Ninachoona ni kwamba Ukiandika ukweli kuhusu ukatili wa ISIS,Al-Qaeda, Boko HAram, Alshabab topic inafutwa haraka sana. Lakini ukitaka Topic Yako usfutwe andika Mchungaji Kafumaniwa...., Mwanakwaya kashikwa ugoni.. na vitu kama hivyo topic yako haitafutwa. Lakini Ukiandika kuhusu Imanmu Kabaka na utoe Ushahidi, Mara moja Topic yako inafutwa.
Inaelekea kuna Terrorist sympathizer kapewa Duster humu JF