Lakini jibu la PK ni sawa umfumanie mkeo halafu umwambie " mke wangu mkishamaliza nakusubiri hapo nje kwenye gari twende zetu nyumbani."!duh aiseee
Anachokitafuta atakipata!!Miguna anataka Kagame afanye kazi bila kupumzika.
Hahah huyu huyu Miguna aliyebebwa kibabe Hadi kwny ndege na akatimuliwa Kenya na hakua na Cha kufanya zaidi ya kulia Lia Kule Twitter.Watu mnazungumza tu hamumjui vizuri Miguna miguna, nendeni twitter.
Miguna ni kama mafuta ya taa yanayotumika kumtoa nyoka shimoni.. Style ya PK ya kuangamiza wanaomkosoa imeshajulikana.. Sasa wanamrafutia chambo anase wamle kichwaHaha
Acheni kuchukulia watu poa aisee
Miguna Miguna sio Polepole
Hahah anaogopa?Wkt alishawatumia vijana wake jamaa walioko huko Sweden,UK mpk police wa nchi hizo wakawaonya watu wanaotafutwa na kuwaambia wawe makini Kuna kikosi kazi kimeingia kuwawinda.Kagame na ubabe wake anaogopa Sana kuua mtu aliyeko marekani au some countries za ulaya maana itamwariba coz wenzetu wako makini Sana na uchunguzi wa vifo...yeye anaua walio south Africa etc...Kama angeweza hivo angewamaliza wote. Yule jamaa wa hotel in Rwanda alijichanganya tu na mtego akatoka marekani.
Kagame anahangaika na big fish,Miguna Ni kidagaa tu size yake Ni wale jamaa wa uhamiaji pale Kenya.Miguna ni kama mafuta ya taa yanayotumika kumtoa nyoka shimoni.. Style ya PK ya kuangamiza wanaomkosoa imeshajulikana.. Sasa wanamrafutia chambo anase wamle kichwa
Atamtoa kijanja huko,jamaa atashangaa anatua Kigali!Kagame na ubabe wake anaogopa Sana kuua mtu aliyeko marekani au some countries za ulaya maana itamwariba coz wenzetu wako makini Sana na uchunguzi wa vifo...yeye anaua walio south Africa etc...Kama angeweza hivo angewamaliza wote. Yule jamaa wa hotel in Rwanda alijichanganya tu na mtego akatoka marekani.
Asiambiwe kisa Yeye anaua watu? Yeye ngoja awauwe utafikri Yeye hatakuja kufa. Ts a matter of Time Mzee BabaHajui kwanini Kagame hanenepi Usije kushangaa utakapo sikia Miguna miguna kafia hotelini huko huko canada.
Yes amejipanga piaHaha
Acheni kuchukulia watu poa aisee
Miguna Miguna sio Polepole
Lazima uwe jidume lenye mak*nde sita ili upate ujasiri wa kumuita kagame village idiot. Huyu Miguna atakuja kuuwawa na security service ya Rwanda asipofunga hilo bakuli. Afrika imejaa mafia na Kagame ni mmoja wa mafia wakubwa hapa Afrika. Huwa hasiti kuuwa mtu yeyote anayempinga.
Lakini serikali yenu mnayoisifia kwamba Kuna uhuru wa kujieleza imemtimua bila hata kufuata maelekezo ya mahakamaSerikali ya kimataifa? Miguna is a Kenyan na baba akiingia madarakani au hata hustler hamna mtu ataweza mgusa
Watu mnazungumza tu hamumjui vizuri Miguna miguna, nendeni twitter.
Serekali ya Kenya ilimsadia kumpeleka Canada ju angekua amemalizwa kitambo.