Kwani wewe huna Baba, boyfriend,kaka, ivi unajua ndoa ilivyo mkuu... Yani uchepuke na urudi kulala kwangu? Nani mke wangu? Kwa mfano wewe ungekuwa mwanaume na mke wako kachepuka ungefanyaje?Yaan wanaume awafai ata jina la mbwa maana mbwa ana huruma unalala ndani ye yuko nje anakulinda.....ukute uyo kaka ni malaya shetani afuati labda ikatokea tu mwanamke akapata asira akachepuka siku moja ama katoka na mtu tu wakapata dinner ndo ikawa ivo
Mkuu acha unafiki,Mzungu unajua ni mtu wa aina gani...Ni vituko msomi unapokua dishonest namna hii.Mzungu ni nani? Unamjuaje huyu mzungu na huyu si mzungu? Mimi napinga validity ya makabila, halafu unanipinga kwa kutumia habari za mzungu, define mzungu ni nani, objectively.
Who cares about the dates?Ni adui,hawezi andika the same story in a positive tone.Habari haikuandikwa 1930s, iliandikwa kuhusu kabila lililoanzishwa 1930s
Kwako haikuandikwa negatively,ni kwako...Kwangu naona ni negative,kwanini kila mmoja wetu asikae na mtazamo wake alioona?Habari haikuandikwa negatively, iliandika fact, kama unabisha, toa ushahidi kwamba si kweli, kwamba kabila hilo halipo.
Unafiki huu..Unajua vizuri kabisa nani ni Mzungu na nani ni mtu mweusi,etc...shida umekomalia semantics kuonesha arrogance basi tu...Mzungu ni nani? Unajuaje huyu mzungu na huyu si mzungu?
Sio lazima nikuelewe...Nikuelewe kwa lipi?Sio lazima...Ni vizuri pia tusipoelewana...Who cares kua kwenye same wavelength na wewe?Hunielewi,sikuelewi,shida ipo wapi?Of course unashindwa kunielewa, we are not on the same wavelength.
Umesema,acha kuruka your own words....hawa watu wanashare DNA markers,ndio maana Dinka tribe average height ni 6'4" na sio makabila mengine..Sijasema popote kwamba members wa kabila fulani hawana biological relationship ya aina fulani. Hilo la kwanza, uelewe.
Acha sound,wewe unaona ni arbitrary lakini mimi na my fellow fools tunajua si arbitrary.Atleast tuelewane kutokuelewana kwa hili.Ninachokwambia ni kwamba, habari za makabila ni arbitrary, hazina formula, hazina misingi ya scientific fact.
Who cares?He knows himself!I worry about mine.Watoto wa Mkapa ni kabila gani?
Who cares about this senior citizen?Ukisema Wamakua, si sawa. Wamakua wanachukua kabila kwa mama. Mama si Mmakua.
Ukisema Wachaga, si sawa. Wachaga wanachukua kabila kwa baba, baba si Mchaga.
Sasa, watoto wa Mkapa wale kina Stephan na Nico ni kabila gani?
Mkapa kakataa kuwapa makabila, kasema wale ni Watanzania, kwanza hata kilugha cha huko umakuani au Uchagani hawajui.
Nani kakudanganya?Nenda ancestry.com kuna special DNA identification ya kabila ya Luhya..Hilo si kabila ni mavi?Nimesema kwamba, kabila ni a social construct, not a biological one. That does not mean kwenye kabila hakuna biological connections, but that does not alos mean that an individual is biologically identifiable with a tribe. Unaweza kusema huyu Mchaga kwa sababu baba yake Mchaga, ukaja kugundua kwa DNA test kwamba huyo anayedaiwa kuwa ni baba yake hata si baba yake biologically.
Nyerere's nonsense.....huwezi ua makabila na tamaduni za watu walizojenga kwa miaka 2,000 then una embrace kabila moja la Waswahili.This is laughable.Nyerere aliongelea hili akasema Wazanaki wameamua urithi uwe unatoka kwa mjomba, mjomba ni kaka yake na mama, watu wameona mjomba na mama wamezaliwa tumbo moja, mjomba akifariki mali zake zinaenda kwa mtoto aliyezaliwa tumboni mwa dada yake ambaye walizaliwa tumbo moja. Hapo watu wame establish connection.
You are clueless mzee!Sasa wewe unayelazimisha kwamba kabila, ambalo mainly linakuwa transmitted kutoka kwa baba, bila hata ya DNA verification ya nani ni baba wa kibaiolojia, ni jambo la kibaiolojia, ndiye unayejua baiolojia?
Illiterate according to who?Wewe?Wewe kama nani?Kiranga?Wapi nimesema hilo? Au you illiterate?
Yani ushajua ninachojua?Mkuu acha unafiki,Mzungu unajua ni mtu wa aina gani...Ni vituko msomi unapokua dishonest namna hii.
Who cares about the dates?Ni adui,hawezi andika the same story in a positive tone.
Kwako haikuandikwa negatively,ni kwako...Kwangu naona ni negative,kwanini kila mmoja wetu asikae na mtazamo wake alioona?
