Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

Habari Wadau wote;
nimona vyema kushirikisha jambo Muhimu kwa wafanya biashara, wajasilia mali; wenye makapuni.
Bila shaka hii ni msaada kwa wengi,
KUSAJILI:
-KAMPUNI LTD 125,000
-JINA LA BIASHARA 10,000
MEMORANDUM 125,000
HESABU ZA KAMPUNI-FIANACIAL REPORTS
USAHURI BURE 0788104228/0652411402
 

Attachments

  • IMG-20220818-WA0007.jpg
    IMG-20220818-WA0007.jpg
    75.5 KB · Views: 153
Ndugu zangu wa jamiiforam Mimi ninayo laki Moja na nusu je? Naweza kupata cherehani ata aina ya butterfly?
 
HABARINI WANA JAMII,, NAOMBA KUCHANGIWA MAWAZO, USHAURI, UFAHAMU NK, KTK YAFUATAYO ILI KUWEKA REKODI SAWASAWA..
KWANZA KABISA, NILIMSIKIA MTU MMOJA, SIMKUMBUKI JINA, NA SIKUMBUKI WAPI ILA NI MFANYAKAZI WA TRA... KWENYE MAKODI YA KUKADIRIA BIASHARA MBALIMBALI YA WATEJA.

JAMAA: bro nakushauri kama unampango
Wa kufanya biashara, nakushauri
Usifungue kampuni, its a tidius
Work. Kuna lot of ishu ambazo
Zitakusumbua ikiwa ni pamoja
TRA, plus hayo ya ku files return
Kama sio mhasibu utaingia chaji
za kuwalipa consult wakufanyie
N.K. aliniambia mambo mengi.

Akanishauri, ni VYEMA UKAFUNGUA BUSINESS NAME TUU, ukaendesha biashara zako ukiwa na iyo business name.

NIMEONA NILETE HII KITU APA KUPATA MAWAZO MBALIMBALI, Naamini kuna waliobobea kwenye fani hii..

PILI:
Let say, nimefanya procedures za kufungua kampuni BRELLA online, na hatimae nimefanikiwa, nina iyo memort and certificate mkononi, ILA BADO SIJAENDA TRA ili wanifungulie file ili oficial nianze biashara.. SASA KUTOKANA NA CHANGAMOTO ZA DHARURA, nahisi nashindwa kuanza hii company business, na fkilia ku CANCEL kila kitu.. Je, kwa mfano, nikiacha tuu, bila kufanya lolote,, kuna chaji na penalts nitadaiwa na TRA au pengine na Brella? Kumbuka, tra sijawai enda, so sina faili kule......

Msaada kwa hayo machache....
Asanteni..
 
WAPE THAMAN MIFUGOO YAKO ACHA KUFUGA KWA MAZOEA ANZA KUFUGA KIMKAKATII MA UTENGENEZEE PESAA NYINGII KWA MUDA MFUPII

[emoji345]JEFF AGRICULTURE FARM TUNAKULETEA NIPPLES MAALUM KWAJILI YA MAJI KWA MIFUGOO YAKO NA KUEPUKA HASARA NDOGOO NDOGOO NA MAGONJWA YA MLIPUKOO KWANI NIPPLES ITAWAFANYA KUKU WAKO KUNYWA MAJI SAFI NA SALAMA BILAA KUMWAGIKA BANDANII

[emoji345]IKUMBUKWE NIPPLES ZINAFUNGWA KWENYEE NDOO AU JABA AMBALO UNAWEKA BANDANI HIVYOO KUKU WAKO WATAKUA WANAKUNYWA MAJI BILAA KUYACHAFUA WALA KUYAMWAGA BANDANI

[emoji345]HIVYO BASI KUPITIA KWA JEFF AGRICULTURE FARM UTAWEZA JIPATIA NIPPLES ZA KISASAA KWA BEI NDOGOO KABISA YA SHILINGI 3000/=TU

NB:TUNAUZA NIPPLES TUU HATUUZI NDOO

0744344949 /0658344949 [emoji3513][emoji3513][emoji3513]

NA MIKOANI TUNATUMA PIA [emoji597][emoji597][emoji597]

