CHIZI WEWEEE HILO JENGO LA MWAKA GANI MPAKA UMWAMBIE MAMA UNUTAAHIRA KICHWANI KWAKO TENA UNA MATOPE KICHWANI SIYO AKILISerikali ya awamu ya sita imesavabisha mauaji Kwa kuruhusu ujenzi holela usiofuata taratibu za ujenzi.huyu mama ajiuzulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHIZI WEWEEE HILO JENGO LA MWAKA GANI MPAKA UMWAMBIE MAMA UNUTAAHIRA KICHWANI KWAKO TENA UNA MATOPE KICHWANI SIYO AKILISerikali ya awamu ya sita imesavabisha mauaji Kwa kuruhusu ujenzi holela usiofuata taratibu za ujenzi.huyu mama ajiuzulu
Tatizo una akili ndogo.CHIZI WEWEEE HILO JENGO LA MWAKA GANI MPAKA UMWAMBIE MAMA UNUTAAHIRA KICHWANI KWAKO TENA UNA MATOPE KICHWANI SIYO AKILI
Unajua hilo ghorofa limejengwa lini?...Tatizo kubwa la nchi hii ni rushwa, watoa vibari wanapokea hongo bila hata kujisumbua kwenda huko Site!, kama vile viongozi wetu wanavyosaini mikataba,yeye ni kuchungulia kwa account kiasi kilichoingia basi anasaini makaratasi Watanganyika mtajijua wenyewe.Serikali ya awamu ya sita imesavabisha mauaji Kwa kuruhusu ujenzi holela usiofuata taratibu za ujenzi.huyu mama ajiuzulu
Mara ya mwisho nilisikia ni 13Waliofariki ni wangapi?
Yaani nadhani mpaka jana mama Kizimmkazi kupiga mkwara mwenye jengo akamatwe, alikuwa kitaani tu huru.Siyo kufa kwa uzembe wa wapmbv fulani...tunajuwa kifo kipo
Ova
Hao ndiyo wanaoagwa leo Mnazi mmoja, leo nadhani mamlaka hawajatoa idadi.Mara ya mwisho nilisikia ni 13
Yeah, uko sahihiHao ndiyo wanaoagwa leo Mnazi mmoja, leo nadhani mamlaka hawajatoa idadi.
Kumbe wengi?
Waziri mkuu kasema ni 16 mmoja wao alichukuliwa na nduguze wakamsafirisha.Mara ya mwisho nilisikia ni 13
HakikaRIP
N swala la muda tu hata mm na wewe tutapitaa hii njia mletaa mada...
13Waliofariki ni wangapi?
Daa jamaa wameamka asubui siku ya jmoss fresh tu,hakuna hata mmoja aliekuwa anajua kuwa baada ya siku mbili toka ile saa 12 walipoamka kwamba wangekuwa ndani ya jeneza siku ya j3 au hakuna aliejua kuwa kesho yake wangeamkia mortuary,maisha ni kumcha Mungu hakuna ajuae saa ya kutwaliwa.Miili ya waliofariki Kariakoo ikiwa tayari kwa kuanza kuagwa💔🕊View attachment 3155384
Sasa si mdeal nae kwa codes za mtaani tu.... maana hapo yeye deep down wala hajali, na hapo ukute ana vyanzo vingine vya mapato so hiyo kodi atayokosa hapo haiwezi kumtikisa kiuchumiYaani nadhani mpaka jana mama Kizimmkazi kupiga mkwara mwenye jengo akamatwe, alikuwa kitaani tu huru.
Kuweka Picha Za Wenzetu WalitutanguliaSamahan wakuu hvyo viti mbele ya majeneza ni vya kazi gan
Kwa hizi akili CCM wataendelea kuitawala hii nchiSerikali ya awamu ya sita imesavabisha mauaji Kwa kuruhusu ujenzi holela usiofuata taratibu za ujenzi.huyu mama ajiuzulu
Ungekuwa unagonga mabikra 72Siku moja kabla ya jengo kuanguka nilienda pale kuomba kibarua, wakati nasubiria subiria nikapigiwa simu niende mtaa wa Arusha kuna kazi.
Sasa najiuliza pale ningèpata kazi sijui ningekuwa marehemu au ningeokolewa