Miji inayoongoza kwa vumbi Tanzania. Shati jeupe usiende nalo

Morogoro ili haribu raba yangu nyeupe [emoji28][emoji28]nka rudi nayo ime fubaa utazani ili pakwa rangi nyekundu
 
Kuna tope la Moshi nalo kiboko[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Acha kutaja vijijini huko,kwa jinsi hiyo hakuna kijiji nchi hii kisicho na vumbi,ukiondoa vile vya mikoa ya pwani ambako ardhi yake ni ya kichanga,hapa tunazungumzia urban,Dodoma kwa sasa pako vizuri sana ukilinganisha na miaka 20 iliyopita...
Mkuu huyo dada sijui watu wa Dodoma walimkosea nini yaani yeye sikuzote huwa yupo negative tu kuhusu Dodoma.Kuna thread moja aliwahi kusema eti watu wa Dodoma ni wafupi,wamefubaa alafu weusi tiii nikamuuliza mbona huku Dar warangi,wasandawe na wanyambwa(wengine huwaita wagogo wa manyoni) wanasifika kwa uzuri na weupee wao(wa asili sio wa kujichubua) akakimbia😀😀.
Sasa leo tena thread inahusu miji yeye anakuja kutaja vijiji vilivyo wilaya za Bahi na Chamwino huko😀😀
 
Mbinga ruvuma upo ndani unageti nyumba vioo tinted lkn vumbi la kope linakufata mpaka chumbani
 
Dodoma kunapausha sana yaani huku napaka Vaseline, Glycerin,lotion Ndo natoka na Bado kukatika miguu Ndo usiseme besti ..Kuna Hali ya hewa mbaya mnooo
Poleni nilikaa siku 2 ngozi ikabadilika na hapo natoka nje kwa masaa tu, nikajiuliza vip wakazi wa huku wana hali gani? Huko vijijini si watoto watakuwa wamepauka sana na kuumwa homa ya baridi? No siwezi ishi dom.
 
🤣🤣 Kuna wakati nilipata tenda ya ujenzi ya shule fulani mitaa hiyo sehemu inaitwa Engikaret... lile vumbi lilikuwa sio poa. Ila bahati nzuri vumbi la huko sio jekundu. Karatu kuna poda nyekundu kama jezi ya Simba.
 
Kinachoshangaza mkoa wa kigoma kuna viongozi wakubwa wametokea kule hivi wameshindwa kuupigania ule mkoa zile barabara zikapigwa lami? Imagine kuna vipande vipande kama mkate wa ajemi hapa na hapa lami kidogo vumbi la kwenda inakera sana
[emoji1787]
 
Mbinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…