Miguu ya mgeni inanuka sana, nifanyeje nisioneshe kukerekeka/ kukerwà

Miguu ya mgeni inanuka sana, nifanyeje nisioneshe kukerekeka/ kukerwà

Hii wiki ya usafi kuanzia midomo, miguu Hadi mawigi
 
Hapo na watoto utasikia ... babu mama amesema unanuka 😎

Hii miaka siyo ya kwenda kwenda nyumba za watu, kama hakuna dharura tulia kwako.
 
Huyu mgeni ni rafiki sana wa mume wangu, ndiye best man wa harusi
Yaan wanaeake wa miaka hii cjui hata hizo kitchen party mnawekewaga za nn??? Usundo huo kuja kumuanika shemeji yko mtandao I,unajuaje naye yumo humu?? Hujui ni baba yako kiroho huyo??? Kaja na kuondoka si mvumilie tuuu???? Anakaa mwaka hapo kwako kwamba utamshindwa??? Jifunze kustiri watu Ili nawe ustirike!!!
 
Yaan wanaeake wa miaka hii cjui hata hizo kitchen party mnawekewaga za nn??? Usundo huo kuja kumuanika shemeji yko mtandao I,unajuaje naye yumo humu?? Hujui ni baba yako kiroho huyo??? Kaja na kuondoka si mvumilie tuuu???? Anakaa mwaka hapo kwako kwamba utamshindwa??? Jifunze kustiri watu Ili nawe ustirike!!!
Haha haha ukweli lazima usemwe
 
Hapo na watoto utasikia ... babu mama amesema unanuka 😎

Hii miaka siyo ya kwenda kwenda nyumba za watu, kama hakuna dharura tulia kwako.
Na wasipokwenda wanawasema, hawapendi kutembelea ndugu......
 
Hyo harufu inakera sanaaaaaaaaaa
Huwa ni akili flani ya kimasikini na uchafu inayomuandama mtu kumiliki nguo za ndani chache.

Ukute mtu ana kipato cha maana kabisa lakini anaishi na soxy pair2, chupi pair2!

Kwamba kuvaa siyo kipaumbele chake, hapo kwa nini asinuke kibeberu!

Soxy pair2 hata kama ni msafi kiasi gani hauwez kucontrol harufu mbaya ya uvundo!
 
Huwa ni akili flani ya kimasikini na uchafu inayomuandama mtu kumiliki nguo za ndani chache.

Ukute mtu ana kipato cha maana kabisa lakini anaishi na soxy pair2, chupi pair2!

Kwamba kuvaa siyo kipaumbele chake, hapo kwa nini asinuke kibeberu!

Soxy pair2 hata kama ni msafi kiasi gani hauwez kucontrol harufu mbaya ya uvundo!
Pair mbili,zinatosha kabisa kumfanya mtu azifanyie usafi soksi zake,kuliko kulundika masoksi machafu kwenye BIN.Ni uchafu tu wa mtu,kunuka miguu.
 
Huyu mgeni ni rafiki sana wa mume wangu, ndiye best man wa harusi
Tumia mbinu za kihenga!

Wazee wa zamani walikuwa wakifikisha ujumbe kwa mafumbo.

Ilikuwa kama mgeni amewatembelea na hawampendi ama hawapendi "ujio" wake, basi huanzisha ugomvi wa wao kwa wao ili mgeni huyo ajisikie vibaya na ujumbe umfikie.

Kwa issue yako, fanya timing ya kimazingira, mpange kijana wako mdogo aingie sebuleni akae na mgeni huku amevaa viatu, asivue.

Kisha wewe baadaye uingie na uanze kumgombeza huyo kijana kwa harufu mbaya inayozalishwa hapo sebuleni.

Kijana atajitetea kuwa yeye hanuki miguu na soxy zake ni safi.

Kwa kuwa watakuwepo wawili tu yeye na mgeni, hapo lazima mgeni ajishuku kuwa yeye ndiye anayenuka!
 
Huyu mgeni ni rafiki sana wa mume wangu, ndiye best man wa harusi
Pole sana mimi mshenga wangu alikua na hali kama hiyo. Nilikua namuweza nikamwambia uncle hebu tutumie tangawizi na baking soda na alinielewa mpka now hali imekata. Nilikua napata tabu nikienda nae kwa wakwe zangu tunakaribishwa anavua viatu hata hajistukii wenyeji wanasema msivue ingia tuu yeye muda mrefu ashakanyaga kisogino mzigo unaanza kutema balaa.
 
Pair mbili,zinatosha kabisa kumfanya mtu azifanyie usafi soksi zake,kuliko kulundika masoksi machafu kwenye BIN.Ni uchafu tu wa mtu,kunuka miguu.
Waweza kuwa upo sahihi.
Lakini mkuu, kauka nikuvae hasa kwa nguo za ndani ndiyo chanzo kikuu cha miharufu ya ajabu ajabu.

Mtu akimiliki kwa mfano pea kuanzia 5, anakuwa na wasaa wa kufanya usafi.
Tena afadhali chupi kwa wanaume unaweza kukaa siku2 bila kufua, lakini soxy ni lazima afue kila siku kama anapenda usafi na hataki matatizo.
 
😂😂😂 huwa ni kero sana harufu ya viatu. Kuepusha ugomvi jikaze kiume mpaka atakapoondoka au kama vipi zungumza na mumeo kistaarabu mjue mna solve vip kama ni ugeni wa muda mrefu
Atajikazaje kiume wakati ni mwanamke?!
 
Back
Top Bottom