FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Nimeshajua sasa mkuu Huna akili ...!
Mungu ni nini kwanza tuanzie hapo ukijibu nikupe hela.
Tafsiri ya Mungu ni pana kuliko uelewa wako.
Mao ze Dong alikuwa anaji refer kama Mungu na wachina walimtambua kama Mungu
Kumbuka China yake Mao ilikuwa inafuata scientific socialism ya Karl marx unasemaje hapo??
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. 1
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. 2
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa 3
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. 4