Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chapisho lang limetoka kufutwa si mda mrefu .pia uwa wananifanyia ivyo kwa machapisho mengi tutell them
kwahyo nilicho kiongea hakikuwa na pingamiz kuwa ukristo ni utataTatizo udini ulioleta
Pengine kuna mod unamuchapia kademu kake.Sijui nini tatizo .ata sielewi munafuta machapisho yangu mengi .je munataka nichapishe kile mukipendacho nyinyi
Si watuambie tu kuwa tuisifie sirikali na kuwa wanafki tuwapo humu jfMimi nimeandika kuhusu maaskofu kuishauri serikali nashangaa wamefuta post yangu jamii forum ushaanza kuwa mtandao wa kibashite
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pengine kuna mod unamuchapia kademu kake.