Miguna Miguna awe makini sana

Miguna Miguna awe makini sana

Kagame na ubabe wake anaogopa Sana kuua mtu aliyeko marekani au some countries za ulaya maana itamwariba coz wenzetu wako makini Sana na uchunguzi wa vifo...yeye anaua walio south Africa etc...Kama angeweza hivo angewamaliza wote. Yule jamaa wa hotel in Rwanda alijichanganya tu na mtego akatoka marekani.
 
Kagame na ubabe wake anaogopa Sana kuua mtu aliyeko marekani au some countries za ulaya maana itamwariba coz wenzetu wako makini Sana na uchunguzi wa vifo...yeye anaua walio south Africa etc...Kama angeweza hivo angewamaliza wote. Yule jamaa wa hotel in Rwanda alijichanganya tu na mtego akatoka marekani.
Hahah anaogopa?Wkt alishawatumia vijana wake jamaa walioko huko Sweden,UK mpk police wa nchi hizo wakawaonya watu wanaotafutwa na kuwaambia wawe makini Kuna kikosi kazi kimeingia kuwawinda.
 
Kagame na ubabe wake anaogopa Sana kuua mtu aliyeko marekani au some countries za ulaya maana itamwariba coz wenzetu wako makini Sana na uchunguzi wa vifo...yeye anaua walio south Africa etc...Kama angeweza hivo angewamaliza wote. Yule jamaa wa hotel in Rwanda alijichanganya tu na mtego akatoka marekani.
Atamtoa kijanja huko,jamaa atashangaa anatua Kigali!
PK ni habari nyingine
 
Unaweza ukalala Dubai ukashangaa asubuhi unaamkia Kanombe.

View attachment 2204074
Lazima uwe jidume lenye mak*nde sita ili upate ujasiri wa kumuita kagame village idiot. Huyu Miguna atakuja kuuwawa na security service ya Rwanda asipofunga hilo bakuli. Afrika imejaa mafia na Kagame ni mmoja wa mafia wakubwa hapa Afrika. Huwa hasiti kuuwa mtu yeyote anayempinga.
 
Kagame huwa naogopa kumtaja hata nikiwa kwetu, maana jamaa huwa naskia ana watu wake kote kote......
 
Back
Top Bottom