Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Mihayo Wilmore anayedaiwa kumpiga mkewe Nackitia Nyange "kipigo cha mbwa koko" ni nani?

Kama upo karibu na Juice bar yeyote take a glass nitalipa! Very well said.

Hakuna justification ya mtu kupigwa na kuburutwa namna hii, ukipigwa unakuwa umedhalilishwa na kutolewa utu, binadamu anatakiwa kupewa adhabu zitakazotunza ubinadamu wake hata kama yeye mwenyewe ni “mbaya”kiasi gani. Halafu kumpiga mwanamke ambaye hawezi hata kukurushia ngumi moja nao ni ugonjwa wa akili. Kama kuna chochote Nack alichofanya chochote kwa jamaa yake hili la kupigwa kalifit kama justification. Uliza sababu utaambiwa sijui usaliti, sijui ma nini nini, swali huyo kaka hajawahi msaliti mkewe? Au hajawahi mfanyia chochote kibaya! Is he malaika Gabriel or something like that, Holly! No no no! Mbona ye hakupigwa hivyo? What’s your point men! To me binadamu yeyote hatakiwi kupigwa leave alone a woman!

Sipati picha mangenita angekuwa katika ubora wake wa U Turn angeandika nini mbaya wake anapokaangwa hehe!
Binti Kiziwi,
cc Zurie,
Maelezo yenu yana hoja, na ninaona jinsi ambavyo mnajaribu kuonesha hisia zenu juu ya kitendo cha kupigwa mdada,
Mimi nilitamani sana kuona mnaanza kwa kukiri kwamba inawezekana mdada alitenda kosa lililopelekea kupigwa kwake, unajua inaudhi sana mwanamke anapokuwa ametenda kosa zaidi ya mara moja unamwambia hasikii, huyo jamaa naamini naye hakupenda kumpiga mkewe tena mbele ya watoto wake, ndio maana utaona walitoana ndani, inawezekana jamaa alikuwa ameamua kutoka nje akapunge upepo hasira zake ziishe, lakini picha inatuonesha mwanamke ndie aliyekuja kwa nyuma, na inawezekana kabisa alikuwa akimfuata mumewe nje kwa matusi, inawezekana, angekuwa na adabu, angebaki ndani ya nyumba, mjifunze tu kuwa na adabu na heshima na usikivu na Utii, hakuna mwanaume anaeweza kupiga mke wake bila sababu ya msingi, hata namna mnavyo comment, mnaniacha hoi.
 
Mwenyezi Mungu katuagiza tuwatii waume zetu, lakini sifikirii kawaagiza muwapige wake zetu! [emoji23] Wanaume wanaume! Au alisema wanawake wawatii wasipowatii muwabonde hehehe!
uislamu unaruhusu, quran imeandikwa wanawake wana akili kidogo,hivyo wapigwe, quran inasema akili ya mwanaume mmoja ni sawa na akili ya wanawake wawili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binti Kiziwi,
cc Zurie,
Maelezo yenu yana hoja, na ninaona jinsi ambavyo mnajaribu kuonesha hisia zenu juu ya kitendo cha kupigwa mdada,
Mimi nilitamani sana kuona mnaanza kwa kukiri kwamba inawezekana mdada alitenda kosa lililopelekea kupigwa kwake, unajua inaudhi sana mwanamke anapokuwa ametenda kosa zaidi ya mara moja unamwambia hasikii, huyo jamaa naamini naye hakupenda kumpiga mkewe tena mbele ya watoto wake, ndio maana utaona walitoana ndani, inawezekana jamaa alikuwa ameamua kutoka nje akapunge upepo hasira zake ziishe, lakini picha inatuonesha mwanamke ndie aliyekuja kwa nyuma, na inawezekana kabisa alikuwa akimfuata mumewe nje kwa matusi, inawezekana, angekuwa na adabu, angebaki ndani ya nyumba, mjifunze tu kuwa na adabu na heshima na usikivu na Utii, hakuna mwanaume anaeweza kupiga mke wake bila sababu ya msingi, hata namna mnavyo comment, mnaniacha hoi.

