Huna akili ndo maana unaogopa....Wanawake ni mashetani kuliko Lucifer mwenyewe, kaka yangu anateswa na Lucifer wake mpaka na mimi naogopa kuoa.
Ukoo wako wote hamna mifano ya ndoa nzuri?? Kama hamna basi ni mna kizazi cha kishenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili ndo maana unaogopa....Wanawake ni mashetani kuliko Lucifer mwenyewe, kaka yangu anateswa na Lucifer wake mpaka na mimi naogopa kuoa.
Hizo huduma unazosema ikiwemo sex ndo nikulipe mali zangu nusu tukiachana? Inamaana mwanaume hakutoa nguvu zake na pesa zake kwa huyo mwanamke kuanzia kulipa mahari, kugharamia harusi, send-off na kumtunza mwanamke kwa gharama, kwanini hizo hazihesabiki kama mchango wa mwanaume ktk ndoa? Kwanini unahesabika mchango wa mwanamke tu? Na gharama alizopoteza mwanaume zinafidiwa vipi?Maisha yako binafsi hayanihusu ila ungekuwa umeoa usingesema mwanamke kwenye ndoa anakupa k tu, majukumu ya nyumbani na kulea watoto bila shaka yote hayo unayafanya wewe, au hata kama umeajiri mtu basi nina uhakika naye ni mwanamke tu
By the way hata mwanamke kukupa K tu nacho ni kitu muhimu, kwa sababu huwa mnakiri wenyewe kwamba hamuwezi kuishi bila sex ni kama chakula kwenu, na hamna pengine pa kuipata zaidi ya kwa mwanamke sasa mbona mnaidharau tena
Kusema kwamba mke hana cha kuoffer zaidi ya sex ni sawa na kusema mawingu hayana cha kuoffer zaidi ya mvua, labda nikuulize mfano una mwanamke mwema anakupenda anakujali siyo malaya wala siyo jeuri, ila tu hakupi sex vipi utamuelewa na utaendelea kuwa naye
Huo ni utapeli uliohalalishwa tu.Hivi kuhusu hilo suala la mgawanyo wa mali mnataka mfafanuliwe mara ngapi ni kwamba hamuelewi au mmeamua tu kukaza mafuvu, umeshaambiwa huo mgawanyo ni kutokana na muda na nguvu alizowekeza mwanamke katika kutimiza majukumu yake ya nyumbani ikiwemo kulea watoto na kukutii wewe, sasa unaweza kunipa sababu kwanini mume naye apewe mali za mke wake nusu ni kwa vigezo gani
Na hapa ndio mimi huwa nakataa suala la mgawanyo 50/50. Kama mwanamke anapewa fidia ya kutoa uroda, kupika chakula, kufanya usafi nyumbani kwangu je kipindi anafanya hayo majukumu yeye alikua anashinda njaa? Alikua haishi hapo? Kama suala ni fidia basi mwanamke nae anatakiwa kutoa fidia ya kupewa chakula na makazi kipindi chote cha ndoa.Hizo huduma unazosema ikiwemo sex ndo nikulipe mali zangu nusu tukiachana? Inamaana mwanaume hakutoa nguvu zake na pesa zake kwa huyo mwanamke kuanzia kulipa mahari, kugharamia harusi, send-off na kumtunza mwanamke kwa gharama, kwanini hizo hazihesabiki kama mchango wa mwanaume ktk ndoa? Kwanini unahesabika mchango wa mwanamke tu? Na gharama alizopoteza mwanaume zinafidiwa vipi?
Nikiwa nimeweka housegirl kuna haja ya kukulipa 50% ya mali? Halafu unavyotetea hiyo sex, kwani tukifanyana, nawewe hupati raha? Kwanini nikulipe? Hebu jibu hayo maswali, mwisho maisha yangu binafsi hayakuhusu.
