Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

Mwenye kuhitaji kununua samaki za ziwa Victoria kwa bei za jumla kutoka Mwanza kama Uko Dar, Moro na Dodoma tayari mizigo nasambaza na ipo masokoni katika hiyo mikoa mitatu. Na aliyoko mikoa mingine

Cont: 0787921515
0763322534

Wale wa Dar: Butcher lipo Kinondoni soko kuu katika milango ya Msikiti wa Mtambani barabara ya kuingia soko kuu
Nice
 
Habari za muda huu wadau,

Mimi ni mwanafunzi wa Chuo nipo Singida. Kwa mtaji wa 500,000/= naweza nikafanya biashara gani ili niweze kutengeneza kipato cha ziada?

Nawasilisha mada kwenu.
 
Fanya utafiti kama jamii inayokuzunguka inapitia changamoto gani halafu watengenezee suluhu ili wakulipe. Although mtaji huo ni mdogo ila anza taratibu tu.
 
Habar ndugu zangu. Nakuja kwenu kuomba ushauri wa wazo la biashara.

Binafsi nimejichangachanga kupitia shughuli zangu za kila siku na nimefanikiwa kupata kama laki 4 (400,000) ivi sasa nafikiria niifanyie kazi gani kabla shida haijaja nikaitumia ikaisha.
Napendelea wazo ambalo halitaathir shughuli zangu za kila siku ambazo zimeniwezesha kupata haka kaakiba.

Napatkana Moro town, hili linaweza kukusaidia mshauri wangu.

Karibuni
 
Wewe unafanya shughuli gani? Au swali jepesi kwa siku upo free Masaa Mangapi? Maana biashara yoyote usimamizi ni lazima.

Mimi nina Mawazo hapa machache:

1. Fungua juice point na matunda. Iwe sehemu ambayo ipo wazi kwa wapita njia na watu magari. Utahitaji brenda (Elfu 60), Friji dogo (Laki 2), mtaji wa matunda na vitu vingine (hapa sijui bei) na kukodi ka frem unaweza ongea na mwenye fremu ukalipa kwa mwezi mmoja mmoja.

2. Anza kuuza vyakula vya nyumbani. Agiza mchele safi kutoka Ifakara kwenye bus (kidiniro) wauzie watu mtaani kwako na kazini kwako unapijifanyia shughuli zako.

3. Saloon ya kiume?

4. Vingine ngoja waje wadau.

PS: Waombe Admins wapeleke huu uzi jukwaa la Ujasiriamali utapata wachangiaji wazuri sana.
 
Fanya biashara ya mtandao.mfano Kuna kampuni inaitwa bfsuma unaeza ukafanya pia hata ukiwa upo chuoni, na ukaingiza Zaid ya dollar 1000 kwa mwezi..contact 0682192752
Habari za muda huu wadau,

Mimi ni mwanafunzi wa Chuo nipo Singida. Kwa mtaji wa 500,000/= naweza nikafanya biashara gani ili niweze kutengeneza kipato cha ziada?

Nawasilisha mada kwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawasalimu ndugu wana JF

Mimi ni mwajiriwa katika kampuni moja hivi hapa Tanzania. Nilikuwa na plan ya kufanya kazi kwa muda wa miaka mi 3 then niwe na maisha yangu. But nikajikuta mpaka sasa mwaka wa nne bado nipo job, inaniuma sana na sipendi.

Miminapenda sana kusafiri safiri yaani nisiwe mtu wa kutulia sehemu moja kwa muda mrefu. Sasa nina milioni 20, je naweza fanya bishara gani ili niachane na hii ajira?

Wazo langu nifungue kampuni ya biashara ya mazao ya Nafaka. Niwe nafuata mazao vijijini na kuuza mjini. Na soko langu la kwanza nimepanga iwe Tanga mjini. Ila sijui taratibu za kufuata mpaka uweze safirisha Nafaka.

Naombeni ushauri wenu pia kama kuna bisahara nyingine naomba mnishauri.
Natanguliza shukrani
 
Nawasalimu ndugu wana JF

Mimi ni mwajiriwa katika kampuni moja hivi hapa Tanzania. Nilikuwa na plan ya kufanya kazi kwa muda wa miaka mi 3 then niwe na maisha yangu. But nikajikuta mpaka sasa mwaka wa nne bado nipo job, inaniuma sana na sipendi.

Miminapenda sana kusafiri safiri yaani nisiwe mtu wa kutulia sehemu moja kwa muda mrefu. Sasa nina milioni 20, je naweza fanya bishara gani ili niachane na hii ajira?

Wazo langu nifungue kampuni ya biashara ya mazao ya Nafaka. Niwe nafuata mazao vijijini na kuuza mjini. Na soko langu la kwanza nimepanga iwe Tanga mjini. Ila sijui taratibu za kufuata mpaka uweze safirisha Nafaka.

Naombeni ushauri wenu pia kama kuna bisahara nyingine naomba mnishauri.
Natanguliza shukrani
Nawasalimu ndugu wana JF

Mimi ni mwajiriwa katika kampuni moja hivi hapa Tanzania. Nilikuwa na plan ya kufanya kazi kwa muda wa miaka mi 3 then niwe na maisha yangu. But nikajikuta mpaka sasa mwaka wa nne bado nipo job, inaniuma sana na sipendi.

Miminapenda sana kusafiri safiri yaani nisiwe mtu wa kutulia sehemu moja kwa muda mrefu. Sasa nina milioni 20, je naweza fanya bishara gani ili niachane na hii ajira?

Wazo langu nifungue kampuni ya biashara ya mazao ya Nafaka. Niwe nafuata mazao vijijini na kuuza mjini. Na soko langu la kwanza nimepanga iwe Tanga mjini. Ila sijui taratibu za kufuata mpaka uweze safirisha Nafaka.

Naombeni ushauri wenu pia kama kuna bisahara nyingine naomba mnishauri.
Natanguliza shukrani

Bro Wakunjombe,kama itakupendeza soma uzi huu...click link hii. Natafuta muwekezaji wa kushirikiana naye kwenye biashara
 
Back
Top Bottom