NA UKITAKA KULETEWA UNALETEWA MPAKA KWAKO NA KUFUNGIWA UNAFUNGIWA KWA BEI POA KABISA [emoji3578][emoji3578]
images.jpeg_new_new_new.jpg
 
TAHADHALI YA KUEPUKA MAGONJWA YA KUKU KATIKA MPANGO MKAKATI WA KUANZISHA MRADI WA UFUGAJI WA KUKU

[emoji345]Leo JEFF AGRICULTURE FARM wanakuletea ELIMU ya tahadhali ya kuepuka magonjwa ya kuku na kupata faidaa yakee kwanii wafugaji wengi wamekua wakipata changamoto hiyoo na kupelekea mifugoo kufaa na mradii kufaa bilaa faidaa yoyotee leo basi ungana na JEFF AGRICULTURE FARM uwezee kutambua machachee kati ya mengii ya namna boraa ya kuchukua tahadhali binafsi kwa mradi wako wa ufugaji

[emoji345]Taratibu za kuzuia kwa kuenea kwa magonjwa hutekelezwa kwa lengo la kuzuia uingiaji na usambaaji wa vimelea vya ugonjwa ndani mashamba ya mifugo. Taratibuu hizi ni pamoja na kuweka karantini ambapo magonjwa na vimelea vya ugonjwa huzuiwa na huharibiwa ilii visipenyee kuingia maeneo mengine hivyo taratibuu za kuzuia kuenea kwa magonjwa zina vipengele vikuu vitatuu

1.USAFI WA MAENEO
2.KARANTINI
3.KUDHIBITI NJIA ZA USAFIRISHAJI

Fata utaratibuu huu katika mikakati yako

[emoji3514]Shamba au banda la kuku wako liwe mbali na mashamba mengine ya ndegee na mifugoo mingine
[emoji3514]Ni vyema banda moja liwe na kuku wa umrii mmoja ili kuzuia vimelea vya magonjwa kuendlea kubaki bandani
[emoji3514]Jenga uzio kwa kuzuia watu wasio husika kupita shambani au Bandanii
[emoji3514]Jenga mabanda imara ambayo ndege pori na wadudu hawawezi ingia Bandanii
[emoji3514]Tenganisha ndegee kutokana na aina ya ndegee
[emoji3514]weka karantini kwa kukuu/ndege wapya ilii wachunguzwe kwa kipindi kisichoo pungua wiki mbili kabla ya kuwaingiza Bandanii
[emoji3514]pigaa marufuku na kataa kabisa kuchangia vyombo vya mifugoo kama vya maji, chakula, makasha ya mayai makreti ya kubebea kuku/mifugo kati ya shamba lako na linginee
[emoji3514]Wafanya kazi waanze kuwaudumia kuku wadogo kabla ya wakubwaa
[emoji3514]usiruhusu watoto kucheza katika eneo la shamba
[emoji3514]weka utaratibu wa kuangamiza mizoga
[emoji3514]weka utaratibu wa kusafisha mabanda na kupulizia dawaa
[emoji3514]Anza kuwapa kuku wako maji safiii na salama kwa kutumia vyombo vya kisasaa kama NIPPLES ili kuepuka magonjwa
[emoji3514]Hakikishaa magari yanayo ingia bandani yanapita katika dimbwi lenye dawa yakuuwa vimelea
[emoji3514]Hakikishaa mfanyaa kazi anabadili nguo na viatuu kabla ya kuingia Bandanii

[emoji345]Hizi ni hatua muhimu sana za kufata ili uweze kudhibiti magonjwa kwa mifugoo yako kwani magonjwa ya kukuj ni mengi sanaa na mara nyingii ni ngum sana kuyazuia yakishaa ingia shambani kwako ndio maana JEFF AGRICULTURE FARM tunakupa Elim ya kinga kwanii waswahilii husema KINGA NI BORA KULIKO TIBA tuepuke uzembe tuwape thaman mifugoo yetu

Kwa ushaurii na changamoto za magonjwa na masoko piga simuu 0744344949 /0658344949 [emoji3513][emoji3513] mudaa wotee utapewa ushirikiano kwani JEFF AGRICULTURE FARM ni UKOMBOZI WA FIKRA KWA WAFUGAJI [emoji3578][emoji3578]

