Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Si uondoke mwenyewe tu.Maxime Mello, Naomba kufungiwa Permanent tafadhalini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si uondoke mwenyewe tu.Maxime Mello, Naomba kufungiwa Permanent tafadhalini
Ndio nimeshindwa kujifuta nikaomba kufutiwa accountSi uondoke mwenyewe tu.
Mkuu sasa hapo ulitoa maoni au uliuliza?Maoni yangu mnayaondoa kila nikiyatoa tatizo ni nyie au CCM?!
Nimeuliza; "Ni lini makamu wa Rais atakaimu nafasi ya Rais?" Mkafuta, muwe mnanijibu basi kabla hamjafuta maoni yangu.
Au nifungieni sio tatizo kabisa kwangu.
Niliuliza, kama hawakuwa na majibu wangewaachia wenye majibuMkuu sasa hapo ulitoa maoni au uliuliza?
Ni pindi Rais atakapokufa ghafla akiwa madarakañi...atakaimu hiyo nafasi.Mkuu sasa hapo ulitoa maoni au uliuliza?
Na huu wataufuta....Kuna vitu vinakera, mfano mtu anapoleta uzi ambao ni wa msingi na watu wakiujadili unaweza kuwapa mwanga na mwenendo wa hali halisi ya maisha, alafu ukakuta mods mnautoa alafu cha kushangaza mnaacha uzi ambao hata ukijadiliwa hauna maana yoyote mnataka sisi tuwaelewe vp?
Consider hizo screen shot tatu, mbili za muhim zimeondolewa ila moja isiyo na maana imeachwa. View attachment 710080View attachment 710081View attachment 710082
Niliweka uzi mdogo tu unaoonyesha tofauti kati ya kuongozwa na kukataliwaMimi nimeomba wanifungie indefinitely, au wanifute kabisaa
sana yani....Wanapaswa kurekebisha T&Cs ziendane na wakati tuliopo.
Inaumiza pale unapotumia muda kutengeneza Uzi halafu unanyakuliwa. [emoji19]
Ndio maana nimeomba waifute ID yangu kabisa, sielewi ugumu huko wapiNiliweka uzi mdogo tu unaoonyesha tofauti kati ya kuongozwa na kukataliwa
haukuchukua dakika
Mimi nimewaomba waifute ID yangu, sijaelewa kwanini hawataki?! Sijui nitukane nifungiwe permanent?!Wanapaswa kurekebisha T&Cs ziendane na wakati tuliopo.
Inaumiza pale unapotumia muda kutengeneza Uzi halafu unanyakuliwa. [emoji19]
Mimi siogopi na huu mtandao wanauita wa jamii, watuache wanajamii tushiriki tutakavyo, wao wamekuwa kama polisi na ccm, basi wanifunge kifungo cha maisha!JF ni kondoo waliopotea wa nyumba ya kuogopesha
Jaribu kuomba ubadilishe ID nasio kufunga account.Mimi nimewaomba waifute ID yangu, sijaelewa kwanini hawataki?! Sijui nitukane nifungiwe permanent?!
Mimi nimeomba kufunga account, kama kuna tatizo kufunga account waniambie mimi, tatizo ni lipi kwanini wasiifunge account yangu, nimewaomba mimi muhusikaJaribu kuomba ubadilishe ID nasio kufunga account.
Mimi nimeomba kufunga account, kama kuna tatizo kufunga account waniambie mimi, tatizo ni lipi kwanini wasiifunge account yangu, nimewaomba mimi muhusikaJaribu kuomba ubadilishe ID nasio kufunga account.
Wanapaswa kurekebisha T&Cs ziendane na wakati tuliopo.
Inaumiza pale unapotumia muda kutengeneza Uzi halafu unanyakuliwa. [emoji19]