Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwasababu ni umbea wa lumumba
Swissme
Hatimaye umepona mkuu!!Mtu unaleta mada hujataja jina la mtu mnaifuta au kuinganisha mpaka mnashangaza.
Mada yangu ya kwanza mmeinganisha hii ya pili ya muda si mrefu mmeifuta.
Nyie fanyeni kazi ya k kuwabeba ila tambueni hawa mabwana hawana rafiki na wala hawana jema cha msingi kwao ni masilahi yao.
Hakuna alie salama na ni bora ukasema wakati bado ukiwa salama.
Mkuu mi nawazoom tu huwa wananichukulia ado ado nitamyofoa mtu koromeo hapa[emoji23] [emoji23] [emoji23]hahaaahaa! Mzee baba hawajui Action zako za kupiga mawashi mpk mtu anatapika kiazi na si kama kala kiepe bali sambusa
...
Apana chezea kabisa
Avatar inakosa gani hapoBadili kwanza hiyo avatar yako.Watu wasiojulikana wapo mfano Buji buji,mshana Jr,popoma hawa unawajua??Ukiandikiwa BANNED maana ulifanya kosa kwa hiyo ulikuwa lupango
Mbona za ccm,zenyewe zimejaa kejeli,dharau,kashfa, uzushi,lakn haziondolewi? Zimejazana jukwa la siasa ,lakn za upinzani dakika chache tu zimeondolewaAisee!!!! Hebu kahesabu thread za jukwaa la siasa uone kama zipo ccm tupu. Ukitaka thread ikae, akikisha hakuna Uzi kama huo kabla, vinginevyo wanaunganisha. Pia epuka kutoa thread za kashfa, matusi na uzushi
Max selo huwa anaenda peke ake.., kesi anasimamia kwa gharama zake..... mkuu kuikosoa CCM ni sawa ila jaribu kutotumia lugha kaliNimekerwa na kitendo cha jf kuzuia kupost thread zangu bila taarifa,na baadhi ya thread zangu kuondolewa kisa kuichambua ccm
Jf ,kuna thread nyingi za propaganda za kiccm huzifuti,ila wapinzani wakiweka thread zao hata kama ni za kweli zinafutwa
Nimekereka sana,naona siku hizi mmetishiwa,au mmenunuliwa mmekuwa upande wa ccm.
Muda si mrefu mtakuwa makao makuu ya propaganda wa Lumumba
hahaaahaa! Mzee baba hawajui Action zako za kupiga mawashi mpk mtu anatapika kiazi na si kama kala kiepe bali sambusa
...
Apana chezea kabisa
wakuu mnaona hawa jamaa walivyowachokozi kama hapo huu uzi niliuweka kwenye Jukwaa la habari na hoja Mchanganyiko ila wao wameuleta hapa...complains forumBadili kwanza hiyo avatar yako.Watu wasiojulikana wapo mfano Buji buji,mshana Jr,popoma hawa unawajua??Ukiandikiwa BANNED maana ulifanya kosa kwa hiyo ulikuwa lupango