Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Bora uwaeleze Kaka Mkubwa mana watu wanachukulia ndoa poa sana

Aoe aone..km ye mwanaume kweli
Kitu kikubwa mkeo unamchagua vizuri, unamkaza vizuri, unamhonga vizuri, unampeti peti vizuri, kiasi anakuwa haoni wala hasikii mwingine.

Ukishaweza hilo, unatulia naye, mnalea watoto.

Hapo hata akikukosea kidogo tu mwenyewe anajirudi hata kabla hujasema kitu.

Ile mwanamme umetua nyumbani tu mwenyewe anaanza kuomba msamaha kabla hujamsema.

Yani anaanza kujishukushuku mwenyewe, Baba Kwani mboona hivyo leo? Jana hukupenda nilivyopika? Au perfume yangu ya leo inakukera?

Ukitoka hapo unambusu, unaenda kumpiga kwa mguu wa tatu chumbani kuanzia kitandani mpaka mnaangushana kwenye floor huko San Salvador.

Hivyo ndivyo mwanamke anavyopigwa.

Si kwa ngumi na makofi.
 
S
Kitu kikubwa mkeo unamchagua vizuri, unamkaza vizuri, unamhonga vizuri, unampeti peti vizuri, kiasi anakuwa haoni wala hasikii mwingine.

Ukishaweza hilo, unatulia naye, mnalea watoto.

Hapo hata akikukosea kidogo tu mwenyewe anajirudi hata kabla hujasema kitu.

Ile mwanamme umetua nyumbani tu mwenyewe anaanza kuomba msamaha kabla hujamsema.

Yani anaanza kujishukushuku mwenyewe, Baba Kwani mboona hivyo leo? Jana hukupenda nilivyopika? Au perfume yangu ya leo inakukera?

Ukitoka hapo unambusu, unaenda kumpiga kwa mguu wa tatu chumbani kuanzia kitandani mpaka mnaangushana kwenye floor huko San Salvador.

Hivyo ndivyo mwanamke anavyopigwa.

Si kwa ngumi na makofi.
Shkamooo

we si msukuma kweli?.
 
Wadau, si mnaona wanawake wenyewe ndio hawa, angalia maneno yake, hivi unadhani huyu hata ujidanganye eti unampenda kuna siku atakuheshimu ?, unadhani huyu anaweza kusikia ukimwambia kwa mdomo ?, hawa ndio wale ambao wanasemaga ukitoka na mimi natoka, hawa wa kupiga tu, tene ukiweza unamtia kilema, yaani vunja hata mguu ili atulie nyumbani, ukija kupona atakuwa anauangalia anakumbuka na kuugulia machungu
Huyo ni superior of feminism, ndiyomaana nampita tu kimya kimya bila hata ya kumnukuu [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The comment like..'prolly alikosea kuoa'...jmn mda mwingine wanawake ndo wanapata wrong Men jmn
Au hio haipo
Sikuandika prolly alikosea kuoa, nimetoa onyo general kwamba baharia akikosea kuoa nyumba haikosi matatizo.

Vijana wa sasa wengi ni wengi wa habari, hivyo katika ndoa nyingi sitashangaa kusikia kwamba kuna mashambulizi ya rafu timu zote.
 
Et rudisha kwao kama mmeshindwana!

Ili mgawane kilichopo ilhali aliyekisotea unakuta ni mmoja tu!

Hilo la kuachana ni uamuzi wa mwisho ila kabla ya kufikia huko lazima nioneshe jitihada za kukuweka kwenye mstari ikiwemo makofi.

Isitoshe ndoa zingine ni "mpaka kifo kitakapotutenganisha".

Binafsi siyo mpigaji ila siwezi kusema sitokaa nimzabue hata siku moja.
 
Orijino, huwa hatupendi shida, wepesi wa kuhonga na wagumu kupiga.
The best Tanzania nzima...sijawahi ona wanaume wastaarabu na wenye mapenzi ka Wasukuma
WaKaskazini sijui lini watajifunza wao bia tu woiii😅
 
Kwahiyo wanaume mnataka kutuaminisha mna akili kuliko Mungu?

Mliambiwa kuishi na wanawake kwa akili sasa ninyi na stress zenu mnatumia nguvu badala ya akili.