NB:MIFUGOO YAKO IWIANE NA UKUBWA WA BANDA LAKO [emoji120][emoji120][emoji120]
 
[emoji345]OFAA OFAA OFAA HII NI KWA WAFUGAJI NA WAJASIRIAMALI WADOGO WADOGO LEO JEFF AGRICULTURE FARM ANAKUSANUA WEWE MFUGAJII NA KUKUPAA ELIMU NA MBINUU YA KUKUZA UCHUMI WEWEE MFUGAJI [emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223]

[emoji345]WATU WENGI WAMEKUA WAKILALAMIKA NA KUUMIZWA NA MFUMKO WA BEI ZA VYAKULA VYA MIFUGO NA KUPELEKEA WATU KUSHINDWA KUENDESHA MIRADI YAO YA UFUGAJI NA KUKATA TAMAA KABISAA NA KUKOSA MBINU YA KUPUNGUZA GARAMA ZA CHAKULAA[emoji24][emoji24][emoji24]

[emoji345]JEFF AGRICULTURE FARM ANAKWAMBIA HILOO LISIKUPE SHIDAA SANAA KWANI NI RAHISI SANA KWANII USHAWAHI JIULIZA UKIMILIKI PILLET MACHINE YAKO YA KUTENGENEZA CHAKULA CHAKO MWENYEWE UTAKUA UMEOKOA PESAA NGAPII?

[emoji345]PILLET MACHINE INAUWEZO WA KUKURAHISISHIA WEWEE MFUGAJI BAADHII YA MAMBO YAKO NA KUKUPA MUDA WA KUFIKILIA MAMBO MENGINEE SIO KILA SIKU KUWAZA UTAPATA WAPII PESA ZA CHAKULA

PILLET MACHINE ZETU ZINA UWEZO KAMA

[emoji3514]KG 100 KWA SAA BEI 1,500,000
[emoji3514]KG 150 KWA SAA BEI 1,700,000
[emoji3514]KG 250 KWA SAA BEI 2,400,000
[emoji3514]KG 350 KWA SAAA 3,500,000
[emoji3514]KG 500 KWA SAA BEI 5,500,000
[emoji3514]KG 750 KWA SAA BEI 7,000,000
[emoji3514]TONE MOJA KWA SAA BEI 8,500,000
[emoji3514]TONE MBILI KWA SAA BEI 12,500,000

[emoji345]MACHINE ZETU ZINATENGENEZA CHAKULA CHA KUKU, SUNGURA, NG'OMBE, SAMAKI NK

MAWASILIANO 0744344949 /0658344949 [emoji3513][emoji3513]DSM

MIKOANI TUNATUMA KWA GARAMA ZA MTEJA [emoji597][emoji597]


[emoji345]JEFF AGRICULTURE FARM NI UKOMBOZI WA FIKRA KWA WAFUGAJI [emoji3578][emoji3578]
IMG-20221023-WA0019.jpg
 
HABARINI WANA JAMII,, NAOMBA KUCHANGIWA MAWAZO, USHAURI, UFAHAMU NK, KTK YAFUATAYO ILI KUWEKA REKODI SAWASAWA..
KWANZA KABISA, NILIMSIKIA MTU MMOJA, SIMKUMBUKI JINA, NA SIKUMBUKI WAPI ILA NI MFANYAKAZI WA TRA... KWENYE MAKODI YA KUKADIRIA BIASHARA MBALIMBALI YA WATEJA.

JAMAA: bro nakushauri kama unampango
Wa kufanya biashara, nakushauri
Usifungue kampuni, its a tidius
Work. Kuna lot of ishu ambazo
Zitakusumbua ikiwa ni pamoja
TRA, plus hayo ya ku files return
Kama sio mhasibu utaingia chaji
za kuwalipa consult wakufanyie
N.K. aliniambia mambo mengi.

Akanishauri, ni VYEMA UKAFUNGUA BUSINESS NAME TUU, ukaendesha biashara zako ukiwa na iyo business name.

