Mijadala gani hufungwa au kufutwa kabisa katika JamiiForums?

Mijadala gani hufungwa au kufutwa kabisa katika JamiiForums?

Status
Not open for further replies.
Kwenu Mods,

Naombeni msinipige ban kwa kuwauliza,

Mnafuta Uzi za maana sana hapa na zenye kuelinisha umma. Emefuta Uzi za Mwanahari Huru, BAK, Zangu, za Barafu na Msambwata (huyu amekula ban).

Mi sijaelewa mmekuwaje sikuhizi nyinyi mods, au mnataka tupost za kumsifu bwana yule?? Ile ideology/dhana ya here is the home of great thinkers IPO wapi?

Haya mambo hamuyaoni? Kwani mtu kuandika kuhusu tar 26 April ni jinai??

Mnakera sometimes
Ukitaka mambo yako yaende mwimbie sifa Na kumpiga vigeregere kijimungu mtu anayejiita Just Praise Me.
UPUMBAVU huu mimi siwezi kuufanya , tena mtu mwenyewe yuko frustrated.
 
Kwenu Mods,

Naombeni msinipige ban kwa kuwauliza,

Mnafuta Uzi za maana sana hapa na zenye kuelinisha umma. Emefuta Uzi za Mwanahari Huru, BAK, Zangu, za Barafu na Msambwata (huyu amekula ban).

Mi sijaelewa mmekuwaje sikuhizi nyinyi mods, au mnataka tupost za kumsifu bwana yule?? Ile ideology/dhana ya here is the home of great thinkers IPO wapi?

Haya mambo hamuyaoni? Kwani mtu kuandika kuhusu tar 26 April ni jinai??

Mnakera sometimes
Ni kweli kabisa.

Leo hii wamefuta uzi wangu ambao ulikua unatoa an objective analysis ya siasa za social media na uhalisia wa demokrasia yetu.

Abstract niliyoiweka inaweza kabisa kukidhi thesis ya political science. But do we want to learn? NO.

Nimeamua kuiweka, in a condensed version, TWITA. I am migrating to other serious media. Huku nitakuja kuchungulia udaku, ushambenga na matusi.
 
mh!..kumbe ndio tunavyoishi humu siku hizi Ila itifaki lazima izingatiwe mihemko ikizidi utatafuta maadui mpaka chumbani kwako.
 
asante kwa mleta mada. mie mwenyewe nilileta mada ya kuuliza tu nini maana ya uhain wamefuta. namejiuliza nikabaki kupigwa na butwaa.

hebu oneni ilikua na ubaya gan hii topic?



uhaini ni kitendo cha kuitoa serikali iliyo madarakani kihalali kwa njia haramu. ni kitendo cha kupanga njama za kupindua serikali ya mtu fulani na kumuweka mwingine.

je kuandamana ili kushinikiza rais aliye madarakani ajiuzuru ni uhaini??

jibu ni hapana. kwasababu kuandamana kupinga jambo fulani kikatiba ni halali haiwezi kuwa uhaini.
uhaini ni kitendo cha kufanya mapinzuzi. na baada ya kufanikiwa kupindua ni kumtangaza au kujitangaza kuanzisha serikali mpya.

maandamano yanayopangwa yanalenga kumwondoa rais madarakani na kumwacha makamu aendeshe serikali hadi uchaguz ujao . huo hauwez kuwa uhain. labda kama uhaini umebadirika.

afrika ya kusini aliye kuwa rais wa nchi hiyo ameondolewa madarakani kabla ya muda wake baada ya kuona anazidi kuharibu. na kamwe waliofanya vile haijawa uhain kwao. kwann kwetu iwe uhaini??

katiba inaporuhusu kuandamana sio kuandamana kwa ajili ya kuwapinga mawaziri au kuomba maji tu, kuandamana ni kitendo cha wananchi kujikusanya pamoja kutoa hisia fulan juu ya jambo fulan inaweza kuwa kupinga au kupongeza. kumpinga rais kwamba anatupeleka kubaya atoke mapema kamwe haiwez kuwa uhaini.

uhaini haupangwi tarehe maandamano yanapangwa na tarehe inamaana ni nafasi kwa serikali kutolewa ufafanuzi wa hizo kero zinazopelekea watu kupanga kuandamana na si kuwatisha.

kupanga kuandamana sio uhain viongozi msipotoshe. anaye sema kuandamana ni uhaini anipe sababu.
na kifungu kilichopinga kuandamana kwa lengo la kumtaka rais ajiuzuru. au maandamano hayamhusu rais??
 
vizingiti na vikwazo ni lazima ktk kuelekea mapinduzi yoyote ya kweli
 
Nashangaa watu wanalialia sana huku wana ID feki.. eeeeh

Popcorn pliiiiiiiz
 
Mods kufuta nyuzi za watu imekuwa ni kero nà hili tàtizo linakera sasa kwa jamiiforums.
Jàmii forums imekuwa tofauti na zàmani,
 
Dah yani kuna nyuzi kibao zilikua nondo tupu unaziacha usiku unalala ukiamka asubuhi kitu chakwanza kabisa unaingia JF kuutafuta ule uzi wa jana usiku.


Unahaha kama mbwa koko kila kona huuoni, mwisho wa siku wenge la usingizi lilikata unagundua uzi utakuwa umetupwa kapuni.

JF mnafuta nyuzi hovyo hata zenye mijadala mizuri na ya tija kwa taifa. Cha ajabu zile nyuzi za kipuuzi kabisa ndio mnatuachia humu hazina kichwa wala miguu.

Huu uzi nao wataufuta
 
Dah yani kuna nyuzi kibao zilikua nondo tupu unaziacha usiku unalala ukiamka asubuhi kitu chakwanza kabisa unaingia JF kuutafuta ule uzi wa jana usiku.


Unahaha kama mbwa koko kila kona huuoni, mwisho wa siku wenge la usingizi lilikata unagundua uzi utakuwa umetupwa kapuni.

JF mnafuta nyuzi hovyo hata zenye mijadala mizuri na ya tija kwa taifa. Cha ajabu zile nyuzi za kipuuzi kabisa ndio mnatuachia humu hazina kichwa wala miguu.

Huu uzi nao wataufuta
Wabadilike kwa kweli.

Lasivyo atatokea mpinzani wao hv karibuni.
Maana kwasasà ni Tanzania ya viwànda.
 
Zingatieni maudhui ya nyuzi zenu. Kama zinakiuka masharti ya forum wawasaidieje?
 
Zingatieni maudhui ya nyuzi zenu. Kama zinakiuka masharti ya forum wawasaidieje?
Maudhui yàko safi kabisaaa.

Mbona nyie chadema mnalalamikà kuhusu utawala huu,na wakati utawala huu uko safi kabisaaaa.
 
Yani mods jamaa ubongokid ameweka uzi wenye maana lakini dakika chache tu mmeupoteza. Kweli mmeshanunuliwa, tugawane basi hizo pesa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom