Migomo inayo fanikiwaga ni ya necessity goods and serivices pekee

Huenda wewe ni
1. Mnufaika katika kuwakandamiza wafanya biashara
2. Mnufaika kwa wenye mamlaka (chawa aka kunguni)


Pia inaonekana ujinga mwingi umekujaa, kama ulisikiliza hoja za wafanyabishara katika mgomo uliopita, huwezi kuongea huu upupu.


Ni mwendawazimu pekee anayeweza kuona mfumo wa Kodi wa TZ upo sawa, Yaani viongozi kila siku Wanabuni Kodi mpya tu halafu Kodi wenyewe wanaziiba na kujinufaisha wao


Ingekuwa tuna akili tungebase kwenye usimamamizi imara wa mapato, ila viongozi wanaangalia kukandamiza watu kwenye Kodi huku wajanja wanazipiga tu
 
Ina impact sababu ya mapato. We sema Serikali inaweza kuvumilia hata wiki, swali ni Wafanyabiashara itawezekana kukaa muda mrefu bila biashara?
 
Kwa hiyo wanaolipa kodi ni wafanyabiashara wa kariakoo tu?
Sio wao tu ila wao ndio wanalipa kiasi kikubwa

hayo ni mawazo mgando hamasishane ngome kama hamtafirisika.huu ujinga ndio alioukataa JPm.alijua kabisa wapi kodi huwa zinakwepeka.
Sawa Ila JPM huyo huyo Ali hakikisha umeme haukatiki Kkoo (japo maeneo mengine yalikua na mgao) alipiga marufuku wanaodaiwa na Tra kufungiwa bidhaa zao etc, kifupi Hakuna Raisi yoyote ambaye ana Ubavu kuacha kariakoo isifanye kazi,
nchi inasamehe kodi bidhaa fulani lkn wafanyabiashara hawashushi bei wanawateka wananchi halafu leo tuwatee.wapambane na hali zao wenyewe.
Unaweza uka toa huo mfano, hata genge huna unafikiri biashara ni rahisi rahisi tu eti watu wanapandisha bei na watu wananunua tu, anza kufanya biashara Na wewe utaona mziki wake. Mi nipo kkoo miaka na miaka nishashuhudia watu kibao wanajinyonga ama kujiua na hizo hizo biashara ambazo wewe una take easy.
 
Wakati zaidi ya 70% ya Watanzania huenda hawajawahi kufika kariakoo.. Bidhaa tu, zilizopo mikoani bado zinatosha matajiri wa mikoani Wana mizigo... Kariakoo wagome week watakuwa wanakula wapi
Ngono umeelezwa ni wa nchi nzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…