Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

[emoji23][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2] Aisee we Jamaa ni Fala Sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutengeneza stori

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada kuna watu wana hasira Tu au chuki binafsi na huyo Dada au MTU alitendwa basi Nancy kashakua mhanga hapo tena yaani mpk nacheka miye
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha ...kwa mnao mjua maybe u know better

but the podcast and this video show absolutely two different Men
Kasoro (nishazoea kumuita jina lake la Youngafricans) ni mtu very smart. Mipango yake ya biashara, pragmatism yake, exposure etc, vinamfanya awe bonge la asset popote atakapokuwa.

Tatizo, kuna angle ya emotion hapo. Na kama mtu hajaweza ku control hiyo angle ya emotion, anaweza hata kuua kijinga tu.

Halafu, kujiamini sana nako si kuzuri. Mtu anaweza kuwa mjinga tu, na wewe una akili sana, ukaona unaweza kum control, unaweza kumu undermine, unaweza kumu outtalk.

Lakini huwezi kujua atakuvizia wapi na kitofa aje kwa nyuma akupige kichogoni wakati hata hujamuona.

Ndiyo maana mabaharia wakitaka kuoa wanakuwa na mlolongo mrefu wa kuchunguza mke mtarajiwa kushinda background checks za FBI.

Yani baharia hata kama una akili vipi, ukikosea kuoa tu umekosea sehemu kubwa sana, hususan kama umekosea kuoa halafu kuna watoto washaingia kwenye mlinganyo.
 
sijawahi ona baba angu akimpiga mkewe,ila mwanamke yeyote akileta kimdomo nambonda vizuri tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa Makelele Yako hapa, mwanamke akileta Mdomo Mchafu lazima apigwe, Tandika Mpaka Anye
 
Sawa..ni mtu mzuri bt why u posing ur friend like he did everything right...ye hajawahi mkosea mke?.

kukosea kuoa..what is he was a bad husband?.how sure are you the wife wasa bad wife
Am not sure kuhusu ya ndani
 
ni kweli kila mtu anaendelea na maisha yake na mwanaume/mwanamke mwingine

na Ana afadhali wewe jiroge uue utafia jela segerea kwa kunyongwa..mana jeuri ya kuacha uanze moja huna unaona bora uue
tunaongelea kupiga sio kuua,mihayo kamtandika vibao na kaanza masiha yake mapya,eti sina jeuri ya kuanza upya , wakati wanawake wazuri wanazaliwa kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mtu humo unajisumbua bure mkuu...maelezo yake tu yamekaa kiushabiki haina haja kumjibu mana keshajichagulia upande wa kuutetea.

Sent using mazonge yamezidi
 
umekosea kivipi,si unatimua tu unatafuta mwanamke mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…