Migogoro inayoendelea duniani inathibitisha kutokuwepo kwa huyo Mungu anaye aminiwa kuwepo

Migogoro inayoendelea duniani inathibitisha kutokuwepo kwa huyo Mungu anaye aminiwa kuwepo

Unajificha nyuma ya keyboard hapa unatukana ukute mama yako mzazi jf ina wenyewe mtoto wa juzi wewe.
😀😀
Ni wewe ndo ulianzisha matusi humu. Labda kama yameanza kukuingia baada ya kushughulikiwa. Keep it usiplay the nice guy card. You started abusing.
 
Wewe jamaa mattercall sana. So wewe Karl Marx unamjua? Kuna watu wana shobo *****🙌🏾
Namfahamu na nimesoma publication zake kama vile communism manifesto na das capitalism hivyo ninajua kiundani sio kama wewe unayetoa story kijiweni na kudanganya watu hapa .
😀😀
 
Ni wewe ndo ulianzisha matusi humu. Labda kama yameanza kukuingia baada ya kushughulikiwa. Keep it usiplay the nice guy card. You started abusing.
Kati yangu na mtoa mada angalia nani ameanza
Kwa kuwa uliparamia tu kwa mbele kama mavi ya asubuhi ndio maana ukaja juu juu
 
Kujadili vitu na mafala kazi sana. Ungetry and understand usingeandika same shit in different words. Jinga kabisa. Baki ubishane na mattercall wenzako.
Shida uliparamia mambo juu. Juu jomba

Umeulizwa
Deism
Monotheism
Judaic
Abrahamic

Unawajua kwanza jibu twende
 
Kati yangu na mtoa mada angalia nani ameanza
Kwa kuwa uliparamia tu kwa mbele kama mavi ya asubuhi ndio maana ukaja juu juu
Basi baki na mwanamke mwenzio huyo mbibi faiza mjadiliane mambo ya mungu aliyefeli. Wanahizaya wakubwa nyie😂
 
Mungu ni hadithi zisizo na kichwa wala miguu.

Mungu wa kwenye biblia ni hadithi tu zisizo na kichwa wala miguu, hayupo.
hadithi za Sungura na Fisi ni hadithi za kale zenye visa vya kubuni ila haziondoi ukweli kwamba hao viumbe wapo na hua tunawaona live
so hadithi yoyote hua haizungumzii vitu ambavyo havijawahi exist katika uhalisia
hivyo cool jambo usipolielewa haimaanishi halieleweki ila ni ujinga tu unakusumbua
ukikua utajua na utaacha!
 
hadithi za Sungura na Fisi ni hadithi za kale zenye visa vya kubuni ila haziondoi ukweli kwamba hao viumbe wapo na hua tunawaona live
so hadithi yoyote hua haizungumzii vitu ambavyo havijawahi exist katika uhalisia
hivyo cool jambo usipolielewa haimaanishi halieleweki ila ni ujinga tu unakusumbua
ukikua utajua na utaacha!
Achana na hizo ngonjera, Mungu hayupo. Ni watu tu wasio na matumaini yoyote ndio wanaweza kuaminishwa huo ujinga.
 
Achana na hizo ngonjera, Mungu hayupo. Ni watu tu wasio na matumaini yoyote ndio wanaweza kuaminishwa huo ujinga.
punguza stess enjoy maisha mkuu kwani huyo Mungu akiwepo au asipokuwepo kwa akili yako unadhani kuna nongwa basi,
ni vile umeamua kujipa faraja tupu kwa kusema hayupo ila powa tu hainihusu!
 
punguza stess enjoy maisha mkuu kwani huyo Mungu akiwepo au asipokuwepo kwa akili yako unadhani kuna nongwa basi,
ni vile umeamua kujipa faraja tupu kwa kusema hayupo ila powa tu hainihusu!
Sijui hata kama shule ulienda, na kama ulienda sijui kama ulimaliza hata darasa la 7.

Badala ya kujibu hoja umekalia kunishambulia personally, mara nina stress, sijui nini, sasa sijui umekua mke wangu hadi ujue mood zangu zikoje hata sielewi.

Nina stress ama sina sio hoja, hoja ni uwepo wa mungu. Jadili hoja achana na mimi. Mimi kua na stress ama kutokua nazo bado hujajibu hoja kwamba mungu hayupo.

Shida ya Jamii Forum unajikuta unajibizana na watu wenye shule ndogo, exposure ndogo, uelewa mdogo na akili ndogo na vitu kama hivyo. Hawajibu hoja, hawana hoja, hukimbilia kutukana watu. Tatizo kubwa sana.
 
Sijui hata kama shule ulienda, na kama ulienda sijui kama ulimaliza hata darasa la 7.

Badala ya kujibu hoja umekalia kunishambulia personally, mara nina stress, sijui nini, sasa sijui umekua mke wangu hadi ujue mood zangu zikoje hata sielewi.

Nina stress ama sina sio hoja, hoja ni uwepo wa mungu. Jadili hoja achana na mimi. Mimi kua na stress ama kutokua nazo bado hujajibu hoja kwamba mungu hayupo.

Shida ya Jamii Forum unajikuta unajibizana na watu wenye shule ndogo, exposure ndogo, uelewa mdogo na akili ndogo na vitu kama hivyo. Hawajibu hoja, hawana hoja, hukimbilia kutukana watu. Tatizo kubwa sana.
hoja gani punguza stess wewe?
shure yangu inakuhusu nini mura mimi ni ra saba F
so uritakaje mura
mungu =Mungu
Jamii Forum = Jamii Forums
acha wenge na kujiona smart sana wewe hiyo shule kubwa imekusaidia nini katika Taifa hili lisilokua na kiwanda cha toothpicks na sindano ya kushonea nguo?
Elimu yako ni useless punguza ushamba wa kuchukulia kila kitu serious kamanda utapasuka nyongo ebooo!
 
Back
Top Bottom