Tatizo lako wewe unapenda vita hata ambapo hakuna ulazima. yaani hapa wewe shida yako ni kulazimisha tu mume aingie jikoni kupika. mke wangu anaenda kazini kwaiyo anakosa muda wa kutimiza majukumu ya nyumbani tutaajiri house girl sio lazima mimi nioshe vyombo au nipikeJibu swali kwanini mnataka wanawake wawasaidie jukumu lenu ilihali ninyi hamtaki kuwasaidia ya kwao
Mnajipa moyo tu. Ingekua ivyo msingejazana kwa mwamposa au kwenda kwenye upepo wa kisulisuli kutafuta mumeSiku hizi watu hawasubiri ndoa wanajizalia tu....
Na huko mbele wanawake wataanza nunua sperms, ni swala la muda tu
Kwa majibu hayo, kama umeolewa, basi aliyekuoa akapimwe akili.Huna akili ndo maana unaogopa....
Ukoo wako wote hamna mifano ya ndoa nzuri?? Kama hamna basi ni mna kizazi cha kishenzi
Ndo hapo sasa hilo hawafikirii, sheria irekebishwe, watu wakiachana, kila mtu aondoke na alichokuja nacho, haina haja ya kumlipa mtu kwaajili ya kazi ambazo ni majukumu yake. Wanawaza miserereko tu ndomaana hata wanakosa akili ya kujitafutia vya kwao mabosi wa Lucifer hawa, hata Lucifer anawaogopa wasije wakaipindua serikali yake.Na hapa ndio mimi huwa nakataa suala la mgawanyo 50/50. Kama mwanamke anapewa fidia ya kutoa uroda, kupika chakula, kufanya usafi nyumbani kwangu je kipindi anafanya hayo majukumu yeye alikua anashinda njaa? Alikua haishi hapo? Kama suala ni fidia basi mwanamke nae anatakiwa kutoa fidia ya kupewa chakula na makazi kipindi chote cha ndoa.
Kwny ishu ya mahusiano uko sahihi, mwanaume inakula kwake big time.Chukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa mjini siku hizi wanaiita matunzo.
Mambo yapo ivyo karibu kila nyanja zinazohusu masuala ya kijinsia na mahusiano. Taasisi zinatetea haki za watoto ukiangalia mkazo mkubwa wameuweka kwa watoto wa kike.
Wanandoa mkiachana kama mali ni za mwanaume zinapigwa pasu kwa pasu ila kama ni za mwanamke hapo mwanaume hapati chochote. Wanasema sababu ni kwamba mwanamke ana haki ya kufidiwa muda na jitihada zake kipindi cha ndoa cha kushangaza muda na gharama alizotumia mwanaume kwenye ndoa iyo iyo hapati fidia yoyote.
Ukiangalia mchakato mzima before, during and after marriage mnufaika mkubwa ni mwanamke lakini jamii imetengenezewa fikra ionekane ananufaika ni mwanaume, ndo hapo mwanaume anatishiwa akiwa bachelor atakapoumwa hakuna wa kumuuguza utafikiri uko kwenye ndoa wanaumwa wanaume tu.
Kwenye suala la DNA napo nishawahi kusikia majibu yakionesha mtoto sio wa mwanaume husika basi mwanaume uyo atadanganywa kuwa ni mtoto wake, wanasema wanalinda masilahi ya mtoto.
Ukija kwenye nasaa za kimaisha tunaambiwa mwanaume kaumbiwa mateso mara kitanda hakizai halamu. Kwamba nibebe mzigo ninaoweza kuuepuka kwa sababu mimi mwanaume? kwamba mwanamke afanye umalaya wake nilee mtoto sio wangu, eti kitanda hakizai halamu.! That is totally bullshit.
Yapo mengi sana yanamkandamiza mwanaume lakini dunia imepotoshwa yaonekane ni kawaida tu. Suala hili halikuonekana tatizo uko zamani kwa sababu mwanamke alikua inferior na mtiifu sana kwa mwanaume.
