Mijadala gani hufungwa au kufutwa kabisa katika JamiiForums?

Mijadala gani hufungwa au kufutwa kabisa katika JamiiForums?

Status
Not open for further replies.
Kanyaga twende mkuu usiogope.my be kuna pandikizi humo


Swissme
Hahaha wananinyima haki nimeomba wanitoe, au wanipe jinsi ya ku left, hii ni jamii forums, jukwaa letu kwanini tunaongozwa kufikiri sawa na moderators?!
Wao wanatushauri tusitukane, wala kuingilia faragha ya mtu, sasa wao kwanini wafute maoni yangu?! Sijamtukana mtu
 
Hahaha wananinyima haki nimeomba wanitoe, au wanipe jinsi ya ku left, hii ni jamii forums, jukwaa letu kwanini tunaongozwa kufikiri sawa na moderators?!
Wao wanatushauri tusitukane, wala kuingilia faragha ya mtu, sasa wao kwanini wafute maoni yangu?! Sijamtukana mtu
Hivi hao moderators ni watu kama sisi ama?
 
Hivi hao moderators ni watu kama sisi ama?
Ndio ni watu, wanadhani kuwa moderator ni kukandamiza wenzao, hawana sababu kufuta thread ya mtu kama haina matusi, na haiingilii faragha ya mtu.
Nimewaomba wanifute au wanifunze jinsi ya ku left permanently
 
Hamna pumba...
Bali ukiandika uzi wenye elenent za "we speak openly" itafutwa maana siku hizi ile slogan ya JF to speak openly imegeuka kuwa WE SPEAK SECRETLY....
Hahahaa lumbumba’ s army took over.
 
Hamna pumba...
Bali ukiandika uzi wenye elenent za "we speak openly" itafutwa maana siku hizi ile slogan ya JF to speak openly imegeuka kuwa WE SPEAK SECRETLY....
Mkuu
JF ni sehemu salama na sahihi kwa wote wanaoitumia.

Mpaka unajibu maoni ya members wengine haujasema title ya mada unayosema.imefutwa.

Ahsante
 
Mimi nimeomba kufutwa kabisa humu Jamii Forums, kwa hiari yangu, au nielekezwe jinsi ya kujitoa kabisa, naomba msaada huo tafadhari.
 
Mkuu
JF ni sehemu salama na sahihi kwa wote wanaoitumia.

Mpaka unajibu maoni ya members wengine haujasema title ya mada unayosema.imefutwa.

Ahsante
Mimi binafsi zimefutwa nyuzi zangu nyingi tu, suluhisho nikaomba niondolewe kabisa, au nifundishwe jinsi ya kutoka humu, nasubiri majibu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom