Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla


Vp ulifanya biashara gani? How did it go?
 
Naomba msaada wenu Kama kuna anaefahamu kuchenjua copper ore kwa njia ya kienyeji ili nipate SHABA au njia rahisi ya kuchenjua copper ore ili nipate SHABA Natanguliza shukran zangu
 
Kumbe hili jukwaa limejaa maarifa hivi.
Naomba msaada wenu Kama kuna anaefahamu kuchenjua copper ore kwa njia ya kienyeji ili nipate SHABA au njia rahisi ya kuchenjua copper ore ili nipate SHABA Natanguliza shukran zangu
 
Kibanda cha mpesa, Airtel money,tigo pesa,halopesa, mbinu na changamoto zake zipoje
Habari Kiongozi pole na majukumu naomba msaada wenu Kama kuna anaefahamu kuchenjua copper ore kwa njia ya kienyeji ili nipate SHABA au njia rahisi ya kuchenjua copper ore ili nipate SHABA Natanguliza shukran zangu
 
Here some EcoActs plastic poles 3.3inch x feet 8 cost 24,500, which are suitable for farm fencing making, gardens making and road signs, our poles they do not rot, terminate free, long lasting, strong and durable, more info contact through 0757671874 email amtatina@ecoact.co.tz
 
habari jamvini,

kwa wenye kuhitaji Kusajili

- Kampuni (limited)

- jina na la Biashara

-partneship

pia una kampuni na unahitaji kufanyiwa,

- HESABU ZA KAMPUNI(FINANCIAL STATEMENTS)

- TRA returns

- KUANDIKA MEMORANDUM


wasiliana nami ama kwa simu ama kwa watsup 0788104228

tumekuwa msaada kwa wengi; karibu kwa huduma
; hatuna gharama
TEAMSOLUTIONCONSULTATION

 
Kazi nzuri sana mkuu.
 
KWA WOTE WANAO MILIKI KAMPUNI NA BIASHARA,
31 MARCH NI SIKU YA MWISHO (DEADLINE) YA KFANYA MAKADIRIO YA KODI
KWA ATAKAYE CHELEWA BAADA YA HAPO - PEMATI 225,000 KWA MWEZI

 
Habari wadau,

Napita tu wadau, nasambaza upendo huu kwa wafanya biashara tusiingie hasara;

31March ni deadline (siku ya mwisho) kufanya MAKADIRIO YA KODI. siku moja ya kuchelewa faini 225,000/=
KWA MSAADA ZAIDI NICHEKI 0788104228

 
Umachinga unakuwa na meza ya kuuza bidhaa zako wazambia wengi ni wavivu na wengi wanategemea kuajiriwa na serikali
Samahani,hii ulizungumza zamani,vipi mpaka Sasa bado Ni wavivu?nikavamie nchi huko
 
Habarini wana jamvini.....
Nilikuwa naomba msaada wa soko la bidhaa za chaki...
Ni nyingi tunazalisha asanteni.....
No. 0628145529
 

Uza vifaranga, kimoja utanunua 1000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…