Either tunakuacha hoi au hatukuacho hoi hapa its not an issue. Issue hapa ni kupigwa kwa mwanamke mwenzetu mkuu, hajajitetea wala hajashika hata kajiwe kurusha. (Sote tunajudge kwa hiki kinachoonekana katika kipande cha video)

Msimamo wangu kama binadamu siungi mkono mtu yeyote kupigwa iwe ni ke au me! Hata tukikiri kuwa yawezekana mwanamke mwenzetu alikosea bado kwangu haitokei sababu nzito ya kuhalalisha namna anavyopigwa, kwahiyo mkuu tukikiri alikosea ameshapigwa so what, i better stand here, MWANAMKE HATAKIWI KUPIGWA! kuna adhabu mbadala mbona? Au hamjui?

Eti angebaki ndani video inaonesha akimfuata mume nyuma ambapo ukaguess alimfuata nyuma kwa matusi, kwanini usione alimfuta nyuma akafungue zake geti aondoke? Umeshafahamu unaposimamia mkuu? Na hapo ndipo sisi tunapopapinga, tusomeni katikati ya maneno mtuelewe.
 
Huyu jamaa ni mtu mmoja poa sana. IT & Marketing genius fulani.
Kilimcost sana kuoa huyo dada yake le mutuz kwa mama yake wa kambo .

Mihayo yuko very focused lakini alipata mke ambaye anapenda starehe za town mtoto wa Kinondoni matokeo yake akawa anapigia hesabu mali za mchizi.

Na kumpeleka resi sana mchizi anarudi kula bata late mke wa mtu hata kama ndio uzungu huu ulipitiliza . Sema kwa hiyo clip nimeamini binadamu uki mpush kwenye edge anaweza akaua mtu bila kutarajia. Lazima kuna sababu kwanini demu kala kipondo kile.

Sent using Jamii Forums mobile app
hicho nacho ni kipondo???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HATA IWEJE HAKUNA UHALALI WOWOTE WA KUMPIGA MWANAMKE, KAMA MMESHINDWANA KUBALI YAISHE ENDELEA NA MAISHA YAKO, HATA KAMA AMELALA NA MTU MWINGINE NA UKAMMFUMANIA, HATA UKIMPIGA HAITABADILISHA CHOCHOTE, UKWELI UTABAKI PALE PALE KWAMBA AMESHALALA NA MWINGINE, HUTAWEZA KUBADILISHA HUO UKWELI
Mwanamke mwingine ukimfukuza nyumbani haondoki na unakuta umemfumania so inabidi umshushie kipigo aondoke.
 
Either tunakuacha hoi au hatukuacho hoi hapa its not an issue. Issue hapa ni kupigwa kwa mwanamke mwenzetu mkuu, hajajitetea wala hajashika hata kajiwe kurusha. (Sote tunajudge kwa hiki kinachoonekana katika kipande cha video)

Msimamo wangu kama binadamu siungi mkono mtu yeyote kupigwa iwe ni ke au me! Hata tukikiri kuwa yawezekana mwanamke mwenzetu alikosea bado kwangu haitokei sababu nzito ya kuhalalisha namna anavyopigwa, kwahiyo mkuu tukikiri alikosea ameshapigwa so what, i better stand here, MWANAMKE HATAKIWI KUPIGWA! kuna adhabu mbadala mbona? Au hamjui?

Eti angebaki ndani video inaonesha akimfuata mume nyuma ambapo ukaguess alimfuata nyuma kwa matusi, kwanini usione alimfuta nyuma akafungue zake geti aondoke? Umeshafahamu unaposimamia mkuu? Na hapo ndipo sisi tunapopapinga, tusomeni katikati ya maneno mtuelewe.
Weka wazi hizo adhabu mbadala unazozipenda wewe zinaweza kuwasaidia wanawake wengine, wewe kujifanya you stand there kwamba mwanamke hatakiwi kupigwa unakosea, msiharalishe maovu/makosa wanayofanya wenzenu kwa kisingizio sio haki, ukizingatia anayoyataka mume huwezi kupigwa, kinyume chake my dear usilaumu watu, unataka tuwasome katikati ya maneno, how ?.
 
