Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla



Kwanini msifungue hospital mkauza dawa zenu,

Kwanini mnawapa dhamana watu wasio na taaluma ya afya wauze dawa zenu


Shame on you.
 
Sawa nmeelewa vzuri... Lengo lako lilikua ni kuvuta wasomaji wengi. Alafu uupate wanaokushauri wengi , kuuweka uzi wako jukwaa la Biashara nayo imekua habar nyingine.



Wajasiliamali wa JF ,mshaurin mtoa mada sawasawa na alichokiomba. Mengine muachien Ngoswe!!.
 
Mods
Cc. Paw
Embu mfanye kuziunganisha izi multiple ID

Maana utoto umekua mwingi sana siku iz umu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…