Kutokana na sera ya 50/50 kushika hatamu kwa sasa wanawake wamekua wabinafsi, wamepandindikizwa chuki na feminists kwamba wanaume ndio wabaya wao hii imewafanya kuwa na roho za kikatili mbaya zaidi washaona mifumo ya kidunia ina loopholes ambazo wakizitumia kimkakati zinaweza kuwapa pesa rahisi au kupata huruma kwa mabaya waliyoyafanya.
Mifano ipo mingi familia ya mzee mengi nusura ipigwe na kitu kizito na klyn, ukiangalia kwa jicho la kosheria inawezekana klyn inawezekana akawa sawa lakini kwa utashi wa kiubinadamu akaonekana ni matapeli.
Dunia ya sasa kwa mwanaume yoyote mwenye ndoto kubwa za kufika mbali kiuchumi basi ndoa ni mtego ambao unaweza kuja kuiangusha himaya yako aliyoijenga kwa miongo mingi.
Kupitia sera ya 50/50 wanawake washapewa access zote za kiuchumi, kijamii na kisiasa binafsi sioni kama kuna haja tena ya kuwapa victim status kama zamani.
Mifumo ifumuliwe mwanamke nae aangaliwe kama predator kama ilo haliwezekani basi ni wajibu wetu wanaume kuishi na wanawake kwa tahadhari kubwa sana ili tusitumike kama levarage.
Mwanaume tambua ya kwamba mpenzi sio mama yako atakaekua upande wako katika kila hali siku zote za maisha yake. Mpenzi anaweza kusitisha mahusiano muda wowote bila kujali umejitoa au umempambania kwa kiasi gani na hakuna utakachoweza kumfanya.
Hivyo basi ukiamua kumwinua mpenzi wako(kumsomesha, kumfungulia biashara, kumtafutia kazi, kumjengea nyumba n.k) basi fanya hivyo kwa kiasi ambacho unaweza kuhimili maumivu ya kukipoteza.
Mwanaume usiweke malengo yako kwa mpenzi/mke, hitaji lako kwa mwanamke liishie kwenye kampani ya kijinsia na kuendeleza kizazi chako tu.
Au ndiyo ile, Mimi nataka mtoto wangu mmoja tuu basi inatosha. 😉😂Nitajioa mwenyewe mkuu 😂😂😂😂
Mwanamke ukishamzalisha Watoto wengi kwisha habari yake, hata mgawane pasu Kwa pasu Mali zitabakia kuwa za Watoto tuu, hakuna zitakapokwendaChukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa mjini siku hizi wanaiita matunzo.
Mambo yapo ivyo karibu kila nyanja zinazohusu masuala ya kijinsia na mahusiano. Taasisi zinatetea haki za watoto ukiangalia mkazo mkubwa wameuweka kwa watoto wa kike.
Wanandoa mkiachana kama mali ni za mwanaume zinapigwa pasu kwa pasu ila kama ni za mwanamke hapo mwanaume hapati chochote. Wanasema sababu ni kwamba mwanamke ana haki ya kufidiwa muda na jitihada zake kipindi cha ndoa cha kushangaza muda na gharama alizotumia mwanaume kwenye ndoa iyo iyo hapati fidia yoyote.
Ukiangalia mchakato mzima before, during and after marriage mnufaika mkubwa ni mwanamke lakini jamii imetengenezewa fikra ionekane ananufaika ni mwanaume, ndo hapo mwanaume anatishiwa akiwa bachelor atakapoumwa hakuna wa kumuuguza utafikiri uko kwenye ndoa wanaumwa wanaume tu.
Kwenye suala la DNA napo nishawahi kusikia majibu yakionesha mtoto sio wa mwanaume husika basi mwanaume uyo atadanganywa kuwa ni mtoto wake, wanasema wanalinda masilahi ya mtoto.
Ukija kwenye nasaa za kimaisha tunaambiwa mwanaume kaumbiwa mateso mara kitanda hakizai halamu. Kwamba nibebe mzigo ninaoweza kuuepuka kwa sababu mimi mwanaume? kwamba mwanamke afanye umalaya wake nilee mtoto sio wangu, eti kitanda hakizai halamu.! That is totally bullshit.
