Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Hawa dada zetu niwanajitakia, akipigwa namtu mwenye hela atavumilia ataavunjwe kiuno,
Ukiwa baharia umefulia ukishindwa kutuma yakutolea tu unapigwa chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nacky aliitwa leo kwenye kipindi cha LEO TENA clouds fm kaongelea hii ishu
 
👆 Kweli inasoma miaka iliyopita ila it was hidden until it happening openly leo, na ndiyo maisha ya husband and wife wanayoishi huku watoto wakiangalia.


👆 Yap, ndiyo mabeberu wa kiafrika tuache hizi mambo.

👆 Sahihi kabisa kufanya mjadala wa aina hii.
Kiingereza chako kibovu kabisa. Si uandike Kiswahili tu.

Halafu usije ukasema na wewe ulifaulu. Na ikiwa ulifaulu, nasema wazi wazi, hiyo mitihani ni majanga.
 
Nilijifunza kitu kimoja. Sitakuja piga mwanamke tena maisha yangu yote. Najua wana maudhi watu hawa wakati mwingine... lakini beating a defenseless woman like that? Not again in my life. I did it once and never shall it happen again.
Hujakutana na kitu kinaitwa mwanamke mwenye mdomo....walahi unaua!!
 
Siungi mkono tabia ya watu wazima kupigana ila wanawake wana midomo sana. Wengi wanapigwa kutokana na midomo yao, mwanamke hakubali kushuka anachonga mdomo tu. Na inafahamika sisi wanaume midomo yetu ni ngumi na mateke.

Hakuna sababu ya kumpiga mwanamke lakini kila mwanamke anayepigwa kuna chanzo.
NA PENGINE HII NDIO SABABU; KWENYE SOCIAL MEDIA WENGI WANAMLAUMU MWANAUME, HATA MIMI SIUNGI MKONO.LAKINI SISI TUONAOLAUMU TUNAJUA CHANZO NI NINI? MWANAUME SIO MTU KATILI, SIO ADUI, IWEJE AKUTANDIKE KIPIGO CHA MBWA? TENA WAKATI MWINGINE UKISIKIA YA MWANAUME, WAWEZA SEMA KILE KIPIGO NI KIDOGO.
 
Huyu jamaa ni mtu mmoja poa sana. IT & Marketing genius fulani.
Kilimcost sana kuoa huyo dada yake le mutuz kwa mama yake wa kambo .

Mihayo yuko very focused lakini alipata mke ambaye anapenda starehe za town mtoto wa Kinondoni matokeo yake akawa anapigia hesabu mali za mchizi.

Na kumpeleka resi sana mchizi anarudi kula bata late mke wa mtu hata kama ndio uzungu huu ulipitiliza . Sema kwa hiyo clip nimeamini binadamu uki mpush kwenye edge anaweza akaua mtu bila kutarajia. Lazima kuna sababu kwanini demu kala kipondo kile.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna wenye akili wana angalia Cause effect relationship, na kisha wana ongea kwa uhalisia na sio hisia
 
Hapa kwenye huu uzi.

Hayo ya kuwa ni mwanamke pekee anapaswa kutetewa umeyatoa wapi? Kuna mwanaume kapigwa kwenye huu uzi? Kuna mtoto kapigwa kwenye huu uzi?

Kwahiyo wewe unaona hapa duniani mwanadamu ni mwanamke pekee yake?

Hapa anazungumziwa huyo dada ambae ni mwanamke,hutaki azungumziwe mwanadamu mwingine ambae maamuzi kama hayo yanaweza fanyika in comparison

Unaona wengine kwavile hawajapigwa leo wasisemewe sababu kapigwa mwanamke tu wengine unawapa ostrich theory eeeh?

Acha kuruka ruka wewe,akipigwa mwanadamu yeyote si sawa ila wewe sababu ni mnazi na baguzi una define categorically “mwanamke hapigwi” kwahiyo ni ruhusa kupiga wengine sio?

Wacha blah blah wewe,kemea maovu kote!
 
Haya mambo ya watu huwa ni magumu sana
siwezi tia neno maana mimi mwenyewe nishawahi mpasua mwanamke mmoja na kila siku namuomba Mungu nisije nikamgusa mtoto wa watu tena

Hiyo Video jamaa kampapasa tu hiyo mwanamke
Halafu kwanini hakuingia kwenye DVR afute hiyo clip wakati alijua kuna CCTV?

Hizi ndoa zina mambo mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna DVR unayoweza kufuta recorded picture,kama ni hivyo pale collessium wasingefanya uharibifu .
 
Mimi sina uvumilivu wa kufokewa maneno ya taarabu na mwanamke huku akiweka vidole juu.

Siwezi Kujimwambafai Kwamba siwezi Kumpiga Mwanamke.

Akileta Taarabu Asitegee Nitaanza Kujibizana Naye Taarabu. Noo

Atapigwa Tu.

Kama Anaona Hawezi Kuishi Bila Maneno Ya Taarabu.

Ni Bora Aondoke Tu!!

Ikumbukwe Kuwa Mimi Nina Huruma Sana Na Sipendi Kumwonea Mtu Ila Dharau Ikizidi Hasira Ikipanda, Kitakachotokea Ndio Hicho
 
Ila huo ukoo wa Kilango wana mdomo sana Mihayo kumdunda huyo msichana ingawa siafiki lakini kwa ninavyowajua kilangos ni haki yake.Huyo msichana anaitwa Nancy Kilango kama sikosei nani mtalaka wa Mihayo.Kuna kipindi cha Nyuma Huyo msichana alikuwa akichambana na Mange Kimambi!
 
NA PENGINE HII NDIO SABABU; KWENYE SOCIAL MEDIA WENGI WANAMLAUMU MWANAUME, HATA MIMI SIUNGI MKONO.LAKINI SISI TUONAOLAUMU TUNAJUA CHANZO NI NINI? MWANAUME SIO MTU KATILI, SIO ADUI, IWEJE AKUTANDIKE KIPIGO CHA MBWA? TENA WAKATI MWINGINE UKISIKIA YA MWANAUME, WAWEZA SEMA KILE KIPIGO NI KIDOGO.
Mke wake alitembea na rafiki yake wa karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hio wewe kusaliti halali ila ukisalitiwa unataka uvunje mtu miguu😅😅😅😅😂😂😂😂😂

tunakoelekea mtapigwa tu
Wadau, si mnaona wanawake wenyewe ndio hawa, angalia maneno yake, hivi unadhani huyu hata ujidanganye eti unampenda kuna siku atakuheshimu ?, unadhani huyu anaweza kusikia ukimwambia kwa mdomo ?, hawa ndio wale ambao wanasemaga ukitoka na mimi natoka, hawa wa kupiga tu, tene ukiweza unamtia kilema, yaani vunja hata mguu ili atulie nyumbani, ukija kupona atakuwa anauangalia anakumbuka na kuugulia machungu
 
Haya mambo si ya kuokoteza. Inatakiwa mwenye habari sahihi ndio asimulie. La sivyo tutarishana matango pori na kujenga hasira zisizokuwa na msingi.
 
Wewe hufanyagi ujinga na upuuzi kwa mwanamke?.

wewe hujawahi mkosea mwanamke?..

wanaume ni wengi pia
Hio sio hoja
Usijidanganye, wanaume ni wachache sana, tena wenye uwezo wa kuoa ndio wachache zaidi, wanawake hata akama hajafikia umri wa kuolewa anaweza akaolewa akaenda kukulia kwa mumewe, lakini huwezi kuchukua kijana wa kiume ulazimishe awe mume kama yuko chini ya umri wa kuoa.
 
Back
Top Bottom