Unafiki huu..Unajua vizuri kabisa nani ni Mzungu na nani ni mtu mweusi,etc...shida umekomalia semantics kuonesha arrogance basi tu...
Sio lazima nikuelewe...Nikuelewe kwa lipi?Sio lazima...Ni vizuri pia tusipoelewana...Who cares kua kwenye same wavelength na wewe?Hunielewi,sikuelewi,shida ipo wapi?
Umesema,acha kuruka your own words....hawa watu wanashare DNA markers,ndio maana Dinka tribe average height ni 6'4" na sio makabila mengine..
height ni biological trait,wameitoa wapi kama sio biology yao?Wameiokota?Sexual drive ni biological trait,ndio maana kuna kabila malaya zaidi ya wengine,hutaki andamana!
Acha sound,wewe unaona ni arbitrary lakini mimi na my fellow fools tunajua si arbitrary.Atleast tuelewane kutokuelewana kwa hili.
Halafu concept ya kabila in African context unaikataa,ila ikija kwenye kabila la Jews,unakubali ni coherent na biological laws sababu wana special DNA identification,Africa japo makabila yana special DNA identifications,hutambui sababu tu ni African,thats my guess!
Yaelekea kabila kwako wewe ni la Kiafrika tu,sio pengine,maana pengine ni scientifically proven,ila kivyako hiyo hai-apply kwa African tribes?Oh yeah?
Who cares?He knows himself!I worry about mine.
Who cares about this senior citizen?
Nani kakudanganya?Nenda ancestry.com kuna special DNA identification ya kabila ya Luhya..Hilo si kabila ni mavi?
Nyerere's nonsense.....huwezi ua makabila na tamaduni za watu walizojenga kwa miaka 2,000 then una embrace kabila moja la Waswahili.This is laughable.
You are clueless mzee!
Illiterate according to who?Wewe?Wewe kama nani?Kiranga?
Umegeuka hakimu wa kupima literacy levels za wanadamu wengine online na kuwapa grades na kutoa judgements?
Mzee unajipa madaraka ya kibwege sana kuhukumu wanadamu wengine as if wewe ndio SI-unit ndugu yangu.
Siungi mkono tabia ya watu wazima kupigana ila wanawake wana midomo sana. Wengi wanapigwa kutokana na midomo yao, mwanamke hakubali kushuka anachonga mdomo tu. Na inafahamika sisi wanaume midomo yetu ni ngumi na mateke.
Hakuna sababu ya kumpiga mwanamke lakini kila mwanamke anayepigwa kuna chanzo.
Kama huyo mwanamke ni binti wa Anne Kilango sioni ajabu kupigwa kama karithi mdomo wa kufoka foka kama mama yake. Chanzo cha wanawake wa sasa ni midomo michafu anaweza kukutukana na kukufokea matusi hata mbele ya watoto wako, hasira zinakupanda na unashitukia umempiga, wanaume hatujajaliwa midomo na maneno mengi tumejaliwa misuli na nguvu, tuwe wakweli watapigwa sana tu pamoja na watu kufungwa na kukamatwa bora lawama kuliko fedheha! Hii haki sawa feminism na umagharibi unaharibu jamii
Siungi mkono tabia ya watu wazima kupigana ila wanawake wana midomo sana. Wengi wanapigwa kutokana na midomo yao, mwanamke hakubali kushuka anachonga mdomo tu. Na inafahamika sisi wanaume midomo yetu ni ngumi na mateke.
Hakuna sababu ya kumpiga mwanamke lakini kila mwanamke anayepigwa kuna chanzo.
Siungi mkono tabia ya watu wazima kupigana ila wanawake wana midomo sana. Wengi wanapigwa kutokana na midomo yao, mwanamke hakubali kushuka anachonga mdomo tu. Na inafahamika sisi wanaume midomo yetu ni ngumi na mateke.
Hakuna sababu ya kumpiga mwanamke lakini kila mwanamke anayepigwa kuna chanzo.
Achilia mbali kupigana, Kumpiga mwanamke ni ujinga!
Sijasema Upumbavu nimesema Ni Ujinga!
Mwanaume kutomuadhibu kwa kumpiga mwanamke aliyekosa adabu kama huyu chini anayekutukana hadharani ni ujinga na ni ushoga, unataka wanaume wakae kimya au wachambane matusi na wanawake???!!! Dawa ni kuwapiga tu maana wanafanya utoto na wapigwe tu hakuna namna, cha muhimu siyo unapiga kama unapiga nyoka, tafuta sehemu salama za kupiga isiwe kichwani au tumboni! Heshima ishike mkondo wake asiye funzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu
Siungi mkono tabia ya watu wazima kupigana ila wanawake wana midomo sana. Wengi wanapigwa kutokana na midomo yao, mwanamke hakubali kushuka anachonga mdomo tu. Na inafahamika sisi wanaume midomo yetu ni ngumi na mateke.
Hakuna sababu ya kumpiga mwanamke lakini kila mwanamke anayepigwa kuna chanzo.