Kwa hizi comment nimegundua % kubwa ya wanaume bongo wana stress sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante Mkuu

wenye akili zao pia wamejipambanua
 
Hiv mnajua maneno ya mwanamke yanavyo Uma embu fikiria mke wako kachelewa kurud nyumbani unamuuliza unatoka wap saiz akujibu kwa mwanaume mwenzako utajiskia au akwambie hiv wewe katika wanaume na wewe ni mwanaume wanawake wanamaneno mengi ya kuuz ila tu basi ukishapanik wewe ndio unaonekana unamakosa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitu kikubwa mkeo unamchagua vizuri, unamkaza vizuri, unamhonga vizuri, unampeti peti vizuri, kiasi anakuwa haoni wala hasikii mwingine.

Ukishaweza hilo, unatulia naye, mnalea watoto.

Hapo hata akikukosea kidogo tu mwenyewe anajirudi hata kabla hujasema kitu.

Ile mwanamme umetua nyumbani tu mwenyewe anaanza kuomba msamaha kabla hujamsema.

Yani anaanza kujishukushuku mwenyewe, Baba Kwani mboona hivyo leo? Jana hukupenda nilivyopika? Au perfume yangu ya leo inakukera?

Ukitoka hapo unambusu, unaenda kumpiga kwa mguu wa tatu chumbani kuanzia kitandani mpaka mnaangushana kwenye floor huko San Salvador.

Hivyo ndivyo mwanamke anavyopigwa.

Si kwa ngumi na makofi.
Huwajui Wapare Wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv mnajua maneno ya mwanamke yanavyo Uma embu fikiria mke wako kachelewa kurud nyumbani unamuuliza unatoka wap saiz akujibu kwa mwanaume mwenzako utajiskia au akwambie hiv wewe katika wanaume na wewe ni mwanaume wanawake wanamaneno mengi ya kuuz ila tu basi ukishapanik wewe ndio unaonekana unamakosa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukioa mwanamke mwenye kuweza kujibu hivyo, uanaume wako umeshapungua kutokana na ukweli kwamba ulishindwa kuweka chujio katika mchakato wa kuoa.

Kama ni mwanamke hujamuoa na wala hakuna watoto, unampiga chini tu kuondoa ukaribu unaoweza kuleta matatizo.
 
Mwanaume oa mwanamke wa level yako...or else utaishia jela mara umepiga mara umeua ...nimesikiliza intavyuu ya jamaa nimemuona bogus kweli...siku zote ataekufanya mwanaume uendelee ni mwanamke. mwanamke wako akiwa anataka ghorofa utafight kujenga ghorofa..mwanamke wako akiwa anataka range utafight kupata range....sasa wewe kama unaona unaonewa kwa yeye kukwaambia tunahitaji kuishi namna hii tutoke hapa jua huyo sio level yako ...na mwanamke ambae unaishi Chumba kimoja na yeye karidhika hakusumbui jua hamtafika kokote bro..ni hayo tu
Sio Kila Mwanamke bro, Ondoa hio Psychology

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umenikumbusha marehemu Frank Ndosi aka Kizzoguns
Kasoro (nishazoea kumuita jina lake la Youngafricans) ni mtu very smart. Mipango yake ya biashara, pragmatism yake, exposure etc, vinamfanya awe bonge la asset popote atakapokuwa.

Tatizo, kuna angle ya emotion hapo. Na kama mtu hajaweza ku control hiyo angle ya emotion, anaweza hata kuua kijinga tu.

Halafu, kujiamini sana nako si kuzuri. Mtu anaweza kuwa mjinga tu, na wewe una akili sana, ukaona unaweza kum control, unaweza kumu undermine, unaweza kumu outtalk.

Lakini huwezi kujua atakuvizia wapi na kitofa aje kwa nyuma akupige kichogoni wakati hata hujamuona.

Ndiyo maana mabaharia wakitaka kuoa wanakuwa na mlolongo mrefu wa kuchunguza mke mtarajiwa kushinda background checks za FBI.

Yani baharia hata kama una akili vipi, ukikosea kuoa tu umekosea sehemu kubwa sana, hususan kama umekosea kuoa halafu kuna watoto washaingia kwenye mlinganyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume oa mwanamke wa level yako...or else utaishia jela mara umepiga mara umeua ...nimesikiliza intavyuu ya jamaa nimemuona bogus kweli...siku zote ataekufanya mwanaume uendelee ni mwanamke. mwanamke wako akiwa anataka ghorofa utafight kujenga ghorofa..mwanamke wako akiwa anataka range utafight kupata range....sasa wewe kama unaona unaonewa kwa yeye kukwaambia tunahitaji kuishi namna hii tutoke hapa jua huyo sio level yako ...na mwanamke ambae unaishi Chumba kimoja na yeye karidhika hakusumbui jua hamtafika kokote bro..ni hayo tu
Misinformed kabisa
 
Back
Top Bottom