona hapa chini umenijibu tena kwamba lazima kutenda haki pande zote mbili

"kikubwa ni kutenda haki na kuhakikisha kila upande unakuwa na furaha na siyo upande mmoja ulazimishwe kusacrifice furaha yake kwa ajili ya furaha ya upande mwingine"
Ndio nilichokiandika ndicho nilichokimaanisha wala sijakosea mkuu, ukiwasikiliza wanawake wanataka haki itendeke yani haki sawa kwa wote, ukiwasikiliza wanaume hawataki haki sawa wao wanataka mwanamke aendelee kukandamizwa ndio wapate furaha
 
Mkuu yupo sawa. Tupo affected sana na wamagharibi. Ni kama tunafata nyayo zao kwa kuchelewa. Yaani wakimalizana na stage fulani baada ya miaka na sisi tunaanza kuipitia kwa kujifunza bila kujali iliwaumiza au la. Sisi tunaiga tu.
Globalization
 
Hili tayari wanaume tumeng'amua kitambo sana, ndio maana kuna kampeni ya KATAA NDOA NI UTAPELI hii wameanzisha wanaume.
Mkuu ndio maana niliuliza kama unajua kusoma alama za nyakati, na sijui hata kama unauona uhalisia wa wapi tulipo kama jamii na wapi tunaelekea, usichokijua ni kwamba wanaume wameanzisha kampeni ya kataa ndoa si kwamba eti ni kweli hawataki ndoa

Bali lengo lao ni kuwakomoa wanawake ili wabadili tabia zao waanze kujirudi na kuwa wife material, sababu wanajua toka enzi jamii imemfanya mwanamke awe desperate na ndoa, hivyo wanaume wanaamini wakijifanya kususia ndoa basi wanawake watafanya kila namna wabadili tabia zao ili wapate ndoa

Sasa unfortunately wanawake wa aina hiyo walikuwepo zamani hawa wa sasa ukisusa hawabembelezi kwahiyo baada ya kuona kwamba wanaume wamesusa ndoa, nao ndio wanatafuta sasa namna ya kuwa na furaha bila ndoa kwahiyo ni kama wameenda kinyume na matarajio ya wanaume wengi, yani badala ya wanawake kuwabembeleza wanaume matokeo yake nao wameamua kususa
 
Hiyo 50/50 mnayo ipigania ndiyo ime fikisha huko, kwa ufupi waliyo ileta hiyo 50/50 hawaja tatua taitizo bali wame weka moto juu ya moto, tatizo juu la tatizo.
Hilo swali wanatakiwa waulizwe wanaume ambao ndio wanaongoza kampeni ya kataa ndoa, mnachotakiwa mjue ni kwamba lolote ambalo wanawake wanalifanya leo hii ni matokeo ya tabia za wanaume, sasa kama waoaji hakuna wanaume wengi hawataki kuoa unataka wanawake wafanyeje mkuu
 
Hiki kinachoendelea kitakuja kuwaweka sehemu mbaya sana watoto wa kike siku za baadae na watakosa kabisa utetezi sababu ya upumbavu wa kundi la wachache.

Unapokandamizwa au kuonewa ukapata nafasi ya kujitetea then tumia hiyo nafasi kumsaidia aliye kukandamiza ajue mapungufu yake na aweze jua jinsi ya kukusaidia usiumie.

Ujinga unaondelea kwa wanawake wa kisasa mnataka kushindana na wanaume as if walikuwapo miaka hiyo au walihusika. Binti kuzaliwa miaka ya 1980 au 1990 au 2000 visa vya kihistoria wewe vinakuhusu nini kutaka kujifanya shujaa wa jinsia utake kulipa kisasi? [emoji848]

Sasa nikwambie tu ufahamu, atakae komoka hapa ni mwanamke kwasababu haya mnayofanya kwa bahati mbaya sana yanatokea kizazi cha internet ambapo ushahidi upo wazi kabisa wa tabia na kauli za mwanamke anapofanikiwa au kuwezeshwa anakuwaje.

Unaweza kunipa ushahidi wa kukandamizwa mwanamke enzi za mababu zetu zaidi ya story za kuhadithiwa na mashangazi na mama zetu?[emoji848]

Ila mimi ukitaka nikuonyeshe kwa ushahidi wa video tabia mbaya za wanawake na kwann hawaruhusiwi hata kutoka nje ushahidi upo humo mitandaoni.

Unadhani uarabuni hadi wanakuwa watata kwa wanawake vile ilikuwaje?

Itakuja kufika kipindi hizi kauli zenu za madharau na jeuri na kutaka kujilinganisha na wanaume ndizo zitakuja tumika baadae kutunga sheria zitakazokataza wanawake kufanya kazi, kuongea mbele ya mwanaume, kutoruhusiwa kupiga kura yoyote, kutosikilizwa kwenye kesi au maushauri, kutokuwa na maamuzi yoyote sababu ya wanawake wapuuzi na wapumbavu wachache ambao walizaliwa nyakati za mabadiliko mkaleta utoto badala ya kutumia hiyo fursa kuprove kuwa mwanamke ni kiumbe anayejitambua na ni msaada mkubwa kwa mwanaume.
Mkuu unataka wanawake wawasaidie mara ngapi kujua hayo mapungufu yenu ya tangu enzi na enzi, kwani siyo ninyi mnaoambiwa kila siku muache kunyanyasa wanawake ila ndio kwanza mnajibu kwa jeuri kwamba wanaume kufanya hivyo ni sawa sababu ni viongozi, sikiliza mkuu hakuna kiumbe atakubali umnyanyase kwa sababu yoyote ile (hata kama unamhudumia) hata mifugo yako tu yenyewe ukiinyanyasa eti kisa unaihudumia ipo siku tu itachoka na itakugeuka sembuse mwanamke ambaye ni kiumbe mwenye utashi kama wewe
 
Back
Top Bottom