Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Israhell Bure kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo mwakaleli tukuyuNiliwahi kusikia na Tanzania tuna mfumo wa kuzuia makombora ya ICBM umewekwa Dar na Arusha Kuna ukweli wowote juu ya usemi huu?kama ni kweli pongezi Kwa jeshi letu Bora duniani likishikilia nafasi ya sita kati ya Nchi zote duniani Kwa mujibu wa msemaji wake
Basi tuko vizuri.Upo mwakaleli tukuyu
Kuitegemea Iran ikiri kuwa kulikuwa na madhara kutokana na haya mashambulizi ni sawa na "kutegemea serikali ya chura kiziwi ikiri kuwa Tanzagiza Kuna utekaji na uuaji"
Jomba uwe na macho yanayo tymika kusoma news kwa mitandao auKobaz wanasema wewe uwaonyeshe kwanza hizo ndege 100 zilipokua kwenye anga la IRAN ili na wao wakuonyeshe walivyo zitungua.
Usitudanganye we zumbukuku hauongei na watoto wenzako.Huo mfumo wa ulinzi ulikuwa unafanya nini wakati ndege zinatamba ndani ya anga la Iran? Nimesikiliza mahali nokamvulia kofta Myahudi. Kumbe walirusha kwanza makombora feki mifumo ya Iran ikawa bize kutungua maboya na ndege zikaingia na kupiga maeneo ya kijeshi!
We jamaa ni zumbukuku.Hio ni Simulation usitupange Mzee hivyo vigemu vya mchongo hata wewe unaweza kutengeneza na kuviweka X
Simulation hioWe jamaa ni zumbukuku.
Hiyo simulation gani inakaa hivyo!?
Au unatuchukulia sisi hatuna ujuzi wa hivyo vitu!??
Sisi sio watoto brotheeSimulation hio
Wewe ni mtotoSisi sio watoto brothee
Endelea kujidanganya kijana.Wewe ni mtoto