Yapo mengi sana yanamkandamiza mwanaume lakini dunia imepotoshwa yaonekane ni kawaida tu. Suala hili halikuonekana tatizo uko zamani kwa sababu mwanamke alikua inferior na mtiifu sana kwa mwanaume.
Kutokana na sera ya 50/50 kushika hatamu kwa sasa wanawake wamekua wabinafsi, wamepandindikizwa chuki na feminists kwamba wanaume ndio wabaya wao hii imewafanya kuwa na roho za kikatili mbaya zaidi washaona mifumo ya kidunia ina loopholes ambazo wakizitumia kimkakati zinaweza kuwapa pesa rahisi au kupata huruma kwa mabaya waliyoyafanya.
Mifano ipo mingi familia ya mzee mengi nusura ipigwe na kitu kizito na klyn, ukiangalia kwa jicho la kosheria inawezekana klyn inawezekana akawa sawa lakini kwa utashi wa kiubinadamu akaonekana ni matapeli.
Dunia ya sasa kwa mwanaume yoyote mwenye ndoto kubwa za kufika mbali kiuchumi basi ndoa ni mtego ambao unaweza kuja kuiangusha himaya yako aliyoijenga kwa miongo mingi.
Kupitia sera ya 50/50 wanawake washapewa access zote za kiuchumi, kijamii na kisiasa binafsi sioni kama kuna haja tena ya kuwapa victim status kama zamani.
Mifumo ifumuliwe mwanamke nae aangaliwe kama predator kama ilo haliwezekani basi ni wajibu wetu wanaume kuishi na wanawake kwa tahadhari kubwa sana ili tusitumike kama levarage.
Mwanaume tambua ya kwamba mpenzi sio mama yako atakaekua upande wako katika kila hali siku zote za maisha yake. Mpenzi anaweza kusitisha mahusiano muda wowote bila kujali umejitoa au umempambania kwa kiasi gani na hakuna utakachoweza kumfanya.
Hivyo basi ukiamua kumwinua mpenzi wako(kumsomesha, kumfungulia biashara, kumtafutia kazi, kumjengea nyumba n.k) basi fanya hivyo kwa kiasi ambacho unaweza kuhimili maumivu ya kukipoteza.
Mwanaume usiweke malengo yako kwa mpenzi/mke, hitaji lako kwa mwanamke liishie kwenye kampani ya kijinsia na kuendeleza kizazi chako tu.
Kwa mtindo huu ndo maana wanaume wanatamani wawe wanawake na idadi ya mashoga inaongezeka. Kumbe mfumo ndo unatengeneza mashoga bila kujua,Ukizaliwa mwanaume we ujue Kila kitu kwako itakuwa ni tabu...
Huu wimbo ulimaliza Kila kitu.
Mhh una madini matamuUnajua tumefikaje hapa?
1. Ongezeko la wanaume kuwa na nyumba ndogo na kuisahau familia, mke anakosa option anaanza kutoka kufanya jukumu la mwanaume wake. Huko nje anakutana na wenzake, wanajiongeza, vinaundwa vikoba, vikundi, mabank yanaona fursa, yanatoa mikopo mwishowe wanaibuka malkia wa nguvu.
2. Ongezeko la vijana wala kimasihara. Binti kashika mimba, kijana kakimbia, binti kaacha shule kulea mimba, kijana kaendelea na shule, kijana kamaliza shule, kachukua binti mwingine. Wazazi wa binti wamepewa jukumu la kulea binti na mjukuu. Jamii inaona, inajifunza kuwa binti anaweza kutelekezwa inapambana kumwinua, binti anaiunuka, malkia wa nguvu anaibuka.
3. Ongezeko la wanaume maboss waroho. Vijana na mabinti wamemaliza chuo, wameomba kazi, mabinti ni warembo, boss anavutiwa nao, anawapa ajira, mishahara mizuri vijana wanabaki mtaani. Malkia wa nguvu malaya wanaibuka.
