Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

Habari za mchana wana ndugu mimi nikijana nimemaliza degree mwaka huu ila kutokana na ugumu wa maisha pamoja na hajira, nataka kuanzisha biashara.

Nina kiasi cha laki 5 nataka kuanza biashara, sina tamaa sana ya kupata faida nyingi kwa mda mfupi kwa hyo naombenni ushauri wenu plz plz

Natumain mtanipa ushauri mzuri.

Vp ulifanya biashara gani? How did it go?
 
Naomba msaada wenu Kama kuna anaefahamu kuchenjua copper ore kwa njia ya kienyeji ili nipate SHABA au njia rahisi ya kuchenjua copper ore ili nipate SHABA Natanguliza shukran zangu
 
Kibanda cha mpesa, Airtel money,tigo pesa,halopesa, mbinu na changamoto zake zipoje
Habari Kiongozi pole na majukumu naomba msaada wenu Kama kuna anaefahamu kuchenjua copper ore kwa njia ya kienyeji ili nipate SHABA au njia rahisi ya kuchenjua copper ore ili nipate SHABA Natanguliza shukran zangu
 
Here some EcoActs plastic poles 3.3inch x feet 8 cost 24,500, which are suitable for farm fencing making, gardens making and road signs, our poles they do not rot, terminate free, long lasting, strong and durable, more info contact through 0757671874 email amtatina@ecoact.co.tz
IMG_20211102_094639_072.jpg
 
habari jamvini,

kwa wenye kuhitaji Kusajili

- Kampuni (limited)

- jina na la Biashara

-partneship

pia una kampuni na unahitaji kufanyiwa,

- HESABU ZA KAMPUNI(FINANCIAL STATEMENTS)

- TRA returns

- KUANDIKA MEMORANDUM


wasiliana nami ama kwa simu ama kwa watsup 0788104228

tumekuwa msaada kwa wengi; karibu kwa huduma
; hatuna gharama
TEAMSOLUTIONCONSULTATION

TEAM SOLUTION CONS.jpg
 
bridge and walks ways made out of recycled plastic timber. The projects has brought an amaizing and incredible look, free from several maintainance costs, free from termites, free from rusts and it is also environmental friendly.
For any inquiry please contact
Whatsapp: +255 757 671 874
Call& sms : +255 676 515 441
Email: amtatina@ecoact.co.tzView attachment 2075913View attachment 2075914View attachment 2075915View attachment 2075916View attachment 2075917
Kazi nzuri sana mkuu.
 
KWA WOTE WANAO MILIKI KAMPUNI NA BIASHARA,
31 MARCH NI SIKU YA MWISHO (DEADLINE) YA KFANYA MAKADIRIO YA KODI
KWA ATAKAYE CHELEWA BAADA YA HAPO - PEMATI 225,000 KWA MWEZI

ALARM.JPG
 
Habari wadau,

Napita tu wadau, nasambaza upendo huu kwa wafanya biashara tusiingie hasara;

31March ni deadline (siku ya mwisho) kufanya MAKADIRIO YA KODI. siku moja ya kuchelewa faini 225,000/=
KWA MSAADA ZAIDI NICHEKI 0788104228

ALARM.JPG
 
Umachinga unakuwa na meza ya kuuza bidhaa zako wazambia wengi ni wavivu na wengi wanategemea kuajiriwa na serikali
Samahani,hii ulizungumza zamani,vipi mpaka Sasa bado Ni wavivu?nikavamie nchi huko
 
Habarini wana jamvini.....
Nilikuwa naomba msaada wa soko la bidhaa za chaki...
Ni nyingi tunazalisha asanteni.....
No. 0628145529
20220619_140759.jpg
 
Habari za mchana wana ndugu mimi nikijana nimemaliza degree mwaka huu ila kutokana na ugumu wa maisha pamoja na hajira, nataka kuanzisha biashara.

Nina kiasi cha laki 5 nataka kuanza biashara, sina tamaa sana ya kupata faida nyingi kwa mda mfupi kwa hyo naombenni ushauri wenu plz plz

Natumain mtanipa ushauri mzuri.

Uza vifaranga, kimoja utanunua 1000.
IMG_1609.jpg
 
Back
Top Bottom