Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Najua uzi utafutwa ila ujumbe utafika tuu.
Mods wamekuwa hovyo sana, wanafuta nyuzi hovyo ile slogan ya "where we dare to talk openly" imezikwa rasmi. Hongera Lumumba kwa kuicontrol Jf.
Mods wamekuwa hovyo sana, wanafuta nyuzi hovyo ile slogan ya "where we dare to talk openly" imezikwa rasmi. Hongera Lumumba kwa kuicontrol Jf.