Huko vyuoni kuna degree zinaitwa za chupi.
4. Ongezeko la wanaume six pac na gym ila mariooo. Obvious hapa mwanmke atahitaji kumlisha, kumvisha n.k
5. Uwepo wanaume wapenzi wa jinsia moja. Hapa sina la kusema.
KWA UFUPI, MWANAMKE KAINUKA BAADA YA MWANAUME KUMPA SABABU YA KUINUKA. OTHERWISE HAKUKUWA NA SABABU YA MWANAMKE KUTAKA KUWA MWANAUME. MWANAMKE NATURE TU ILIVYOMUUMBA ANAFURAHIA KUWA NA MUME ANAYEMHUDUMIA NA YEYE AMTUNZE YEYE NA WATOTO.
Mwanamke anadhulimika kivipi kaka naomba nielewesheKwny ishu ya mahusiano uko sahihi, mwanaume inakula kwake big time.
Ila kwenye masuala ya kurithi mali, elimu ambayo inakuja kuresult kwny ajira, mwanamke anadhulumika.
Kama yeye hapati hiyo raha aisee.Kwahiyo kunipa K ndo kitu cha maana ?
Kwanza kabisa mgawanyo wa mali ni kwa sababu mkiachana mara nyingi mke ndio hubaki na watoto, sasa unataka watoto wako waendelee kuhudumiwa na nani maana kumbuka mama ataendeleza gurudumu la kuwalea, kama mume atabaki na watoto basi hakutakuwa na mgawanyo wa mali unless kama mlichuma wote hapo kugawana kupo pale paleHizo huduma unazosema ikiwemo sex ndo nikulipe mali zangu nusu tukiachana? Inamaana mwanaume hakutoa nguvu zake na pesa zake kwa huyo mwanamke kuanzia kulipa mahari, kugharamia harusi, send-off na kumtunza mwanamke kwa gharama, kwanini hizo hazihesabiki kama mchango wa mwanaume ktk ndoa? Kwanini unahesabika mchango wa mwanamke tu? Na gharama alizopoteza mwanaume zinafidiwa vipi?
Nikiwa nimeweka housegirl kuna haja ya kukulipa 50% ya mali? Halafu unavyotetea hiyo sex, kwani tukifanyana, nawewe hupati raha? Kwanini nikulipe? Hebu jibu hayo maswali, mwisho maisha yangu binafsi hayakuhusu.
Sasa si ndio uoneshe huo utapeli uko wapi hapoHuo ni utapeli uliohalalishwa tu.
Hoja yangu ni kwanini majukumu ya nyumbani yaendelee kuonekana ya mwanamke peke yake ilihali ya kutafuta pesa yanaonekana ni ya wote, si lazima mwanaume aingie jikoni sawa mnaweza mkaweka msaidizi lakini mbona pamoja na kuweka msaidizi bado huwa mnataka mwanamke asimamie au asaidie na asipofanya hivyo visingizio vya kuchepuka vinaanza, usijiongelee wewe tu hapa tuongelee uhalisia uliopo kwa wanaume wengi yani wanaume wengi wanataka lazima wake zao wajihusishe kwenye majukumu ya nyumbani hata kama nao wanatafuta pesa utasikia "sasa nimeoa mke wa kazi gani"Tatizo lako wewe unapenda vita hata ambapo hakuna ulazima. yaani hapa wewe shida yako ni kulazimisha tu mume aingie jikoni kupika. mke wangu anaenda kazini kwaiyo anakosa muda wa kutimiza majukumu ya nyumbani tutaajiri house girl sio lazima mimi nioshe vyombo au nipike
Kakojoe ulale nyang'au wewe...Kwa majibu hayo, kama umeolewa, basi aliyekuoa akapimwe akili.
Wasio na akili ndo wanajazana huko kwa watumishi hewaMnajipa moyo tu. Ingekua ivyo msingejazana kwa mwamposa au kwenda kwenye upepo wa kisulisuli kutafuta mume