Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Acha udini ongelea dini yakokwahyo nilicho kiongea hakikuwa na pingamiz kuwa ukristo ni utata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha udini ongelea dini yakokwahyo nilicho kiongea hakikuwa na pingamiz kuwa ukristo ni utata
Honestly nashindwa hata kukusaidia bosi wangu.kuna thread nimeianzisha muda sio mrefu ila ghafla imepotea katika mazingira ya kutatanisha thread ilikuwa na kichwa "Ukristo ni utata" vipi itakuwa imefutwa na mods au vipi? nina wasiwasi ban itanihusu mana nahisi nimesema ukweli ambao mods umewakera
PoleKwanini mnanifanyia hivi?
Mbona wengine nyuzi za kipuuzi mnaziacha wala hamuwafanyii chochote. Kwanini Mimi tu??
Au kwa vile tunapishana kauli baadhi yenu ndio mnanikomoa??
Haya na hii futeni mkipenda nipeni na ban.
aisee wameiteka siunajua tanzania kwa kuteka hawashikiki"IMETEKWA"
kumbe ndio walivyoUngeweka wa upande mwingine ungedumu zaidi na kushangiliwa
Huo umefutwa
aisee kuna watu ni proffesional kidnappersImetekwa na asiyejulikana
cheka tu mkuu ila mpaka sasa ujaongeza neno au wameshakuteka!Imetekwa hhahahaa acha nicheke nitarudi kureply
hawa walio teka safar hii watajulikanaImetekwa na asiyejulikana
Subir niache tu nitaenda kupost fb,twitter au hata forum ya kenya.Honestly nashindwa hata kukusaidia bosi wangu.
Katika majukumu ya moderators hakuna upendeleo wala kuwa na upande dhidi ya maoni yatolewayo jukwaani.
Pia unapoanzisha thread ambayo kwa makusudi unawalenga members wakupe majibu ambayo kimsingi ungewauliza moderators
Bosi wangu jaribu kutoa maoni yasiyolenga kujenga chuki kwani moderators tunajitahidi kufanyia kazi kila pendekezo hata kwa kuchelewa kutolana na wingi wa requests lakini tunajitahidi.
Ushauri
Tumia search option andika title ya thread yako jibu litakuja haraka mkuu wangu.
Dini yangu mim haina kikwazo ata ingeletwa thread ninge kabiliana nayo.Acha udini ongelea dini yako
We ni ngumbaru mbobevu... Pamoja na ufafanuzi unazidi kuonyesha ungumbaru wako uliotukuka...Subir niache tu nitaenda kupost fb,twitter au hata forum ya kenya.
unadhan huo ni msaada kwangu wakati thread yang imeshafutwa hawajui nilivyo sumbua vidole kutypeWe ni ngumbaru mbobevu... Pamoja na ufafanuzi unazidi kuonyesha ungumbaru wako uliotukuka...
imetekwa kweli ila na watu wanao julikana[emoji23][emoji23] itakua imetekwa