NIMEONA NILETE HII KITU APA KUPATA MAWAZO MBALIMBALI, Naamini kuna waliobobea kwenye fani hii..

PILI:
Let say, nimefanya procedures za kufungua kampuni BRELLA online, na hatimae nimefanikiwa, nina iyo memort and certificate mkononi, ILA BADO SIJAENDA TRA ili wanifungulie file ili oficial nianze biashara.. SASA KUTOKANA NA CHANGAMOTO ZA DHARURA, nahisi nashindwa kuanza hii company business, na fkilia ku CANCEL kila kitu.. Je, kwa mfano, nikiacha tuu, bila kufanya lolote,, kuna chaji na penalts nitadaiwa na TRA au pengine na Brella? Kumbuka, tra sijawai enda, so sina faili kule......

Msaada kwa hayo machache....
Asanteni..
Fungua business name fanya biashara, ikikua ndo unaweza sajili kampuni
 
Nawa salimu kwa jina la M/mungu..
Niko na wazo la muda mrefu, nataka nianze Biashara ya uunganishaji (( Assembly Business )) kwa Bidhaa mbalimbali.
Changamoto yangu Ni :-

1. Nitumie njia gani ili niweze kuagiza parts (( vipuli )) za Bidhaa hizo ninazo taka kuanza kuzifanyia assembly.. Sababu parts zote hazipatikani nchini Kwetu Ila nitatakiwa kuagiza kwenye nchi kama China & India.

2. Sijawahi fanya Biashara ya Bidhaa hizo kabla, hivo Sina uzoefu zaidi ya utafiti nilio na ninao Endelea kuufanya.. Sasa Je Ni Bora niende moja kwa moja kwende assembly au nianze kwanza kuuza finished goods zilizopo ili nipate uzoefu wa mauzo kivitendo ?

3. Nianze kutafuta order (wanunuzi) kwanza.. nimelenga wale wauzaji wa Maduka ya Jumla, Maduka ya Reja reja, makampuni husika na taasisi.. au Niingize Machine na Vipuli kwanza then nitapokuwa nmeanza uzalishaji ndio nitafute soko ? (( Japo kwa ujumla naona Bidhaa ninazo taka kuanza kuzizalisha mwenyewe hapa nchini Kupitia kuagiza vipuli vyake nje.. Naona fursa ya soko ipo ))

NB:- Future yangu nataka sana nije nimiliki factory ya Kufanya Manufacturing & Assembly ya products mbalimbali.

Karibu kwa mawazo..
 
HEATER ZA JOTO KWAJILI YA KULEA VIFARANGA

[emoji2788]Ni kawaida yetu kila jumapili kutoa OFAA Mbali mbali kwa wateja wetu juu ya Bidhaa zetu lengo ni kukuza tasnia ya ufugaji Tanzania [emoji1241] [emoji1241]

[emoji2788]Na jumapili ya leo tunatoa OFAAA ya HEATER za joto kwajili ya kulea vifaranga wako

SIFA ZA HEATER ZETU

[emoji3514]Ni heater zinazo toa joto la kutoshea kwa vifaranga
[emoji3514]Ni imara na ngum kuungua
[emoji3514]Zinatumia umeme wa kawaida na kidogo Sana
[emoji3514]zinafungwa kwenyee Holda ya kawaida
[emoji3514]Hazi hitaji umeme mwingi ili ziweze kufanya Kazi

Kuna faida kem kem ukitumia Heater zetu kwa kulelea vifaranga wako kwani ni uhakika 100%

Kwa shilingi 25000/=TU [emoji91][emoji91][emoji91] na Holda yake

0744344949/0658344949[emoji3513][emoji3513] DSM LILIAN KIBO

MIKOANI TUNATUMA PIA [emoji597][emoji597][emoji597]

JEFF AGRICULTURE FARM NI UKOMBOZI WA FIKRA KWA WAFUGAJII [emoji1732][emoji1732][emoji1732]
download%20(4).jpg
View attachment 2573732
 
HEATER ZA JOTO KWAJILI YA KULEA VIFARANGA

[emoji2788]Ni kawaida yetu kila jumapili kutoa OFAA Mbali mbali kwa wateja wetu juu ya Bidhaa zetu lengo ni kukuza tasnia ya ufugaji Tanzania [emoji1241] [emoji1241]

