BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Kabisa,yaani hakuna impact pale, sijui nani anawadanganyaWakati zaidi ya 70% ya Watanzania huenda hawajawahi kufika kariakoo.. Bidhaa tu, zilizopo mikoani bado zinatosha matajiri wa mikoani Wana mizigo... Kariakoo wagome week watakuwa wanakula wapi
Hakuna anaye tetea Serikali, hawa kama wanataka kugoma wangalie njia ambazo zina leta impact, hakuna impact pale inayo letwa mkuu huo ndio ukweli,Watafute makundi mengine yawape sapoti mfano huduma za usafirishajiHivi kwanini kila wakati inapotokea kundi flani linanyanyaswa na serikali makundi mengine yanakuwa upande wa serikali ni lini tutaamka hii nchi
Hili swala Ndiyo nimelikuta mtandaoni Jana tena jioni, jamii zetu kuto kubuni mbinu za kukabiliana na yasiyoyatarajiwa katika Maisha, (biashara), na kuto kuhoji kwa sauti Ndiyo kiini cha mgomo taraji ama biashara kufa, mimi kama muelimishaji elimu ya ujasiriamali nimefurahi kusikia kwamba jamii imeanza kuamsha ubongo, (bongo lala),Kwa maana serikali Huwa wanajifungia wenyewe Bila kushirikisha wadau kutengeneza tozo, Kodi Sheria ndogo ndogo na miongozoMigomo inayo weza kuleta kizaa zaa nchini ni ya either usafiri, huduma za Afya au huduma za Vyakula kama masoko ya vyakula.
Pale Kariakoo, nguo zile sio necessity goods, sio lazima, sio kitu cha hatari na pia altenative zipo nyingi sana.Unauza Tv unagoma?
Shida ya Tanzania wajinga ni wengi sana, na wanacho fanya ni kutiana ujinga.
Serikali ikipiga kimya wale jamaa watafungua maduka wenyewe baada ya masaa kadhaaa, hawana ubavu wa kugoma hata siku 2 na pia products zao hazina umuhimu kwa jamii wa moja kwa moja ukitio kodi
Watu wa usafirishaji, Afya,masoko ya vyakula hawa ndio wakigoma impact yake ni ya moja kwa moja na inaleta shida sana kwa jamii.
Unauza nguo, Viatu, Simu, Radio, Tv unagoma? Hawa wana ujinga mwingi sana.
Waache wadanganyike.Wakati zaidi ya 70% ya Watanzania huenda hawajawahi kufika kariakoo.. Bidhaa tu, zilizopo mikoani bado zinatosha matajiri wa mikoani Wana mizigo... Kariakoo wagome week watakuwa wanakula wapi
Impact yake ni ndogo sana, na hawawezi goma siku 3 pale hawawezi,Last time waziri mkuu alikimbia pale haraka
Serikali inajua mgomo wa soko kama kariakoo linawaathiri vipi kwenye kukusanya mapata, it's a huge blow to the face, ingekua Haina umuhimu nao ingewaacha tu
Vipi mgomo Uliopita uliokaa siku Kadhaa walifungua? Mbona waziri mkuu alienda? Kariakoo ndio source of income ya Nchi, ikisimama Nchi inapoteza Mabilioni kwa siku huo mzunguko wa Hela Uta impact hadi hizo sector ulizo taja za Usafiri, chakula etcMigomo inayo weza kuleta kizaa zaa nchini ni ya either usafiri, huduma za Afya au huduma za Vyakula kama masoko ya vyakula.
Pale Kariakoo, nguo zile sio necessity goods, sio lazima, sio kitu cha hatari na pia altenative zipo nyingi sana.Unauza Tv unagoma?
Shida ya Tanzania wajinga ni wengi sana, na wanacho fanya ni kutiana ujinga.
Serikali ikipiga kimya wale jamaa watafungua maduka wenyewe baada ya masaa kadhaaa, hawana ubavu wa kugoma hata siku 2 na pia products zao hazina umuhimu kwa jamii wa moja kwa moja ukitio kodi
Watu wa usafirishaji, Afya,masoko ya vyakula hawa ndio wakigoma impact yake ni ya moja kwa moja na inaleta shida sana kwa jamii.
Unauza nguo, Viatu, Simu, Radio, Tv unagoma? Hawa wana ujinga mwingi sana.
Kama impact ni ndogo serikali ikae kimya basiImpact yake ni ndogo sana, na hawawezi goma siku 3 pale hawawezi,
sizungumzii basix needs nazungumzia necessity, bidhaa au huduma ambayo ni must na ikikosekana italeta kizaaa zaaa kwa watu wengi yaani ina Direct impact kwa jamiiTaja 3 basic needs za binadamu kwanza halafu rudia kuandika uzi wako
SIku ngapi? walifungua siku hio hio mchana, au unazungumzia upi huo? Seriali inaamuaga tu kwenda kuwasikiliza ila wakikaa kimya jamaa kesho yake watafungua wenyeweVipi mgomo Uliopita uliokaa siku Kadhaa walifungua? Mbona waziri mkuu alienda? Kariakoo ndio source of income ya Nchi, ikisimama Nchi inapoteza Mabilioni kwa siku huo mzunguko wa Hela Uta impact hadi hizo sector ulizo taja za Usafiri, chakula etc
Hakuna anaye tetea Serikali, hawa kama wanataka kugoma wangalie njia ambazo zina leta impact, hakuna impact pale inayo letwa mkuu huo ndio ukweli,Watafute makundi mengine yawape sapoti mfano
Hakuna Direct impact kwa umma, kuna impact kwenye kodi ambako bado wanaweza kopa kifidia, Kariakoo haina Impact ya moja kwa moja ambayo itagusa jamii kubwa, hakunaKama impact ni ndogo serikali ikae kimya basi
Hizo Bidhaa za Mikoani nazo zinatoka Kariakoo, najua mnadanganywa na wafanya biashara kuwa eti ana mzigo, anaenda China etc kumbe na yeye anafungasha kkoo ama kwa source inayotoa kkoo. Watu wachache sana nchi hii wanaleta Container zao, na huwezi ukaleta container 10 ama 20 halafu eti upeleke mkoani zitakudodea inabidi bidhaa zako zikae mahala kwenye mzunguko.Wakati zaidi ya 70% ya Watanzania huenda hawajawahi kufika kariakoo.. Bidhaa tu, zilizopo mikoani bado zinatosha matajiri wa mikoani Wana mizigo... Kariakoo wagome week watakuwa wanakula wapi
impact iko kwenye makusanyo ya kodi pekee ambapo bado Serikali inaweza kopa kwingine kufidia.Waache wadanganyike.