Either tunakuacha hoi au hatukuacho hoi hapa its not an issue. Issue hapa ni kupigwa kwa mwanamke mwenzetu mkuu, hajajitetea wala hajashika hata kajiwe kurusha. (Sote tunajudge kwa hiki kinachoonekana katika kipande cha video)

Msimamo wangu kama binadamu siungi mkono mtu yeyote kupigwa iwe ni ke au me! Hata tukikiri kuwa yawezekana mwanamke mwenzetu alikosea bado kwangu haitokei sababu nzito ya kuhalalisha namna anavyopigwa, kwahiyo mkuu tukikiri alikosea ameshapigwa so what, i better stand here, MWANAMKE HATAKIWI KUPIGWA! kuna adhabu mbadala mbona? Au hamjui?

Eti angebaki ndani video inaonesha akimfuata mume nyuma ambapo ukaguess alimfuata nyuma kwa matusi, kwanini usione alimfuta nyuma akafungue zake geti aondoke? Umeshafahamu unaposimamia mkuu? Na hapo ndipo sisi tunapopapinga, tusomeni katikati ya maneno mtuelewe.
Malenga walisema, Kiburi si maungwana, lakini pia Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Idd, semi hizi ziliwasaidi sana Mama zetu kuishi vizuri na waume zao kwa muda mrefu, kuna mada moja hapa jamvini Mdau mmoja ameripoti akisema amekuta Picha za Utupu za mke wake akiwa amemtumia mwanaume ambae lazima atakuwa hawala yake, sasa kwenye case kama hii unashauri Mwanamke hapigwi ?.
 
M
Weka wazi hizo adhabu mbadala unazozipenda wewe zinaweza kuwasaidia wanawake wengine, wewe kujifanya you stand there kwamba mwanamke hatakiwi kupigwa unakosea, msiharalishe maovu/makosa wanayofanya wenzenu kwa kisingizio sio haki, ukizingatia anayoyataka mume huwezi kupigwa, kinyume chake my dear usilaumu watu, unataka tuwasome katikati ya maneno, how ?.
mbadala ni majadiliano juu ya matatizo yenu
Na kila mtu kuona matendo yake alipokosea na alikopatia

na si mmoja malaika mmoja mkosaji
 
Yes, wengi wanaokoteza hawajui lolote. Nimefanya sana kazi na Mihayo ni mtu poa sana japo anamapungufu yake lakini ni mtu haswa na anajua kuitafuta pesa.

Huyo ex wake ni wale wanawake wasiofugika jamaa sababu wakishua hajui sana purukushani za mjini akaingia mkenge. Walishaachana na Mihayo ameshinda mahakamani lakini huyo mwanamke bado anaendeleza vita ya kumrostisha mshikaji ameamia kwenye media.

Huwezi jua ushenzi wa mtu unless unalala nae kaka, au unashare nae ukuta! No offense!
 
Malenga walisema, Kiburi si maungwana, lakini pia Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Idd, semi hizi ziliwasaidi sana Mama zetu kuishi vizuri na waume zao kwa muda mrefu, kuna mada moja hapa jamvini Mdau mmoja ameripoti akisema amekuta Picha za Utupu za mke wake akiwa amemtumia mwanaume ambae lazima atakuwa hawala yake, sasa kwenye case kama hii unashauri Mwanamke hapigwi ?.

Comment yangu moja umeijibu mara mbili, na unaniletea cases tofauti kujustify upigaji, basi ngoja nikukubalie mwanamke anapigwa, na tena anapigwa sana, mwanamke ndiye mtu pekee hukosea duniani, hivyo kumpiga ni haki kabisa. You happy now!? 😀

Ujue nimewasoma na kuwasoma tena, imebidi nianze kutafakari upya, hivi kupiga kwenu ninini? Kwanini mnaamini sana katika kupiga? Je ni kukomoa, kurekebisha au kumaliza hasira? Ama ni matatizo ya akili na hamjijui? Maana kila mtu anajimwambafy kuwa ni lazima kupiga na hamna namna!

