MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
- #481
Huenda ni kweli kwasababu kuna sehemu madini yameanza kuchimbwa.Itabidi nifike .. kuna wanaodai ukiona hilo vumbi chini kuna madini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda ni kweli kwasababu kuna sehemu madini yameanza kuchimbwa.Itabidi nifike .. kuna wanaodai ukiona hilo vumbi chini kuna madini
Ngaramtoni pamekaa ki-local kwa sababu ya Ile vumbiKwa morombo, Moshono, Lengijave, Kisongo, Ngaramtoni na Chekereni. Hizo sehemu sio poa
MakambakoHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Namba nne,hahahahHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Arusha karibu yote ni vumbi tupuHii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu.
1. KARATU
2. KASULU
3. KIBONDO
4. BOMANG'OMBE, Hai
5. SONGEA
6. TUNDUMA
7. ORKESMET, Simanjiro.
8. DODOMA
9. MERERANI
10. MTO WA MBU
Arusha kuna sehem na sehem si yoteArusha karibu yote ni vumbi tupu
Arusha mkoa au jiji?Arusha karibu yote ni vumbi tupu
JijiArusha mkoa au jiji?
Kibondo na Kasulu, ukitembea sana unaanza kucheua vumbi....
Ndio ila Kwa sehemu kubwa ni vumbi tupuArusha kuna sehem na sehem si yote
Sehemu kubwa ya mkoaArusha mkoa au jiji?