[emoji2788]Na jumapili ya leo tunatoa OFAAA ya HEATER za joto kwajili ya kulea vifaranga wako

SIFA ZA HEATER ZETU

[emoji3514]Ni heater zinazo toa joto la kutoshea kwa vifaranga
[emoji3514]Ni imara na ngum kuungua
[emoji3514]Zinatumia umeme wa kawaida na kidogo Sana
[emoji3514]zinafungwa kwenyee Holda ya kawaida
[emoji3514]Hazi hitaji umeme mwingi ili ziweze kufanya Kazi

Kuna faida kem kem ukitumia Heater zetu kwa kulelea vifaranga wako kwani ni uhakika 100%

Kwa shilingi 25000/=TU [emoji91][emoji91][emoji91] na Holda yake

0744344949/0658344949[emoji3513][emoji3513] DSM LILIAN KIBO

MIKOANI TUNATUMA PIA [emoji597][emoji597][emoji597]

JEFF AGRICULTURE FARM NI UKOMBOZI WA FIKRA KWA WAFUGAJII [emoji1732][emoji1732][emoji1732]View attachment 2573733View attachment 2573732
Kuna ndugu yangu anatengeneza incubator hiv hazifai hizi maana anatumia bulb
 
Habari wakuu,

Ni dhahiri kuwa Jukwaa letu la Biashara limesheheni mada nyingi zenye miongozo kwa wanaoanza biashara na hata wanaohitaji msaada kwa biashara zao.

Kutokana na mada nyingi kuwa na umuhimu na kuwa sticky, inalazimu kuweka links za mada hizi sehemu moja kwa urahisi wa kuzifikia na kupunguza idadi ya mada zilizo sticky kwenye ukurasa wa kwanza.

Pia kama una mada uliipenda na ungependa wengine wawe wanakutana nayo kirahisi waweza comment kwenye thread hii nami nitaiweka.

Shukrani.

========

MAWAZO YA BIASHARA(BUSINESS IDEAS)

Business ideas (Bure)

Baadhi ya Njia unazoweza kutumia kupata Wazo Bora la Biashara (Business Idea)

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Mtaji wa milioni 1-5: Naweza kufanya Biashara gani?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya...?

Kwa mtaji wa 25/-m nifanye biashara gani?

List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo

MAJADILIANO: Fursa za kibiashara

MICHANGANUO YA BIASHARA

Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

Biashara ya Bakery: Mbinu, ushauri na changamoto zake

Biashara ya Hostel: Mbinu, Faida na changamoto zake

Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

Msaada: Jinsi ya kuwa Wakala wa Tigo pesa, Mpesa na mitandao mingine

Biashara ya kuuza genge

Biashara ya chips na changamoto zake

Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

Kwa uzalishaji, masoko ya biashara za madini njoo hapa uliza chochote

Biashara ya Samaki Wabichi

Biashara ya kununua na kuuza mazao (nafaka)

Kuanzisha Radio Station: Gharama halisi za Kuanzisha Radio kwa TZ.

China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

Msaada: Mtaji wa kiasi cha chini kuanzisha biashara ya mbao

Step 10: Nilivyowekeza laki moja hadi kuanza kutengeneza milioni moja kila siku 3 (step by step)

Faida za Biashara za Dagaa

Biashara ya Uchawi Tanzania

Biashara ya Daladala: Ushauri na Mbinu za Uendeshaji Wake

Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

UCHUMI

Lijue soko la HISA

Utajiri uliopo kwenye dhamana za serikali: Sehemu ya II (bonds)

Nifanye nini nikiwa chuo ili nikimaliza nisitegemee ajira?

USHAURI: Jinsi ya kuweza kuhifadhi pesa kutoka katika mshahara

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutajirika Kwa Kuanza Na Shilingi Elfu Moja

Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!

Project funding sources
Uchanganuzi mzuri sana huu
 
Ninahitaji kuanzisha biashara ya saluni ya kina Dada .shida yangu ni wapi naweza pata vifaa vizuri na bei zaketafadhari
 
Back
Top Bottom