Naendelea kusimama hapa, siafiki mtu kupigwa no matter aina ya kosa alilokosea, kupiga ni uonevu, unyanyasaji na udhalilishaji, na mwisho sifikirii kama kuna matokeo chanya juu ya upigaji. Nitaendela kusimama hapa hapa.

Africa tunapigana sana na hakuna chenye kinabadilika au kuleta unafuu, watoto majumbani wanapigwa, shuleni wanapigwa, wanawake wanapigwa, watu wanapigana ovyo mitaani, nini shida katika akili yetu? Note: sio kwamba race zingine hazipigani, lakini utaona reaction ya watu juu ya upigaji ndiyo inayotutofautisha sisi wa bara giza na wale. Huku ukireact kupinga upigaji you will be called names, Je ni kweli upigaji unasaidia kitu!?Hebu wapigaji mtuambie hapa.
 
Fact mademu wengine wameumbwa sio kuolewa Bali kuwaliwaza wanaume walio oa kipindi ndoa zao zinazingua
Mkuu watoto wa kinonondoni ni wachakarikaji wanapenda maisha mazuri hata kwa njia fupi.

Hawa kilichowaponza ni haraka ya kuoana. Mihayo hakumjua vizuri yule binti na binti hakumjua vizuri mihayo. Mambo ya kukutana batani manpendana then ndoa. Sio wanawake wote wazuri ni wa kuolewa wengine ni bora waishi single ili watimize ndoto zao. Lakini huwa wanaolewa sababu ya kupata kitu fulani au kianzio na watoto then maisha yanaendelea.

Kuna watu ni bora waishi single kuliko kuungana na mwezie ambaye hawezi kumuelewa matendo yake. Kuna watu anataka ale bata mpaka alfajiri, huyo hawezi kuishi ndani ya ndoa. Ataolewa ili atoe gundu tuu na watu wasimseme

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu... I think you will agree with me that you cannot beat your children like the way that guy did to his wife. In other words.... kumuadabisha mtoto kuna namna yake... huwezi piga mtoto mateke .

Kumu adabisha mtoto kuna “namna” yake!

The same way kumuadabisha mwanamke kuna “namna” yake!

Wewe umetumia kipimo gani kuona yule dada kapigwa “sana” universally kiasi kwamba wote tukubaliane na wewe?
 
Wachache kwa takwimu zipi mkuu
Sex ratio ya nchi na dunia ni 1:1

vinginevyo njoo na takwimu
Ndo Ndoa zinahappen kila siku
Wanaume watu wazima ndo wanaooa Watoto wa kazi gani

Mzee

Unafeli sana,maana hapo ni wote watoto kwa watu wazima na wazee

Sasa ukija kwenye eligible bachelors tayari kuoa ni way too small number compared na wanawake walio eligible

Hivyo wanawake wengi eligible wana go unmarried

Tunazungumzia kundi la katikati lililo tayari kuoa au kuolewa,wanaume wake ni way too small!

Kundi la watoto na wazee hapa ni useless!

Ila overall population jinsia ya kike na kiume ni slightly 1:1
 
Sema nini bro mbona bwana mihayo ni tapeli no. 1....waulizeni crdb naomba toeni info za utapeli wa mihayo... na mbona mshkaji tulikua tunakula nae anamkejeli mkewe mpaka tukawa tunawaza huyu bro kwanini alioa...vibaya zaidi na yeye alikuwa na wanawake kede kede wengine tulikua tunamhifadhi..mbona ye hajapigwa
Heee kumbe naye sio mtu mwema. Sasa ujasiri wa kuhukumu kama mtu mwema aliupata wapi?
 
Back
Top Bottom