Mwanaume kutomuadhibu kwa kumpiga mwanamke aliyekosa adabu kama huyu chini anayekutukana hadharani ni ujinga na ni ushoga, unataka wanaume wakae kimya au wachambane matusi na wanawake???!!! Dawa ni kuwapiga tu maana wanafanya utoto na wapigwe tu hakuna namna, cha muhimu siyo unapiga kama unapiga nyoka, tafuta sehemu salama za kupiga isiwe kichwani au tumboni! Heshima ishike mkondo wake asiye funzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu
Yani ushajua ninachojua?
Unaelewa kuuliza swali si tu kutaka kujua, bali pia kutaka kupanua mjadala, kuchimba zaidi definitions, kufanya mjadala kwa "Socratic method"?
Unaelewa "Socratic method" ni nini?
Tunaongelea makabila na nasaba.
Umemtaja Mzungu.
Mzungu ni nani?
Ukishindwa kujibu swali hili, hujui unaongelea nini.
Socrates said, the unexamined life is not worth living.Kiranga bwana...
Academic arrogance hii unayoonesha is beyond me to begin with...
Mjadala umegeuka class quiz session,”nipe definition hiki mara kile”,mkuu hii ni unnecessary arrogance
Makabila yaliyokaa muda mrefu yana vinasaba,na muda mrefu hapa atleast tuanzie 400yrs!
Mkuu,tuache haya mambo tusiharibu uzi wa couple iliyopigana na ku-divorce
Umeshinda huu mjadala!
First thing first,ulichokopi hapo sio changu!
Mimi naitwa Wyatt Mathewson,angalia post uliyokopi hapa nani author,never me!
Plus,pamoja na kukopi with open and close quotes zako,umefeli maana hujui kukopi comment ya mtu JF!
Still a JF rookie!
Plus,ma nigga Wilmore did that bitch just about right!
Hamtaki andamaneni!
Kila kipigo kina chanzo chake
Huyu kipigo kakitafuta mwenyewe. Hajafa kweli? |
Ni kweli mkuu, picha inaonesha kabisa kwamba jamaa alikuwa anatoka nje, huenda aliamua kwenda kukaa nje ili apunge upepo kupunguza hasira, lakini mwanamke anaonekana akimfuata na lazima itakuwa alikuwa anamtolea maneno ya shobo, na hii ilimlazimisha jamaa amuazishie kipigo, unajua wanawake huwa wanaweza hata kutumwa na mama zao kwamba akirudi tu mumeo mkorofishe mpaka akupige, hapo wanakuwa wanalenga kutengeneza kesiUkiangalia vizuri ni km jamaa alikua anachomoka hivi na km vile alisindikizwa nå mitusi ndio kurudisha hasira tena.
Hivi utumbo na firigisi twapata lini..Kwako kupiga ndio sio ubwege! Ninasikitikia sana aina ya wanaume ambao wanawake wenzangu wanawapata!
Kasikilize alichosimulia mkewe cloudsNi kweli mkuu, picha inaonesha kabisa kwamba jamaa alikuwa anatoka nje, huenda aliamua kwenda kukaa nje ili apunge upepo kupunguza hasira, lakini mwanamke anaonekana akimfuata na lazima itakuwa alikuwa anamtolea maneno ya shobo, na hii ilimlazimisha jamaa amuazishie kipigo, unajua wanawake huwa wanaweza hata kutumwa na mama zao kwamba akirudi tu mumeo mkorofishe mpaka akupige, hapo wanakuwa wanalenga kutengeneza kesi
Ni kweli mkuu, picha inaonesha kabisa kwamba jamaa alikuwa anatoka nje, huenda aliamua kwenda kukaa nje ili apunge upepo kupunguza hasira, lakini mwanamke anaonekana akimfuata na lazima itakuwa alikuwa anamtolea maneno ya shobo, na hii ilimlazimisha jamaa amuazishie kipigo, unajua wanawake huwa wanaweza hata kutumwa na mama zao kwamba akirudi tu mumeo mkorofishe mpaka akupige, hapo wanakuwa wanalenga kutengeneza kesi
Asingempiga angepungukiwa heshima, mwanaume lazima uwe na uwezo kutembeza kipigo kwa mkeo ili ukikohoa tu anataharuki
Sema nini bro mbona bwana mihayo ni tapeli no. 1....waulizeni crdb naomba toeni info za utapeli wa mihayo... na mbona mshkaji tulikua tunakula nae anamkejeli mkewe mpaka tukawa tunawaza huyu bro kwanini alioa...vibaya zaidi na yeye alikuwa na wanawake kede kede wengine tulikua tunamhifadhi..mbona ye hajapigwa
Midomo hiyo ya kuwaambia wanaume "Akili hawatumii" ndio hupelekea kupigwa, na wewe ungekuwa mke wangu hapo ungepata kinachokustahili (kipigo), mmeagizwa na Mwenyezi Mungu kuwatii Waume, ukileta dharau kwa Mume kipigo halali yako.