Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hivi katika utatuzi wa migogoro ya ardhi au mashauri ya ardhi katika vyombo vya kutoa haki(mabaraza ya ardhi na mahakama) kipi hutumika katika kufanya maamuzi?
Kwa maneno mengine,inapotokea mikabata ya watu kuuziana ardhi au watu kuweka ardhi rehani ili kupata mkopo,n.k na baadae ukaibuka mgogogoro,vyombo vya kutoa haki vitatumia mkataba baina ya pande mbili katika kutoa hukumu au vitatumia sheria ya ardhi?
Au kwa lugha nyingine,ikitokea mkataba baina ya pande zinazolalamikiana unakinzana na sheria ya ardhi,kipi kita-prevail kati ya mkataba husika na sheria ya ardhi?
Au mikataba yoyote inayohusu ardhi inapaswa kuongozwa na sheria ya ardhi?
Wanasheria na wadau wengine tusaidiane.
Kwa maneno mengine,inapotokea mikabata ya watu kuuziana ardhi au watu kuweka ardhi rehani ili kupata mkopo,n.k na baadae ukaibuka mgogogoro,vyombo vya kutoa haki vitatumia mkataba baina ya pande mbili katika kutoa hukumu au vitatumia sheria ya ardhi?
Au kwa lugha nyingine,ikitokea mkataba baina ya pande zinazolalamikiana unakinzana na sheria ya ardhi,kipi kita-prevail kati ya mkataba husika na sheria ya ardhi?
Au mikataba yoyote inayohusu ardhi inapaswa kuongozwa na sheria ya ardhi?
Wanasheria na wadau wengine tusaidiane.